Quality Group imeanza kujenga kiwanda

Song il gok

JF-Expert Member
Feb 23, 2015
878
936
Wadau habari za uhakika nilizozipata kutoka ndani ya Quality Group asubuhi hii ni kwamba jamaa wamepewa sapoti kubwa sana na serikali kwenye ule mpango wao wa kujenga viwanda vya kuzalisha sukari Pemba na Morogoro.

CEO wa QG anaitwa Arif Sheikh akiwa na wasaidizi wake alikutana na PM na juzi asubuhi kumpa mpango mzima.

Inasemekana wataonana na Magufuli December hii au January 2017 ili waanze utaratibu wa kuwekeza by April 2017.
campaign-02-jpg.432961
 

Attachments

  • Campaign-02.jpg
    Campaign-02.jpg
    56.7 KB · Views: 268
Tunataka serikali yenyewe ijenge viwanda kama ilivyoahidi kwenye ilani yake

Kuendelea kuforce uwekezaji kwenye nchi yenye sheria zenye matundu ni kufaidisha wachache

Au ni kwa nini wawekezaji wasiwe wazawa wenye uchungu na nchi yetu?

Au badala ya kujenga viwanda vipya, kwa nini visifufuliwe kwanza vile vya muhimu tulivyoviua?

Tanzania tuna uwezo wa kutengeneza matairi ya gari na tukashindana na nchi kubwa kibiashara

Viwanda vya sukari sio kiviiiiiile kama biashara kubwa za matairi, nguo na hata viwanda vidogo vya pembejeo na zana zingine za kilimo ambacho ni uti wa mgongo wa third world countries

Japo serikali ya sasa haioni kilimo kama ni cha muhimu tena
 
Mkuu Msherwa ukisema wazawa una maana gani. Quality Group ni mali ya watanzania. Na imeajiri watanzania zaidi ya 15,000 na wamekuja na mpango huu ili waajiri wengine zaidi ya 10,000
Tunataka serikali yenyewe ijenge viwanda kama ilivyoahidi kwenye ilani yake

Kuendelea kuforce uwekezaji kwenye nchi yenye sheria zenye matundu ni kufaidisha wachache

Au ni kwa nini wawekezaji wasiwe wazawa wenye uchungu na nchi yetu?
 
Mkuu Msherwa ukisema wazawa una maana gani. Quality Group ni mali ya watanzania. Na imeajiri watanzania zaidi ya 15,000 na wamekuja na mpango huu ili waajiri wengine zaidi ya 10,000


Kuna watu wenye pesa wengi tu wamekuwa wakitamani kuwekeza katika vitu SERIOUS lakini hawakuwahi kupewa nafasi

Sitaki kuamini kama kuna mtu atasema kwamba serikari imewahi kusupport uwekezaji wa ndani BILA MKONO wa siri

Kinachotakiwa ni wawekezaji wa ndani wote kupewa haki ya kufanya wanachoweza na sio matajiri wachache kushirikiana na PM kufanya vitu kwa suprise ambavyo nina hakika vitatucost mbeleni
 
Kuna watu wenye pesa wengi tu wamekuwa wakitamani kuwekeza katika vitu SERIOUS lakini hawakuwahi kupewa nafasi

Sitaki kuamini kama kuna mtu atasema kwamba serikari imewahi kusupport uwekezaji wa ndani BILA MKONO wa siri

Kinachotakiwa ni wawekezaji wa ndani wote kupewa haki ya kufanya wanachoweza na sio matajiri wachache kushirikiana na PM kufanya vitu kwa suprise ambavyo nina hakika vitatucost mbeleni

Nani kanyimwa kuwekeza?
 
Kuna watu wenye pesa wengi tu wamekuwa wakitamani kuwekeza katika vitu SERIOUS lakini hawakuwahi kupewa nafasi

Sitaki kuamini kama kuna mtu atasema kwamba serikari imewahi kusupport uwekezaji wa ndani BILA MKONO wa siri

Kinachotakiwa ni wawekezaji wa ndani wote kupewa haki ya kufanya wanachoweza na sio matajiri wachache kushirikiana na PM kufanya vitu kwa suprise ambavyo nina hakika vitatucost mbeleni

Hivi ndivyo ngozi nyeupe inavyofanikiwa na ngozi nyeusi ikibaki kulialia tu, very poor strategies and non-organised!

Serikali imetoa opportunity, anayetaka kuwekeza kwenye viwanda aje sisi tutamsaidia na kumpa ushirikiano afanikiwe, mweupe anachangamkia fursa fasta halafu mbongo anaanza kulalamika "Why him not me?"

Sijui tumelaaniwa???
Nadhani tunahitaji "Mental Reforms" kuliko kingine chochote!!!
 
Hivi ndivyo ngozi nyeupe inavyofanikiwa na ngozi nyeusi ikibaki kulialia tu, very poor strategies and non-organised!

Serikali imetoa opportunity, anayetaka kuwekeza kwenye viwanda aje sisi tutamsaidia na kumpa ushirikiano afanikiwe, mweupe anachangamkia fursa fasta halafu mbongo anaanza kulalamika "Why him not me?"

Sijui tumelaaniwa???
Nadhani tunahitaji "Mental Reforms" kuliko kingine chochote!!!
labda umalaniwa ww,sasa uchangamkie fursa ipi??? kwani ww hujui watanzania zaidi ya 80% wanaishi chini ya $ 1 na hiyo 20% ya population inayobaki ndio wenye uwezo wa kupata angalau milo 3 lakini hawawezi ku invest!. kwani hujui hao wahindi walivyofaidika kupitia utawala wa ccm toka kipindi cha Mwinyi!.
kiwanda chochote kinachojengwa au kumilikiwa na mhindi kwa Tanzania hakina manufaa yyte kwa mtanzania sana sana ni watu kupatvibarua vya kulipwa 4500 kwa siku.nashangaa hii serikali ya CCM inavyokumbatia hawa wahindi-hawa majamaa hawafai hata kwa bure
 
Hivi ndivyo ngozi nyeupe inavyofanikiwa na ngozi nyeusi ikibaki kulialia tu, very poor strategies and non-organised!

Serikali imetoa opportunity, anayetaka kuwekeza kwenye viwanda aje sisi tutamsaidia na kumpa ushirikiano afanikiwe, mweupe anachangamkia fursa fasta halafu mbongo anaanza kulalamika "Why him not me?"

Sijui tumelaaniwa???
Nadhani tunahitaji "Mental Reforms" kuliko kingine chochote!!!


Huwezi kuweka ushindani sawa kati ya mtoto wako wa nyumbani na toto la mbali usilolijua

Serikali haikutakiwa kutoa nafasi tu,

Bali ilitakiwa kuwa-encourage wawekezaji wa ndani kwa sheria zenye standards ili wengi wavutiwe kuwekeza nchini mwao

huwezi kuforce mwekezaji wa ndani aendelee kutengeneza juisi wakati tuna mafuta

I
 
uvumbuzi NI nani alitoa ahadi ya Tanzania ya viwanda?

Wakati anatoa ahadi alisema anabana matumizi ili nini kitokee?

Acheni kuwafanya watu ni wasahaulifu, kama sio wachochezi
 
labda umalaniwa ww,sasa uchangamkie fursa ipi??? kwani ww hujui watanzania zaidi ya 80% wanaishi chini ya $ 1 na hiyo 20% ya population inayobaki ndio wenye uwezo wa kupata angalau milo 3 lakini hawawezi ku invest!. kwani hujui hao wahindi walivyofaidika kupitia utawala wa ccm toka kipindi cha Mwinyi!.
kiwanda chochote kinachojengwa au kumilikiwa na mhindi kwa Tanzania hakina manufaa yyte kwa mtanzania sana sana ni watu kupatvibarua vya kulipwa 4500 kwa siku.nashangaa hii serikali ya CCM inavyokumbatia hawa wahindi-hawa majamaa hawafai hata kwa bure

Mtatuuwa na vicheko
 
Msherwa, nasoma comment nakosa mtiririko, unachokataa ni kipi? Mara unasema serikali ndio ijenge mara wawekezaji wapewe sapport.
 
Kuna watu wenye pesa wengi tu wamekuwa wakitamani kuwekeza katika vitu SERIOUS lakini hawakuwahi kupewa nafasi

Sitaki kuamini kama kuna mtu atasema kwamba serikari imewahi kusupport uwekezaji wa ndani BILA MKONO wa siri

Kinachotakiwa ni wawekezaji wa ndani wote kupewa haki ya kufanya wanachoweza na sio matajiri wachache kushirikiana na PM kufanya vitu kwa suprise ambavyo nina hakika vitatucost mbeleni
Watanzania kwa kulalamika hatujambo,ulishawahi kutaka kuwekeza ukazuiwa?
 
Kila nchi duniani inapenda uwekezaji wa viwanda serikali yetu itabidi iweke upendeleo wa wawekezaji ili waziache nchi nyingine na kuja Tanzania
 
Tunataka serikali yenyewe ijenge viwanda kama ilivyoahidi kwenye ilani yake

Kuendelea kuforce uwekezaji kwenye nchi yenye sheria zenye matundu ni kufaidisha wachache

Au ni kwa nini wawekezaji wasiwe wazawa wenye uchungu na nchi yetu?

Au badala ya kujenga viwanda vipya, kwa nini visifufuliwe kwanza vile vya muhimu tulivyoviua?

Tanzania tuna uwezo wa kutengeneza matairi ya gari na tukashindana na nchi kubwa kibiashara

Viwanda vya sukari sio kiviiiiiile kama biashara kubwa za matairi, nguo na hata viwanda vidogo vya pembejeo na zana zingine za kilimo ambacho ni uti wa mgongo wa third world countries

Japo serikali ya sasa haioni kilimo kama ni cha muhimu tena

Serikali za siku hizi hazijengi viwanda. Serikali inawawezesha wananchi wajenge viwanda, enzi za serikali kujenga viwanda halafu vimewashinda kuendesha ziliisha wakati wa Nyerere.
 
Econometrician, mbona mengi kwenye viwanda vyake kaajiri mameneja wahindi haohao? Tangu bilicanas ivunjwe kuna watu wamekuwa arosto. Naona dope limekata stim.
 
Msherwa, nasoma comment nakosa mtiririko, unachokataa ni kipi? Mara unasema serikali ndio ijenge mara wawekezaji wapewe sapport.

Najaribu kuwajibu watu kulingana na muono wao

Wengi ni wasahaulifu na hawakumbuki

Ni kweli serikali iliahidi viwanda, Ingawa hawawezi kuvijenga kwa wingi kama walivyoaminisha wapiga kura

Lakini kama mpenda maendeleo siwezi kubaki kwenye hoja hiyo ya kuikosoa serikali bila kutoa tiba mbadala

Hapo ndipo wanapokuja wawekezaji wazawa wa ndani

Sijui umeiona pattern yangu?
 
labda umalaniwa ww,sasa uchangamkie fursa ipi??? kwani ww hujui watanzania zaidi ya 80% wanaishi chini ya $ 1 na hiyo 20% ya population inayobaki ndio wenye uwezo wa kupata angalau milo 3 lakini hawawezi ku invest!. kwani hujui hao wahindi walivyofaidika kupitia utawala wa ccm toka kipindi cha Mwinyi!.
kiwanda chochote kinachojengwa au kumilikiwa na mhindi kwa Tanzania hakina manufaa yyte kwa mtanzania sana sana ni watu kupatvibarua vya kulipwa 4500 kwa siku.nashangaa hii serikali ya CCM inavyokumbatia hawa wahindi-hawa majamaa hawafai hata kwa bure

Endelea na mentality hiyohiyo mkuu, uhakika ni wako kubaki hapohapo!

20161111_231800.jpg
 
Watanzania kwa kulalamika hatujambo,ulishawahi kutaka kuwekeza ukazuiwa?


Nalikumbuka bifu kati ya machache (mengi?) na waziri fulani enzi hizo

Ukiwa mgumu kuelewa jifunze kukumbuka

Style hii ya kusahau mabo mapema ndio huwa inatucost siku zote

Mwekezaji mzawa huyo mmoja aliwakilisha hisia za wengi Tanzania

Japo wengi hawajawahi kujitokeza hadharani kwa kuhofia ...

Tulio katika line tunayaona hayo, japo kwa wengi yanafichwa kwa faida za nani sijui

Hebu tazama tu mahusiano kati ya serikali na Wafanyabiashara

Kuna vingi vya kuviona

Hasa ukufungua macho vyema
 
Kuna watu wenye pesa wengi tu wamekuwa wakitamani kuwekeza katika vitu SERIOUS lakini hawakuwahi kupewa nafasi

Sitaki kuamini kama kuna mtu atasema kwamba serikari imewahi kusupport uwekezaji wa ndani BILA MKONO wa siri

Kinachotakiwa ni wawekezaji wa ndani wote kupewa haki ya kufanya wanachoweza na sio matajiri wachache kushirikiana na PM kufanya vitu kwa suprise ambavyo nina hakika vitatucost mbeleni
wewe umeshawahi kutaka kuwekeza mahali ukanyimwa support,au uliombwa rushwa,tuanzie hapo kwanza,coz unaweza ukajifanya unauchungu kumbe hata kuwekeza ka jenge tu cha kuuza nyanya hujawai
 
Back
Top Bottom