Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
Kazi yake serikali ya kuweka soko huria imefanywa?
Uchumi huria wa mikataba kama ile ya ESCROW na EPA?
Kuna sheria imerekebishwa ya kutuzuia kutoibiwa tena kama ZAMA zile?
Hao wawekezaji unaowaita watanzania wa asia, walianza lini kujaribu wanachokiendeleza? wametufikisha wapi?
IQ yako ilishuka pindi ulipofikiria kwa ushabiki,
Mimi sina mlengo wa chama chochote, ni mtanzania wa chini nayejua hali halisi tuliyonayo na ndio maana nikapendekeza maboresho ya kilimo (ambazo ndio malighafi za viwanda vyetu zinakotengeneza ajira), baada ya kuwekeza kwenye kilimo ndipo tuanze kuzalisha.
Yaani Sukari haitokei bila miwa ya kutosha.
Ndio maana Watanzania wengi hatuelewi. Hii thread inahusu Quality Group kujenga kiwanda. Issue ya Escrow, EPA, sijui masuala ya kuzuia wizi. Kwanini usifungue uzi mwingine. Hapa tunajadili Qulity Group kujenga viwanda. Hizo sympathy zingine mnazotafuta hapa si mahala pake.
Na kabla ya kutaka kubisha kitu kajifunze kwanza ili ukije uje na data zilizokamilika. Unajua maana ya soko huria? Yaani sentensi ya kwanza tu kwenye post yako inaonyesha dhahiri udadisi kwako uko katika kiwango kidogo sana.
Na kuhusu kuwa huna mlengo wa chama chochote danganya watu wengine. Wenye akili tushajua wapi unaposimamia au unataka tuweke na ushahidi?
Miaka 36 ya Utumwa, Unyonyaji na Ukandamizaji, Mauaji Ya Kinyama
Nape kauli yako hii siyo kweli!
Ukibisha kuwa huna chama sema tupost zingine