Putin: Siwezi kusamehe usaliti

Putin: Siwezi kusamehe usaliti

Unadhania ujamaa ni U-Marxist peke yake??
Teh teh teh teh teh!
Lumumba kuna kitu nakiona tangu nikiwa kijana wa Tanu youth league. Kama si u king'ang'anizi wa chama basi ni wa mtu. eg Cuba, China, Tz , North Korea etc. Mfumo huu wa kina Putin hauruhusu mawazo mbadala . Na ndicho kinachoisumbua Tz ktk kuendesha nchi
 
putin ana roho mbaya.......huyu jasusi alikamatwa russia akiisaliti urusi kwa kutuma siri uingereza, kuna majasusi wengine walikamatwa marekan wakifanya ujasusi na kutuma info urusi Sergei V. Skripal, so mataifa haya yakakaa na kukubaliana wabadilishane hawa double agents waliowakamata na hilo likafanyika kila mtu akabeba double agents wake akapeleka vienna ambako mabadilishano yalifanyika kila mtu akaondoka na double agent wake.....sasa leo hii russia kumake move against huyu jamaa tena ni ucoward wa hali ya juu,mke wake alikufa mwaka jana kwe mazingira tata, mwanae wa kiume akaja kufa kwe mazingira hayohayo wakabaki yeye na binti yake ambao nao ndo hao wako hoi ICU.......PUTIN ana roho ya kipekee sana jaribu kurecall kilimchopata aliekuwa rafiki yake mkubwa bwn mikhail khordokovorsky billionea wa zamani wa russia alipojaribu kujihusisha na siasa kunyatia urais.......leo hii yupo uhamishoni uswisi amefilisika mpk mwsho hataki kabisa kusikia kuhusu siasa za urusi
Hapo mwisho mkuu nimecheka mubashara
 
Wakisharudi hao wanadiplomasia wapimwe wasije? Wakawa wamepewa sumu ya kufa mdogo mdogo

Leo Waingereza wamesema wanajeshi wao watawapa chanjo ya kuzuia sumu kama ilivyotokea kwa Russia
 
Hii aliitoa wapi mkuu
Kama sijakosea mwaka 2007 Vladimir alienda marekani kukutana na Bush walipiga picha ya pamoja na walienda pamoja nyumba ya Bush wakapiga story,kula na mengi kama unavyojua Putin hakubaliki marekani waandishi wa habari wakamuuliza Bush unamuamini Vladimir Bush akajibu nimemtizana Vladimir machoni nikaona roho yake.Sasa John McCain kwenye kipindi alikuwa anahojiwa na akaulizwa kuhusu statement ya Bush ndipo akajibu akimtizima Vladimir Putin machoni anaona herufi 3 K G B
 
Lumumba kuna kitu nakiona tangu nikiwa kijana wa Tanu youth league. Kama si u king'ang'anizi wa chama basi ni wa mtu. eg Cuba, China, Tz , North Korea etc. Mfumo huu wa kina Putin hauruhusu mawazo mbadala . Na ndicho kinachoisumbua Tz ktk kuendesha nchi
USA wamekuwa na historia ya kutaka kubadili viongozi wa nchi kadhaa mara nyingi mfano kuanzia 1945-1989 marekani walijaribu kubadilisha serikali za nchi 73

Marekani huingilia chaguzi mbalimbali

1.CIA husambaza propaganda ,kutoa sapoti ya pesa na njia nyingi wakitaka kubadili serikali husika mfano mwaka 2015 kwenye uchaguzi wa israel Obama alitoa $1.5 Million kuwapa wapinzani na njia nyingine ili auondoe utawala wa Netanyau


Urusi ,China wanawindwa sana na westerns na leo kesho USA na NATO wanataka ku undermine nguvu ya kijeshi na uchumi wa urusi na USA wanataka hivyo hivyo kwa China ,CIA wanaumiza vichwa kupenyeza agents urusi


Binafsi naona urusi na China wapo makini sana ukiruhusu demokrasia ya vyama vingi wagombea wengi wengine ni agents wanatumiwa na CIA kudhoofisha dola na wanakuwa funded na CIA mfano yule mwanasiasa aliyepigwa risasi Moscow miaka ya nyuma.Huko nyuma usovieti walisalitiwa karibia mara mbili.

Cuba ,Venezuela ,north wanaogopa wakiondolewa mifumo yao itaondoshwa na wao ni waumini wa ujamaa ,hawataki ubepari ,na wajamaa wabishi wanachoamini wao ndio wanaona sahihi hata mwl nyerere alipofeli na ujamaa akaachia madaraka na kumuachia mwinyi aingie kwenye ubepari
 
putin ana roho mbaya.......huyu jasusi alikamatwa russia akiisaliti urusi kwa kutuma siri uingereza, kuna majasusi wengine walikamatwa marekan wakifanya ujasusi na kutuma info urusi Sergei V. Skripal, so mataifa haya yakakaa na kukubaliana wabadilishane hawa double agents waliowakamata na hilo likafanyika kila mtu akabeba double agents wake akapeleka vienna ambako mabadilishano yalifanyika kila mtu akaondoka na double agent wake.....sasa leo hii russia kumake move against huyu jamaa tena ni ucoward wa hali ya juu,mke wake alikufa mwaka jana kwe mazingira tata, mwanae wa kiume akaja kufa kwe mazingira hayohayo wakabaki yeye na binti yake ambao nao ndo hao wako hoi ICU.......PUTIN ana roho ya kipekee sana jaribu kurecall kilimchopata aliekuwa rafiki yake mkubwa bwn mikhail khordokovorsky billionea wa zamani wa russia alipojaribu kujihusisha na siasa kunyatia urais.......leo hii yupo uhamishoni uswisi amefilisika mpk mwsho hataki kabisa kusikia kuhusu siasa za urusi
Double agent... Acha ale pesheni yake
 
Back
Top Bottom