didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 2,101
- 3,567
jamii forum kuna wewe alafu Twitter (x) kuna sufian matravota. hamteuliki kwasababu ni wendahazimu
Acha ujinga wewe 🤣🤣🤣 yaan unajipa mileage kua upo kweny category za teuzi, wewe utabaki kupiga zumari mitandaon tu na kulamba nyayo za viongoz wako, over!!!Ndugu zangu Watanzania,
Nimeona andiko la Mwana jukwaa Mwenzetu afahamikae kama Johnthebaptist akitoa pongezi na kusema kuwa nimepata Uteuzi.
Ningependa kusema ya kuwa habari hiyo ni ya uongo na uzushi tu na haina ukweli wa aina yoyote ile.View attachment 3381166
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ndio tunaelekea dukani kutafuta suti za kijaniSijateuliwa bado. Na kama ningekuwa nimeteuliwa ungepewa taarifa na mdogo wako ephen_ ili mshone kabisa sare kwa ajili ya kunisindikiza katika kura kiapo. Kwa hakika mpaka muda huu ephen na wewe mngekuwa mnabubujikwa na machozi ya furaha tu.
Sawa ndoto NJEMA hiyo,nilitaka kububujikwa na machozi ya furaha na ningehamia huko kwenye eneo la uteuzi wako ili tupiganie no reforms no election pamoja!Ndugu zangu Watanzania,
Nimeona andiko la Mwana jukwaa Mwenzetu afahamikae kama Johnthebaptist akitoa pongezi na kusema kuwa nimepata Uteuzi.
Ningependa kusema ya kuwa habari hiyo ni ya uongo na uzushi tu na haina ukweli wa aina yoyote ile.View attachment 3381166
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni jina lake halisi kama p Mayala!mwashambwa is not fake ID
Uongozi unatoka kwa MunguDah pole kaka kwa kukosa teuzi kwa maranyingine tena.
Na Tlaahtlaah!jamii forum kuna wewe alafu Twitter (x) kuna sufian matravota. hamteuliki kwasababu ni wendahazimu
Naacha nafasi ili na wengine mpate nafasi ya kuweka namba zenu.Pole sana, tatizo siku hizi huweki namba yako ya Simu
Uzushi kivipi kwani kuteuliwa ni kubaya?Ndugu zangu Watanzania,
Nimeona andiko la Mwana jukwaa Mwenzetu afahamikae kama Johnthebaptist akitoa pongezi na kusema kuwa nimepata Uteuzi.
Ningependa kusema ya kuwa habari hiyo ni ya uongo na uzushi tu na haina ukweli wa aina yoyote ile.View attachment 3381166
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Pale mwisho ukisifia na kupongeza,weka mawasiliano yako hata physical address tutakupa nafasi,hebu fanyia kazi ushauri huu LucasNaacha nafasi ili na wengine mpate nafasi ya kuweka namba zenu.
Huyu ni chadema ccm wanamjua ,kumteua lazima kwanza ale kiapo cha maana vinginevyo atauza siri za chamaNa Tlaahtlaah!
Sio kwa mama??Uongozi unatoka kwa Mungu
Wabubujikwe na machozi!Naacha nafasi ili na wengine mpate nafasi ya kuweka namba zenu.
Kwa hiyo ni member wa no reforms no election!Huyu ni chadema ccm wanamjua ,kumteua lazima kwanza ale kiapo cha maana vinginevyo atauza siri za chama
Huyu mkuu usimchukulie serious, nimesema hili mara nyingi, wenda hata mahakamani anaudhuria kesi ya mh lissu , alafu huku anajifanya kukibagaza chamaKwa hiyo ni member wa no reforms no election!
Sio kwa mama??