Putin: Siwezi kusamehe usaliti

Putin: Siwezi kusamehe usaliti

Lakini putin anakosa heshima, anashindwa kuheshimu mipaka ya nchi iweje utume watu kwenda kuua nchi nyingne Tena kwa dharau baada ya kunyamaza anaendelea kujibizana

Mbona maspy wa west waliokimblia urusi hawafatiliwi
Sijapenda hii kitu ya huyu mzee putin

C.I.A walikuwa wanakuja kuteka watu wa Wazanzibar hapa Tanzania,
Ilifika kipindi walijazana pale Iringa wakiwa wanawafuatilia Masheikh na kudai wanahusika na Ugaidi.
Mbali na hapo walikuwa wanateka raia wa nchi mbali mbali halafu wanawapeleka kwenye magereza yao ili kuwatesa.
MOSSAD ndiyo usiseme wanaingia Iran na kuua maprofesa wa Nyuklia mbona haya huyaoni mkuu ???
 
Nilikuwa sijafatilia hili mkuu and I will go through

Lakini putin anakosa heshima, anashindwa kuheshimu mipaka ya nchi iweje utume watu kwenda kuua nchi nyingne Tena kwa dharau baada ya kunyamaza anaendelea kujibizana

Mbona maspy wa west waliokimblia urusi hawafatiliwi
Sijapenda hii kitu ya huyu mzee putin
We ni nani na hata usipende? Whether you like or not, utaifa ndio kitu cha msingi kwa hawa jamaa!! Huwezi ukacheka na spy mwenye siri za nchi halafu yuko upande wa mahasimu.

Safi Putin!!
 
C.I.A walikuwa wanakuja kuteka watu wa Wazanzibar hapa Tanzania,
Ilifika kipindi walijazana pale Iringa wakiwa wanawafuatilia Masheikh na kudai wanahusika na Ugaidi.
Mbali na hapo walikuwa wanateka raia wa nchi mbali mbali halafu wanawapeleka kwenye magereza yao ili kuwatesa.
MOSSAD ndiyo usiseme wanaingia Iran na kuua maprofesa wa Nyuklia mbona haya huyaoni mkuu ???
Mkuu huwezi kurudia kosa kwa kusingizia mbna nyie mlifanya

Tujikite kwenye maantiki

Alichokifanya putin kwenda kuua ndani ya nchi isiyo yake Ni sahihi?

Halafu kitu Kibaya zaidi anamfanyia uhuni uingereza
Uingereza huyu mwenye ushawishi wa robo Tatu ya Dunia

Fikiria uingereza akiamua kumuwekea Urus vikwazo kupitia nchi washirika?

Urusi duniani kote anaushawish kwa nchi zisizozidi tano
Je uingereza akitumia uzoefu wake kumuwekea mrusi vikwazo itakuwa Sawa?
 
Mkuu huwezi kurudia kosa kwa kusingizia mbna nyie mlifanya

Tujikite kwenye maantiki

Alichokifanya putin kwenda kuua ndani ya nchi isiyo yake Ni sahihi?

Halafu kitu Kibaya zaidi anamfanyia uhuni uingereza
Uingereza huyu mwenye ushawishi wa robo Tatu ya Dunia

Fikiria uingereza akiamua kumuwekea Urus vikwazo kupitia nchi washirika?

Urusi duniani kote anaushawish kwa nchi zisizozidi tano
Je uingereza akitumia uzoefu wake kumuwekea mrusi vikwazo itakuwa Sawa?

International Politics knows very little of morality.
Wewe kama unafanya kwanini hutaki mwenzako asifanye ??
Hivi unadhani Wamarekani na Waingereza wakipata nafasi ya kumdhuru Snowden watamuacha ??

NB: Ila yote tisa haya madai hayana ushahidi wowote ule.
 
International Politics knows very little of morality.
Wewe kama unafanya kwanini hutaki mwenzako asifanye ??
Hivi unadhani Wamarekani na Waingereza wakipata nafasi ya kumdhuru Snowden watamuacha ??

NB: Ila yote tisa haya madai hayana ushahidi wowote ule.
Boris amesema, putin ndiye aliyewatuma maspy kuja kumaliza kazi

Wenzetu hawana siasa kutajana bila sababu

Mkuu angalau nchi za magharibi zinaheshimu mtu kupewa ukimbizi
Ndio maana Kuna mmoja ameomba ukimbizi ndani ya ubaloz wa Ecuador uliopo uingereza km sikosei na USA hawashughuliki nae wanaafuata proper ways kumpata na sio kumuua
 
Boris amesema, putin ndiye aliyewatuma maspy kuja kumaliza kazi

Wenzetu hawana siasa kutajana bila sababu

Mkuu angalau nchi za magharibi zinaheshimu mtu kupewa ukimbizi
Ndio maana Kuna mmoja ameomba ukimbizi ndani ya ubaloz wa Venezuela uliopo uingereza km sikosei na USA hawashughuliki nae wanaafuata proper ways kumpata na sio kumuua

Kama zinaheshimu haki ya Ukimbizi kwanini Julian Assange wa Wiki-Leaks amejificha kwenye Ubalizi wa Ecuador hadi leo ?? Yote haya ni chuki kwasababu anawaambia Ukweli na kuwakosoa. Mbona haya huyaoni mkuu ???
 
MWISHO wa maisha ya USPY unapogundulika na counter-intelligence ni MAUTI isiyokuwa ya kawaida ( yaweza kuwa ya kulishwa sumu ,kugongwa na gari maeneo yasiyomithilika kama ONE WAY DODOMA ,ya kunyongwa ama kupigwa risasi) na hilo wanafunzwa mara 10000 hukooo kwenye academy zao.Na ndiyo maana undercover agents wanalipwa GHALI kuliko diplomatic spies the world over!Ukipoteza muda kumwombolezea SPY ambaye ana-graduate kwenye kazi zake shauri yako!
 
MWISHO wa maisha ya USPY unapogundulika na counter-intelligence ni MAUTI isiyokuwa ya kawaida ( yaweza kuwa ya kulishwa sumu ,kugongwa na gari maeneo yasiyomithilika kama ONE WAY DODOMA ,ya kunyongwa ama kupigwa risasi) na hilo wanafunzwa mara 10000 hukooo kwenye academy zao.Na ndiyo maana undercover agents wanalipwa GHALI kuliko diplomatic spies the world over!Ukipoteza muda kumwombolezea SPY ambaye ana-graduate kwenye kazi zake shauri yako!
Ooooh
 
Kama zinaheshimu haki ya Ukimbizi kwanini Julian Assange wa Wiki-Leaks amejificha kwenye Ubalizi wa Ecuador hadi leo ?? Yote haya ni chuki kwasababu anawaambia Ukweli na kuwakosoa. Mbona haya huyaoni mkuu ???
OP lumumba
Twende kwenye jicho la Tatu

Je urusi Ni nchi ikiyostaarabika na kuheshimiana km nchi za ulaya na Marikani?

Kwanini wakimbizi wengi wanaotorekea vita middle east na Arab world wengi wanarefaa kwenda Europe na amerika na sio Russia

Angalia Syria kwa mfano mfadhili mkuu wa Assad Ni serkali ya bwana putin
Lkn hana Habari na wakimbizi

Unafikiri Urus imestaarabika kweli au kwa kuwa ipo ulaya tu
 
MWISHO wa maisha ya USPY unapogundulika na counter-intelligence ni MAUTI isiyokuwa ya kawaida ( yaweza kuwa ya kulishwa sumu ,kugongwa na gari maeneo yasiyomithilika kama ONE WAY DODOMA ,ya kunyongwa ama kupigwa risasi) na hilo wanafunzwa mara 10000 hukooo kwenye academy zao.Na ndiyo maana undercover agents wanalipwa GHALI kuliko diplomatic spies the world over!Ukipoteza muda kumwombolezea SPY ambaye ana-graduate kwenye kazi zake shauri yako!
That ain't jusfy to make assassination out of your empire

Hakuna sheria inayoruhusu kuua, Tena kuua nje ya mpaka wako
 
OP lumumba
Twende kwenye jicho la Tatu

Je urusi Ni nchi ikiyostaarabika na kuheshimiana km nchi za ulaya na Marikani?

Kwanini wakimbizi wengi wanaotorekea vita middle east na Arab world wengi wanarefaa kwenda Europe na amerika na sio Russia

Angalia Syria kwa mfano mfadhili mkuu wa Assad Ni serkali ya bwana putin
Lkn hana Habari na wakimbizi

Unafikiri Urus imestaarabika kweli au kwa kuwa ipo ulaya tu

Mkuu,
Mosi, Ustaarabu is a Relative Term.
Wanadamu hatuwezi kulingana, na kama unaamini kwamba mfumo wa maisha wa Warumi na Wagiriki ndiyo Ustaarabu. Basi ni dhahiri kwamba kila ambacho sicho cha Mzungu utakiona ni kitu cha kishenzi, hata kama ni dhahabu.

Pili, Wakimbizi wa Syria kukimbilia Ulaya haimaanishi wao ndiyo wamestaarabika kuliko wengine.
Huu mfano hauna mashiko kabisa kwasababu Wakimbizi hata Tanzania, Congo DRC na Uganda wapo wengi tu,
Wala hili halimaanishi kwamba sisi Watanzania tumestaarabika sana kuliko Wanyarwanda, Warundi au Wakongo.

Tatu, neno mkimbizi kilatini chake ni "fugere" ambalo linamaanisha mtu mkimbiaji.
Ukisoma vizuri UNITED NATIONS REFUGEE CONVENTION 1951 wanasema A refugee is a person who runs away from his home country, and seek asylum in another foreign state due to the fear of persecution which can result out of War, Ethnic Violence, Religious Persecution, Natural Calamities etc. Mpaka hapa utakuja kugundua kitu kimoja cha muhimu kwamba, mkimbizi huwa hana uchaguzi wa wapi aelekee. Yeye hukimbilia popote pale ambapo atapata usalama wake kwa muda tu. Ukiona mkimbizi anachagua kwa kwenda huyi siyo mkimbizi bali ni muhuni tu anaganga njaa.

Mifano hai:
1. Wakimbizi tokea Syria hawakimbilii Ulaya peke yake kama unavyoamini, wengi wako Jordan na Lebanon.
2. Wazungu wengi sana wakati wa vita ya pili ya dunia walikimbilia Africa na India (Hapa una la kusema ?)
3. Watanzania wengi baada ya Mkapa kuwavuga Zanzibar mwaka 2001 walikimbilia Somalia (teh teh teh)

NB: Hapa hoja yako ya Ulaya mkuu wangu inakosa mashiko kabisa.
Kwasababu hata Somalia ishawahi kutunza Wakimbizi wa kipemba japo kule kuna vurugu kuliko hapa kwetu.

Nne, ukweli mchungu ambao unaufumbia mambo ni kwamba,
Watu wengi wanakimbilia Ulaya kutafuta maisha na walu hakuna jingine la maana sana.
Takwimu zinasema siku hizi mambo yanabadilika sana, watu wakishchuma mapesa huko Ulaya huwa wanarudi kwao.
Hapa suala la kustaarabika au kutostaarabika halina mashiko kabisa kwasababu watu wanaangalia Maslahi kwanza.

Hivyo kama Urusi ingekuwa bado ina nguvu kubwa kiuchumi kama zamani basi leo hii wangekuwa wanapata wageni sana kama ilivyokuwa miaka ya 60's, 70's na 80's. Kukuhakikishia hili tembea hata hapo Afrika Kusini uone jinsi ambavyo Watanzania, Waethipia na Wakenya wamezamia kutafuta maisha. Hili halimaanishi kwamba wao ndiyo wastaarabu kuliko Afrika nzima, la hasha. Ila tu wana mapesa mengi na madili kuliko sehemu yoyote ya kusini mwa jangwa la sahara.

NB:Ustaarabu ambao wewe unauongelea kuhusiana na Ulaya siuelewei ni upi,
Hebu dadavua kwanza kisha tuendelee na mjadala.
 
Mkuu,
Mosi, Ustaarabu is a Relative Term.
Wanadamu hatuwezi kulingana, na kama unaamini kwamba mfumo wa maisha wa Warumi na Wagiriki ndiyo Ustaarabu. Basi ni dhahiri kwamba kila ambacho sicho cha Mzungu utakiona ni kitu cha kishenzi, hata kama ni dhahabu.

Pili, Wakimbizi wa Syria kukimbilia Ulaya haimaanishi wao ndiyo wamestaarabika kuliko wengine.
Huu mfano hauna mashiko kabisa kwasababu Wakimbizi hata Tanzania, Congo DRC na Uganda wapo wengi tu,
Wala hili halimaanishi kwamba sisi Watanzania tumestaarabika sana kuliko Wanyarwanda, Warundi au Wakongo.

Tatu, neno mkimbizi kilatini chake ni "fugere" ambalo linamaanisha mtu mkimbiaji.
Ukisoma vizuri UNITED NATIONS REFUGEE CONVENTION 1951 wanasema A refugee is a person who runs away from his home country, and seek asylum in another foreign state due to the fear of persecution which can result out of War, Ethnic Violence, Religious Persecution, Natural Calamities etc. Mpaka hapa utakuja kugundua kitu kimoja cha muhimu kwamba, mkimbizi huwa hana uchaguzi wa wapi aelekee. Yeye hukimbilia popote pale ambapo atapata usalama wake kwa muda tu. Ukiona mkimbizi anachagua kwa kwenda huyi siyo mkimbizi bali ni muhuni tu anaganga njaa.

Mifano hai:
1. Wakimbizi tokea Syria hawakimbilii Ulaya peke yake kama unavyoamini, wengi wako Jordan na Lebanon.
2. Wazungu wengi sana wakati wa vita ya pili ya dunia walikimbilia Africa na India (Hapa una la kusema ?)
3. Watanzania wengi baada ya Mkapa kuwavuga Zanzibar mwaka 2001 walikimbilia Somalia (teh teh teh)

NB: Hapa hoja yako ya Ulaya mkuu wangu inakosa mashiko kabisa.
Kwasababu hata Somalia ishawahi kutunza Wakimbizi wa kipemba japo kule kuna vurugu kuliko hapa kwetu.

Nne, ukweli mchungu ambao unaufumbia mambo ni kwamba,
Watu wengi wanakimbilia Ulaya kutafuta maisha na walu hakuna jingine la maana sana.
Takwimu zinasema siku hizi mambo yanabadilika sana, watu wakishchuma mapesa huko Ulaya huwa wanarudi kwao.
Hapa suala la kustaarabika au kutostaarabika halina mashiko kabisa kwasababu watu wanaangalia Maslahi kwanza.

Hivyo kama Urusi ingekuwa bado ina nguvu kubwa kiuchumi kama zamani basi leo hii wangekuwa wanapata wageni sana kama ilivyokuwa miaka ya 60's, 70's na 80's. Kukuhakikishia hili tembea hata hapo Afrika Kusini uone jinsi ambavyo Watanzania, Waethipia na Wakenya wamezamia kutafuta maisha. Hili halimaanishi kwamba wao ndiyo wastaarabu kuliko Afrika nzima, la hasha. Ila tu wana mapesa mengi na madili kuliko sehemu yoyote ya kusini mwa jangwa la sahara.

NB:Ustaarabu ambao wewe unauongelea kuhusiana na Ulaya siuelewei ni upi,
Hebu dadavua kwanza kisha tuendelee na mjadala.
Ustaarabu Ni pamoja na kuheshimiana, kuheshimu maoni ya wengne

Ustaarabu unajumuisha pia demokrasia ya kweli

Nikijikita kwenye demokrasia kwa ufupi sana nchini Russia
Putin hana tofauti na dikteta
Anaua na kuwafunga wapinzani wake kisiasa kwa kifupi Ni mtu asiyeamini katika demokrasia

Kiongozi kama huyu hatuwezi kumuita mtu aliyesttaarabika Ni mtu ambaye yupo kwa maslahi yake na kundi lake

Tatizo moja la putin Ni kwamba anataka apunguze ushawishi wa Marikani duniani kwa kupitia mgongo wa yule yule Marikani

Hebu angalia ziara ya Juzi ya waziri wake wa masuala ya kimataifa Sergie labrov barani Africa
Ni ziara ambayo haikuwa na umuhimu anaomba kukutana na kufanya maongezi na waziri wa mashauri ya kigeni wa Marikani bila ajenda za msingi lengo tu niktaka kujiweka kwenye Raman ya Dunia

Nakubaliana na wewe kuwa mkimbizi hachagui pakwenda hata Tanzania tulipata wakimbizi wakati wa vita vya pili vya dunia wapo pale arusha

Lakini jiulize Sera za uhamiaji za urusi Ni Rafiki kwa wahamiaji? Acha wakimbizi


Pia usishupaze shingo mzee Malcom, nataka unijibu kinagaubaga
Je urusi Ni nchi ikiyostaarabika ukilinganisha na mahasimu wake wa magharibi
 
Ustaarabu Ni pamoja na kuheshimiana, kuheshimu maoni ya wengne
Kwa hiyo mkuu,
Hii ndiyo maana ya Ustaarabu ??
Nikijikita kwenye demokrasia kwa ufupi sana nchini Russia
Putin hana tofauti na dikteta
Anaua na kuwafunga wapinzani wake kisiasa kwa kifupi Ni mtu asiyeamini katika demokrasia
Kiongozi kama huyu hatuwezi kumuita mtu aliyesttaarabika Ni mtu ambaye yupo kwa maslahi yake na kundi lake

Democracy is a Value not a system.
We build formal institutions aspiring to attain that value.
This you must always remember my friend. Prof you are good with these things please help the brother out!
 
Back
Top Bottom