Puuzeni Uzushi. Mimi Sijateuliwa Popote Pale

Puuzeni Uzushi. Mimi Sijateuliwa Popote Pale

Badili strategy yako ya uchawa mkuu, JF huku wapo chawa wenzio hawapo watu wa connection. Endelea na uchawa ipo siku utatoboa mkuu.

Nakuunga mkono kwenye uchawa wako huu, wakupe hata UDAS utulize fuvu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeona andiko la Mwana jukwaa Mwenzetu afahamikae kama Johnthebaptist akitoa pongezi na kusema kuwa nimepata Uteuzi.

Ningependa kusema ya kuwa habari hiyo ni ya uongo na uzushi tu na haina ukweli wa aina yoyote ile.View attachment 3381166

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
🤣
Watakuwa wamesahau kukutangaza😎
 
Nipo shambani ambako hata ukibubujikwa na machozi yanakauka yenyewe tu kwa sababu jua ni kali sana.
We chomwa na jua huko mashambani wakati unaowaandikia magazeti marefu ya kusifu wanafisadi nchi huku wakiwa ndani ya viyoyozi...umesahau huyo mamako aliwaambia mawaziri wake wanakula sana hadi wanavimbiwa?!.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeona andiko la Mwana jukwaa Mwenzetu afahamikae kama Johnthebaptist akitoa pongezi na kusema kuwa nimepata Uteuzi.

Ningependa kusema ya kuwa habari hiyo ni ya uongo na uzushi tu na haina ukweli wa aina yoyote ile.View attachment 3381166

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kungekuwa na nafasi za MACHOKO ungeteuliwa
 
Yani machozi yangu ya furaha yameenda bure. Nimelia sana kwa furaha niliposoma umeteuliwa.

Nishashona mpaka suti ya CCM niwe chawa wako namba moja. Kumbe bado kapuku.
 
Honestly wewe huwezi kuteuliwa coz unajikomba to the extent ya kuandika kama huna kichwa na hiyo inakuharibia kwa sbb

1)Wakuteue wakupachike wapi na wewe unajipotray kama li jinga?

2)Unatumia nguvu kubwa kupata attention yao na hiyo inaweza kuwaogopesha kuwa wewe ni adui anayetafuta namna ya kumkaribia mama yetu

Anywayz,endelea kupiga domo who knowz🙏
😹😹😹 Ila sis basi msameheni kaka Luca ni maisha yanamchanganya..!!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeona andiko la Mwana jukwaa Mwenzetu afahamikae kama Johnthebaptist akitoa pongezi na kusema kuwa nimepata Uteuzi.

Ningependa kusema ya kuwa habari hiyo ni ya uongo na uzushi tu na haina ukweli wa aina yoyote ile.View attachment 3381166

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi kweli kabisa Lucas uliamini kwamba watu watamwamini Jo? 😂😂😂
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeona andiko la Mwana jukwaa Mwenzetu afahamikae kama Johnthebaptist akitoa pongezi na kusema kuwa nimepata Uteuzi.

Ningependa kusema ya kuwa habari hiyo ni ya uongo na uzushi tu na haina ukweli wa aina yoyote ile.View attachment 3381166

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni Rais gani huyo Mwendawazimu akuteue Failure na Nut kama Wewe Tanzania hii? Acha kujipa UMUHIMU ambao hauna.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeona andiko la Mwana jukwaa Mwenzetu afahamikae kama Johnthebaptist akitoa pongezi na kusema kuwa nimepata Uteuzi.

Ningependa kusema ya kuwa habari hiyo ni ya uongo na uzushi tu na haina ukweli wa aina yoyote ile.View attachment 3381166

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tukuulize kazi ya uchawa unaendelea nayo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeona andiko la Mwana jukwaa Mwenzetu afahamikae kama Johnthebaptist akitoa pongezi na kusema kuwa nimepata Uteuzi.

Ningependa kusema ya kuwa habari hiyo ni ya uongo na uzushi tu na haina ukweli wa aina yoyote ile.View attachment 3381166

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mama itabidi akukumbuke
 
Watu wanakusanifu Tu ni mjinga gani anaweza akuteue wewe!!!
Sisi tulikuwa tunakucheka Tu kumbe mwenyewe unajiona bongeee la kiongozi
 
Back
Top Bottom