Hii serikali ni kweli inakosea mambo mengi ila wewe naona umepitiliza kulalamika,nani mzawa kakataliwa kujenga kiwanda?acha ulimbukeni na kufuata upepo tu,unatutajia meng?hujui huyo mzee ni dalali mkubwa na alikutana na msomi mjanja akamsambaratishaNajaribu kuwajibu watu kulingana na muono wao
Wengi ni wasahaulifu na hawakumbuki
Ni kweli serikali iliahidi viwanda, Ingawa hawawezi kuvijenga kwa wingi kama walivyoaminisha wapiga kura
Lakini kama mpenda maendeleo siwezi kubaki kwenye hoja hiyo ya kuikosoa serikali bila kutoa tiba mbadala
Hapo ndipo wanapokuja wawekezaji wazawa wa ndani
Sijui umeiona pattern yangu?
Machache ana tatizo,akigombana na mtu anatumia vyombo vyake kuonesha kaonewa ili apate sypathy.Aliambiwa alipe kodi bahati nasibu yake,ndio maana ikafa,na ingekua enzi za magufuli angelala na e mbeleNalikumbuka bifu kati ya machache (mengi?) na waziri fulani enzi hizo
Ukiwa mgumu kuelewa jifunze kukumbuka
Style hii ya kusahau mabo mapema ndio huwa inatucost siku zote
Mwekezaji mzawa huyo mmoja aliwakilisha hisia za wengi Tanzania
Japo wengi hawajawahi kujitokeza hadharani kwa kuhofia ...
Tulio katika line tunayaona hayo, japo kwa wengi yanafichwa kwa faida za nani sijui
Hebu tazama tu mahusiano kati ya serikali na Wafanyabiashara
Kuna vingi vya kuviona
Hasa ukufungua macho vyema
Pia ni dalali mkubwa alitajiwa kiasi cha kulipa akitaka kitalu akaanza kung'atang'ata vidole kama anatongozwa.Machache ana tatizo,akigombana na mtu anatumia vyombo vyake kuonesha kaonewa ili apate sypathy.Aliambiwa alipe kodi bahati nasibu yake,ndio maana ikafa,na ingekua enzi za magufuli angelala na e mbele
Hii serikali ni kweli inakosea mambo mengi ila wewe naona umepitiliza kulalamika,nani mzawa kakataliwa kujenga kiwanda?acha ulimbukeni na kufuata upepo tu,unatutajia meng?hujui huyo mzee ni dalali mkubwa na alikutana na msomi mjanja akamsambaratisha
Alidhani vile ni vitalu vya nyanya!weka dola milioni 5,application fee,weka dola milioni 100 assessment fee non refundable,kaanza kulalamika kwenye vituo vyake ili aonewe huruma,bahati mbaya watanzania wengi hawakumuunga mkononoPia ni dalali mkubwa alitajiwa kiasi cha kulipa akitaka kitalu akaanza kung'atang'ata vidole kama anatongozwa.
Tunataka serikali yenyewe ijenge viwanda kama ilivyoahidi kwenye ilani yake
Kuendelea kuforce uwekezaji kwenye nchi yenye sheria zenye matundu ni kufaidisha wachache
Au ni kwa nini wawekezaji wasiwe wazawa wenye uchungu na nchi yetu?
Au badala ya kujenga viwanda vipya, kwa nini visifufuliwe kwanza vile vya muhimu tulivyoviua?
Tanzania tuna uwezo wa kutengeneza matairi ya gari na tukashindana na nchi kubwa kibiashara
Viwanda vya sukari sio kiviiiiiile kama biashara kubwa za matairi, nguo na hata viwanda vidogo vya pembejeo na zana zingine za kilimo ambacho ni uti wa mgongo wa third world countries
Japo serikali ya sasa haioni kilimo kama ni cha muhimu tena
Wasio wazawa wanavuna vyote na kupeleka kwao na kutuachia mrahaba wa percent tatu na mashimo.cha msingi hawa wazawa wabanwe walipe kodi na hiyo kodi tuitumie vizuri kuiendeleza jamii yetu.Hivi ndivyo ngozi nyeupe inavyofanikiwa na ngozi nyeusi ikibaki kulialia tu, very poor strategies and non-organised!
Serikali imetoa opportunity, anayetaka kuwekeza kwenye viwanda aje sisi tutamsaidia na kumpa ushirikiano afanikiwe, mweupe anachangamkia fursa fasta halafu mbongo anaanza kulalamika "Why him not me?"
Sijui tumelaaniwa???
Nadhani tunahitaji "Mental Reforms" kuliko kingine chochote!!!
Nyie endeleeni kuponda mitandaoni,wenzenu wanawahi fursa baadaye wakitajirika oooh uyu freemason mara ooh aliibia serikali.Wadau habari za uhakika nilizozipata kutoka ndani ya Quality Group asubuhi hii ni kwamba jamaa wamepewa sapoti kubwa sana na serikali kwenye ule mpango wao wa kujenga viwanda vya kuzalisha sukari Pemba na Morogoro.
CEO wa QG anaitwa Arif Sheikh akiwa na wasaidizi wake alikutana na PM na juzi asubuhi kumpa mpango mzima.
Inasemekana wataonana na Magufuli December hii au January 2017 ili waanze utaratibu wa kuwekeza by April 2017.
View attachment 432809
Atutakii siasa zamajitakaa sietunatakaa viwanda kiwe chalowassa mbowe abood manji moTunataka serikali yenyewe ijenge viwanda kama ilivyoahidi kwenye ilani yake
Kuendelea kuforce uwekezaji kwenye nchi yenye sheria zenye matundu ni kufaidisha wachache
Au ni kwa nini wawekezaji wasiwe wazawa wenye uchungu na nchi yetu?
Au badala ya kujenga viwanda vipya, kwa nini visifufuliwe kwanza vile vya muhimu tulivyoviua?
Tanzania tuna uwezo wa kutengeneza matairi ya gari na tukashindana na nchi kubwa kibiashara
Viwanda vya sukari sio kiviiiiiile kama biashara kubwa za matairi, nguo na hata viwanda vidogo vya pembejeo na zana zingine za kilimo ambacho ni uti wa mgongo wa third world countries
Japo serikali ya sasa haioni kilimo kama ni cha muhimu tena
NdioozaooNyie endeleeni kuponda mitandaoni,wenzenu wanawahi fursa baadaye wakitajirika oooh uyu freemason mara ooh aliibia serikali.
Kazi ya Serikali katika nchi yenye soko huria na inyotaka kujenga uchumi wa viwanda ni kuweka mazingira rafiki na wezeshi kwa wazawa pamoja na wageni ambao wanataka kuwekeza katika viwanda.Tunataka serikali yenyewe ijenge viwanda kama ilivyoahidi kwenye ilani yake
Kuendelea kuforce uwekezaji kwenye nchi yenye sheria zenye matundu ni kufaidisha wachache
Au ni kwa nini wawekezaji wasiwe wazawa wenye uchungu na nchi yetu?
Au badala ya kujenga viwanda vipya, kwa nini visifufuliwe kwanza vile vya muhimu tulivyoviua?
Tanzania tuna uwezo wa kutengeneza matairi ya gari na tukashindana na nchi kubwa kibiashara
Viwanda vya sukari sio kiviiiiiile kama biashara kubwa za matairi, nguo na hata viwanda vidogo vya pembejeo na zana zingine za kilimo ambacho ni uti wa mgongo wa third world countries
Japo serikali ya sasa haioni kilimo kama ni cha muhimu tena
Kazi ya Serikali katika nchi yenye soko huria na inyotaka kujenga uchumi wa viwanda ni kuweka mazingira rafiki na wezeshi kwa wazawa pamoja na wageni ambao wanataka kuwekeza katika viwanda.
Sijawahi kuona nchi yoyote duniani ambayo ina miliki viwanda vyote kwa asilimia mia moja.
Hoja yako ya kutaka serikali ijenge viwanda yenyewe ni hoja mfu na inayoonyesha upeo wa fikra zako unaishia wapi. Ilani ya CCM ilikuwa ni kujenga uchumi wa viwanda na uchumi wa viwanda ni pamoja na kutengeneza mazingira yakufanikisha hayo. Mmeanza kuona viwanda vinaanza kujengwa sasa mnakuja kuleta hoja kuwa serikali ijenge yenyewe. Kweli akili ni nywele.
Hoja yako nyingine kuwa nini wawekezaji wasiwe wazawa wenye uchungu wa nchi. Hapa pia nina shaka hata kama darasa la saba umemaliza. Mzawa ni nani wewe ambaye umeshayakataa maendeleo na kuja kuwekeza kwenye Majungu jamii forums. Au hao watanzania wenye asili ya Asia ambao wanajenga viwanda kwa ajili ya kaka zako na dada zako wapate ajira?
Hoja ya Mleta mada kawataja Quality Group. Sasa nikuulize swali dogo tu hiyo QG ni kampuni ya kitanzania au ni kampuni ya kenya?
Ukipata majibu jitukane mwenyewe kimoyomoyo kwa upofu wa akili ulionao.
ONYO: Tafadhali usiquote hii comment utanishushia IQ yangu bure
Aliyepita Njia ya Dar Mtwara, kuna sehemu nimekuta kiwanda kikubwa sana kinajengwa sijajua ni kiwanda cha nn. Ukubwa wa kile kiwanda sijawahi kukiona kwa hapa nchini. Nimeikuta kampuni ya kichina inajenga pale ni mbele ya mkuranga unapoelekea Mtwara