Putin: Siwezi kusamehe usaliti

Putin: Siwezi kusamehe usaliti

Spy wa Uingereza? Krispal na bintiye Yuria ni raia wa Russia sio wa Uingereza.
Hawa ni warusi lakini kwa sasa ni raia wa uingereza!!! Krispal aliisaliti urusi wakati akifanya kazi KGB kama jasusi lakini akarubuniwa na uingereza akawa anatoa siri za urusi kwa waingereza!! Walimgundua wakamkamata! Alishitakiwa na akakutwa na hatia na akafungwa!! Lakini kuna majasusi wa urusi waliokuwa wamekamatwa uingereza na kuhukumiwa kufungwa huko!
Kilichofanyika ni kubadilishana wafungwa!! Hicho ndicho kilichomfanya huyu jamaa kuhamia uingereza na familia yake. Amepewa uraia wa uingereza!
 
MTU anapoamua kuwa double agent anajua kabisa kuwa hiyo ni maximum risk na anajua kabisa akigundulika adhabu yake ni kifo tu!! Kwa hiyo kilichomtokea alikuwa anakijua, hamna haja ya kumhurumia!
 
Halafu kwanini unakunywa bia za bei ndogo, Magufuli amekuvuruga sana eehh ??
Teh teh teh teh teh na bado ngumbaru lazima unyoke mwaka huu.
Hahahahaaa!Bia za kunywa wakati unataka kwenda shamba kulima hizo.Hivi weye uliacha kula maandazi mawili yalopakwa chilisosi kama lunch yako?
 
Hahahahaaa!Bia za kunywa wakati unataka kwenda shamba kulima hizo.Hivi weye uliacha kula maandazi mawili yalopakwa chilisosi kama lunch yako?
Mimi nakula viazi na ndizi huku Kagera,
Chilisosi tumewaachia nyie watoto laini laini.
 
Ndizi na viazi vililiwa na kuvu.Weye Sema upo Dodoma unakazia saumu kwa kubugia viwavijeshi na maji ya madimbwini.
Bwahahahahaha, basi leo usiku uje na ile ID yako ya kishambwaaa ile.
Ila BAVICHA mnakutamani sana DODOMA lakini ndiyo hamuwezi kuingia.
Naona unahisi siku CHADEMA wakichukua nchi utapiga BALIMI za Bure
😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Bwahahahahaha, basi leo usiku uje na ile ID yako ya kishambwaaa ile.
Ila BAVICHA mnakutamani sana DODOMA lakini ndiyo hamuwezi kuingia.
Naona unahisi siku CHADEMA wakichukua nchi utapiga BALIMI za Bure
😀😀😀😀😀😀😀😀
Mkuu,unajua kucheka .Nitakuja nayo. Leo,hata hivyo angles zako naenda nazo kwa kitumia kamasi.Sinasi!Hahahahaaa.
 
Back
Top Bottom