Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
asante kwa maelezo yako senetor,kwa hiyo nisipate presha ya kufanya changes sio?
depending na matokeo yako mkuu,kama una dv 1 au 2 uhakika wa kupata udsm na sua upo,afu bado cjaelewa,inakuaje chuo ka udom ambayo ni kimbilio la wengi wakupige chini lakini vyuo vyenye competition kama udsm na sua ndo wakuambie umequalify,jaribuni kuwasiliana na hao Tcu wenyewe ili wawape maelezo yenye kueleweka.over