Quality Group imeanza kujenga kiwanda

Quality Group imeanza kujenga kiwanda

Mkuu nasikia mnauza pikipiki za kijapan hapo Quality Group, nahitaji Honda 110 trail, ni bei gani? Au nipatie mhusika namba yake nwasiliane naye moja kwa moja.
Bei sifamu mkuu but ukienda pale Quality Centre au posta nadhani itakuepo. Au mcheki huyu 0717765090 nadhani atakusaidia
 
Bei sifamu mkuu but ukienda pale Quality Centre au posta nadhani itakuepo. Au mcheki huyu 0717765090 nadhani atakusaidia
Hon. Kassim Majaliwa, Prime Minister
meets Quality Group Limited to discuss
projects in manufacturing, e-Governance,
Health, mining and initiatives to bring
foreign investment to Tanzania. Vp kuhusu kiwanda cha kuunganisha matrekta
 
HEADING haiendani na kilichoandikwa.nilitegemea utasema wamefikia wapi kujenga kiwanda au ujenzi wa stone town village nao umefikia wapi?
 
Serikali huwa haijengi viwanda ifanyacho ni kutengeneza mazingira rafiki ya uwekezaji
 
Serikali za siku hizi hazijengi viwanda. Serikali inawawezesha wananchi wajenge viwanda, enzi za serikali kujenga viwanda halafu vimewashinda kuendesha ziliisha wakati wa Nyerere.
Mbona zinanunua ndege? Kutetea hii serikali lazma ujitoe ufahamu
 
Nalikumbuka bifu kati ya machache (mengi?) na waziri fulani enzi hizo

Ukiwa mgumu kuelewa jifunze kukumbuka

Style hii ya kusahau mabo mapema ndio huwa inatucost siku zote

Mwekezaji mzawa huyo mmoja aliwakilisha hisia za wengi Tanzania

Japo wengi hawajawahi kujitokeza hadharani kwa kuhofia ...

Tulio katika line tunayaona hayo, japo kwa wengi yanafichwa kwa faida za nani sijui

Hebu tazama tu mahusiano kati ya serikali na Wafanyabiashara

Kuna vingi vya kuviona

Hasa ukufungua macho vyema
Arusha kuna mweusi alinyimwa kuwekeza hoteli ya 77.

Sasa ndo imeeleweka aloepita ana maslahi (walau kupokea suti mupyaaa well cut) na Kempinski (sasa hyatt regency).

Hiyo ni historia lakini. Acha tuone awamu hii japo na wenyewe kichefuchefu safu haionani kabisa
 
...

ktk uchumi wa kisasa wa kibepari serikali sio jukumu lake kujenga viwanda ila kuweka mazingira ya kuvutia wawekezaji wa nje na ndani

...

Mi hata sielewi. Viwanda mnataka mazingira wezeshi. Ndege mnapongeza upuuzi wa serikali kuendesha biashara hiyo.
 
Huwezi kuweka ushindani sawa kati ya mtoto wako wa nyumbani na toto la mbali usilolijua

Serikali haikutakiwa kutoa nafasi tu, Bali ilitakiwa kuwa-encourage wawekezaji wa ndani kwa sheria zenye standards ili wengi wavutiwe kuwekeza nchini mwao huwezi kuforce mwekezaji wa ndani aendelee kutengeneza juisi wakati tuna mafuta

I
Inahitajika Affirmative action
 
Awamu ya Nyerere, viwanda vingapi vilijengwa? Awamu ya Mwinyi, viwanda vingapi vilijengwa? Awamu ya Mkapa, viwanda vingapi vilijengwa? Awamu ya Kikwete, viwanda vingapi vilijengwa? Kwenye awamu hizo, kila kiwanda kilichojengwa kilikuwa publicized kwa kiwango cha awamu hii ya tano? Naona awamu hii, mfanyabiashara hata akitoa kusudio tu la kujenga kiwanda inakuwa ni habari kuuuuubwa wiki nzima tena kwenye media outlets zote? Nahisi, wahusika washapata hofu kwamba "Tanzania ya Viwanda" ni nadharia tu sasa wanapiga yowe kila mvumo wenye harufu ya kiwanda unapotokea. Yaani kwa mwendo huu, mtawakutanisha matapeli wengi na PM/Rais maana naona kila mwenye business idea ya kiwanda anapelekwa kwa wakuu. Ebu, wenye kujenga wajenge kimyakimya kisha tuonyeshwe siku vinapofunguliwa kuanza uzalishaji. Nakumbushia ile issue ya treni ya umeme ya yule tapeli wa kimarekani kama ilivyokuwa publicized kwa mbwembwe na Mwakyembe.
Nakuelewa sana. Hao Quality ndo kina manji. Kuna maghala ya pale ubungo, power tiller n.k. jamaa wajanjawajanja tu. Useme tu ndo hivyo wana hela na wameshaikamata CCMScrow kunako. Hakuna cha magu wala majaliwa CCMScrow ni ileile
 
Tunataka serikali yenyewe ijenge viwanda kama ilivyoahidi kwenye ilani yake

Kuendelea kuforce uwekezaji kwenye nchi yenye sheria zenye matundu ni kufaidisha wachache

Au ni kwa nini wawekezaji wasiwe wazawa wenye uchungu na nchi yetu?

Au badala ya kujenga viwanda vipya, kwa nini visifufuliwe kwanza vile vya muhimu tulivyoviua?

Tanzania tuna uwezo wa kutengeneza matairi ya gari na tukashindana na nchi kubwa kibiashara

Viwanda vya sukari sio kiviiiiiile kama biashara kubwa za matairi, nguo na hata viwanda vidogo vya pembejeo na zana zingine za kilimo ambacho ni uti wa mgongo wa third world countries

Japo serikali ya sasa haioni kilimo kama ni cha muhimu tena
Unaijua hiyo kampuni vzr au umekurupka...napita tu
 
Back
Top Bottom