mahutu
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 766
- 556
Unatakaje kwamfano....labda umalaniwa ww,sasa uchangamkie fursa ipi??? kwani ww hujui watanzania zaidi ya 80% wanaishi chini ya $ 1 na hiyo 20% ya population inayobaki ndio wenye uwezo wa kupata angalau milo 3 lakini hawawezi ku invest!. kwani hujui hao wahindi walivyofaidika kupitia utawala wa ccm toka kipindi cha Mwinyi!.
kiwanda chochote kinachojengwa au kumilikiwa na mhindi kwa Tanzania hakina manufaa yyte kwa mtanzania sana sana ni watu kupatvibarua vya kulipwa 4500 kwa siku.nashangaa hii serikali ya CCM inavyokumbatia hawa wahindi-hawa majamaa hawafai hata kwa bure