Kaulizwa swali,
Mwandishi: Je, Unaweza kusamehe ??
V. V. Putin: Ndiyo, lakini siyo vitu vyote.
Mwandishi: Kitu gani huwezi kusamehe ??
V.V. Putin: Siwezi kusamehe usaliti hata siku moja.
Unalazimisha kulazimishwa?Kafie mbele huko.Niblock tena
Ngoja uchaguzi wa Jumapili upite.Sasa hivi anashughulika na kampeni ya uchaguzi jumapili.
Matamko yote muhimu amemwachia mtaalam, Sergey Lavrov.
Na muda si mrefu Russia inawafukuza wanadiplomasia wa UK kule Moscow.
Tupo pamoja.Yah ni RAIA wa Urusi maana yake ni "double agent"
Uwe unaelewa na wewe. Ndiyo maana mnafeli mitihani maana hamuelewi maswali mnaanza kukimbilia kujibu..Spy wa Uingereza? Krispal na bintiye Yuria ni raia wa Russia sio wa Uingereza.
Putin aliwah kumwambia j mccain kuw Alikuwa mateka wa vita ya vietnam..hivyo akili zake aliziacha huko.Kama sijakosea mwaka 2007 Vladimir alienda marekani kukutana na Bush walipiga picha ya pamoja na walienda pamoja nyumba ya Bush wakapiga story,kula na mengi kama unavyojua Putin hakubaliki marekani waandishi wa habari wakamuuliza Bush unamuamini Vladimir Bush akajibu nimemtizana Vladimir machoni nikaona roho yake.Sasa John McCain kwenye kipindi alikuwa anahojiwa na akaulizwa kuhusu statement ya Bush ndipo akajibu akimtizima Vladimir Putin machoni anaona herufi 3 K G B
Kwa jinsi alivyoambiwa Mc Cain haya maneno na huyu KGB inajidhihirisha kuwa huyu Putin si mtu wa kubabaishwa.Putin aliwah kumwambia j mccain kuw Alikuwa mateka wa vita ya vietnam..hivyo akili zake aliziacha huko.
putin mzeee wa misimamo
Kwani anko ameshindwa kumwondoa Chachali Na MangeMcCain:"Nikimtizama Putin machoni ninaona herufi 3 ,K G B
Putin angekuwa TZ ,aah akina chahali ,Da Ma kitambo sana
Sasa kulikuwa na haja gani ya kutumia Lugha hiyo? Kafie mbele! Pole kama una stress ndugu
Kuna mtu kakuuliza?Sasa kulikuwa na haja gani ya kutumia Lugha hiyo? Kafie mbele! Pole kama una stress ndugu
Kuna mtu kakuuliza?
mimi bado naamini he is the bast stateman so far.Kwa jinsi alivyoambiwa Mc Cain haya maneno na huyu KGB inajidhihirisha kuwa huyu Putin si mtu wa kubabaishwa.
Putin anaiwaza USA baada ya kupambana na China ambaye ameshampiga dole karibu kwenye kila kitu
Habari za asubuh mkuuUrusi anamfahamu Uchina vizuri kuliko ambavyo nchi yoyote inaifahamu Uchina.
Uchina siyo tishio kwa Urusi kabisa kwasababu Urusi ndiye anayezuia Marekani na NATO wasimfanyie umafia kule Pasifiki. Uchina angekuwa peke yake kwenye hii vita basi angeumia sana tokea miaka ya 1990's huko. Nguvu kubwa ya Kidiplomasia, Kijeshi na Kiteknolojia ya Urusi ndiyo inamfanya Uchina awe na kiburi kwa namna moja au nyingine; Hivyo hivyo nguvu kubwa ya Uchumi ya Uchina inamfaidisha Urusi kwa namna moja au nyingine (Sidhani kama itakuwa ni busara kutaka kugombana na mtu mnayetegemeana naye na mbaya zaidi ni jirani yako ambaye mna mpaka moja)
Habari za asubuh mkuu
Lakini hebu jiulize Russia atafaidika nini na uchumi wa uchina wakati yeye Russia akiendelea kutembea kwa mwendo wa kinyonga?
Nilikuwa sijafatilia hili mkuu and I will go throughAnafaidika sana sana,
Anauza gesi na mafuta (Nishati) ambalo ni tatizo kubwa sana nchini Uchina na India.
Anawauzia silaha na tafiti za kiteknolojia ambazo Wachina hawana kabisa. Au hujafuatilia takwimu za dili la Uchina na kampuni la nishati la GAZPROM ?