Puuzeni Uzushi. Mimi Sijateuliwa Popote Pale

Puuzeni Uzushi. Mimi Sijateuliwa Popote Pale

Ndugu zangu Watanzania,

Nimeona andiko la Mwana jukwaa Mwenzetu afahamikae kama Johnthebaptist akitoa pongezi na kusema kuwa nimepata Uteuzi.

Ningependa kusema ya kuwa habari hiyo ni ya uongo na uzushi tu na haina ukweli wa aina yoyote ile.View attachment 3381166

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Watu wanakusanifu tu, uteuliwe na nani sasa? we endelea kurusha mate na kububujikwa na machozi
 
Sisi tunaamini umeteuliwa, labda jamiichek waje waseme tofauti.

Hongera sana
Sijateuliwa bado. Na kama ningekuwa nimeteuliwa ungepewa taarifa na mdogo wako ephen_ ili mshone kabisa sare kwa ajili ya kunisindikiza katika kura kiapo. Kwa hakika mpaka muda huu ephen na wewe mngekuwa mnabubujikwa na machozi ya furaha tu.
 
Sijateuliwa bado. Na kama ningekuwa nimeteuliwa ungepewa taarifa na mdogo wako ephen_ ili mshone kabisa sare kwa ajili ya kunisindikiza katika kura kiapo. Kwa hakika mpaka muda huu ephen na wewe mngekuwa mnabubujikwa na machozi ya furaha tu.
Sasa itakuaje Luka, nimebubujikwa na machozi ya furaha kwa wewe kuteuliwa, alafu unakanisha? Machozi yangu yameenda bure kweli Lucas! Naomba fidia siyo kwa mbubujiko ule. Jua kali sana kupoteza chozi tafadhali fidia Luka.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeona andiko la Mwana jukwaa Mwenzetu afahamikae kama Johnthebaptist akitoa pongezi na kusema kuwa nimepata Uteuzi.

Ningependa kusema ya kuwa habari hiyo ni ya uongo na uzushi tu na haina ukweli wa aina yoyote ile.View attachment 3381166

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
sasa kwa yale majina ..bwana lucas umeona ungeweza toboa kweli...wewe level zako ni tisheti kofia na buku 5....
 
Back
Top Bottom