MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,452
- 69,332
- Thread starter
- #21
hujajibu swali.....Putin ndiyo kafanya vile ???Unajidanganya!! Kwani hata huku unadhani wanafanya kwa mikono yao ?!
hujajibu swali.....Putin ndiyo kafanya vile ???Unajidanganya!! Kwani hata huku unadhani wanafanya kwa mikono yao ?!
Hahahaaaa,,,,,,akukijibu unitagUrusi ilisambaratika kwasababu gani haswa ???
Kwenye uwindaji ukishamwambia mbwa "shika". Bila shaka sifa si za mbwahujajibu swali.....Putin ndiyo kafanya vile ???
Mr naona unarud tenaputin mzeee wa misimamo
mara moja moja si mbayaMr naona unarud tena
Kwenye uwindaji ukishamwambia mbwa "shika". Bila shaka sifa si za mbwa
siyo kuishi milele aisee alichofanya huyo duble agent ni kibaya sana namfananisha na lissu kwenye issue ya Acacia...Utadhani yeye ataishi milele
Mpuuzi tu.Abadili katiba atawale milele
Hatuwezi kufanana mawazo.Hata ingekuwa embe soshalisiti regime!Unadhania Urusi ni Banana Republic ???
Hatuwezi kufanana mawazo.Hata ingekuwa embe soshalisiti regime!
Alikuwa in spy wa UingerezaSpy wa Uingereza? Krispal na bintiye Yuria ni raia wa Russia sio wa Uingereza.
Hakuna kitu kibaya kama kusalitiwa mkuuKuweweseka mauaji wewe !!?? Hivi wafuasi wa hawa watu, ndio maana mnashabikia na mauaji ya hapa nyumbani Tz!!
Double agentSpy wa Uingereza? Krispal na bintiye Yuria ni raia wa Russia sio wa Uingereza.
Haina haja ya kuoa/kuolewa ama kuwa na mtoto ukishakuwa jasusi hasa hasa ukiwa ni double agent.. mwisho wa siku utaishia kulia tu kwa kuangamiziwa familiaputin ana roho mbaya.......huyu jasusi alikamatwa russia akiisaliti urusi kwa kutuma siri uingereza, kuna majasusi wengine walikamatwa marekan wakifanya ujasusi na kutuma info urusi Sergei V. Skripal, so mataifa haya yakakaa na kukubaliana wabadilishane hawa double agents waliowakamata na hilo likafanyika kila mtu akabeba double agents wake akapeleka vienna ambako mabadilishano yalifanyika kila mtu akaondoka na double agent wake.....sasa leo hii russia kumake move against huyu jamaa tena ni ucoward wa hali ya juu,mke wake alikufa mwaka jana kwe mazingira tata, mwanae wa kiume akaja kufa kwe mazingira hayohayo wakabaki yeye na binti yake ambao nao ndo hao wako hoi ICU.......PUTIN ana roho ya kipekee sana jaribu kurecall kilimchopata aliekuwa rafiki yake mkubwa bwn mikhail khordokovorsky billionea wa zamani wa russia alipojaribu kujihusisha na siasa kunyatia urais.......leo hii yupo uhamishoni uswisi amefilisika mpk mwsho hataki kabisa kusikia kuhusu siasa za urusi
Kwanini unamkubali ??Ndio maana namkubali sana Mr Putin,.Vladimir