Putin kakanyaga pabaya

Putin kakanyaga pabaya

Next time kabla hujaandika fanya homework kwanza

A recent poll reveals 70% of Russians support the ‘special military operation’

Kuhusu ICC Urusi sio signatory wa hiyo kitu na hakuna wa kumkamata zaidi ya Nchi signatory wa ICC… kiuhalisia nambie nchi gani inaweza jaribu hilo

NB: Marekani sio signatory wa ICC either!
Hiyo poll uliyoitaja hapo, alifanya nani!? Maana utakuwa mpumbavu wa kwanza duniani kuamini poll aliyoifanya mrusi mwenyewe. Haya naomba jibu, hiyo poll nani kaifanya!? Uje na source pia.
 
Mkuu urusi hajaanza kutumia silaha zake. Alikuwa anatumia silaha za kizamani zilizobakia ww2, hakuna mwanajeshi mzoefu wa urusi aliyeenda front hata mmoja, kyv anahangaika na madogo wa mtaani na wale wa weigner.
Sawa Mrusi wa Buza Kwa Mpalange. Naona una data zote kutoka Kremlin ya Buza.
 
We jamaa mbona unajichanganya?

Post iliyopota umesema kyv imeishiwa wanaeshi hao wanaopigana kwa kujificha ni kina nani?😄
Vita imekuea ngumu kwa puttin sababu anapiga kwa kuvizia coz wanajeshi wa kyv wamejichanganya kwa raia na wanapambana wakiwa na ngao ya civillians, wameweka makombora shuleni, hospitali na sehem za watu. Vinginevyo vita ingeshaisha
 
Mkuu napingana na hoja yako kwa fact hizi zifuatazo. I'm ready to be corrected.
1. Si sawa kusema ni USA against Russia, but its NATO dhidi ya russia. Urusi inapambana peke yake, Marekani yup na washirika and always huwa anatumia nguvu kubwa kuomba nchi zingine zimuunge mkono, na anataka adui yake awe adui wa dunia. Ili tupime nguvu yake hasa basi asimame mwenyewe tuone. Vita vyote ambavyo Marekani imepigana ningali nina akili timamu sijaona akiwa peke yake.
2. Kuhusu vikwazo, kwa taarifa yako hadi leo ulaya inategemea gesi ya Urusi kwa 45%. Yaani wameiwekea vikwazo na bado wananunua gesi yake. Na yeye amewawekea sharti la kununua gesi kwa hela yake ruble na wametii,, wamefungua akaunti za ruble na wanaunua gesi kwa ruble kitu ambacho kimepandisha thamani ya sarafu ya ruble. Kama wanaweza wasinunue chochote kutoka kwake si wamemuwekea vikwazo? Sasa ina maana gani adui yako, umemuwekea vikwazo ili akwame na bado unanunua bidhaa muhimu kutoka kwake. Wanapamba sana kutafuta mbadala wa gesi ya urusi na bado wanafeli. Mara waende angola, mara Algeria lkn wap.
3. Kuhusu kwenda uwanja wa vita link ipo hapo chini umuone Putin akiwa Mariopol. Lakini kumbuka putin pia aliendesha gari kwenye daraja la Crimea baada ya ukarabati kufuatia kulipuliwa kwa daraja hilo.
 
Yaan putin alitakiwa kumaliza vita ndan ya muda mfupi sana hii long term anajitengenezea shimo
Kwa taarifa yako usione Mrusi ni mchache angetaka kumaliza vita angechukua siku moja tu.Kama Marekani alivyomaliza vita vya pili vya dunia kwa siku 2 alivyoipiga Hiroshima na Nagasaki mabomu ya atomic mawili tu.
Anajua madhara yake kwake na dunia nzima.Ukraine ni kama tembo kupigana na sisimizi.
Pia ujue Marekani inaogopa Urusi akipiga mabomu ya hydrogen kule Alaska na ncha ya kaskazini ya dunia Marekani yote hasa Calfornia itazama majini maana barafu yote itayeyuka.
Hawa ni mafahali wawili wanaheshimiana wanajua hatima ya dunia Iko kwao.
 
Ukraine atapigwa tu ndugu yangu, hiyo ICC haiwezi kumfanya chochote Putin.

We unadhani nani anaweza kumkamata Putin? Hizo ni mind games za NATO baada ya kuona kichapo kule Bakhmut.

Next week Xi Jinping atamuona Putin, kumbuka kwamba China ana capacity kubwa sana ya kutengeneza silaha.

Nato na Ulaya wanahofia kwamba China akitia mguu itakuwa ngumu sana kwa Ukraine kushinda. Ila ndo kitu kinaenda kutokea, China lazima ampe silaha mrusi na Ukraine mwisho wa siku atadundwa tu

Unakosea sana kusema Ukraine atadundwa. Ukraine = NATO. Nakukumbusha tu vita baridi ilichukua zaidi ya miaka 40. China anajua Urusi akishindwa yeye ndo anafuata. This war is far from over
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin jana amefanya ziara ya kushtukiza katika rasi ya Crimea katika kuadhimisha miaka tisa tangu alipoinyakua kutoka Ukraine, Putin ameutembelea pia Mji wa Ukraine wa Mariupol unaokaliwa kimabavu.

Ziara ya Putin inajiri siku chache baada ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC kutoa waranti wa kukamatwa kwake kwa uhalifu wa kivita, ikimtuhumu kwa uwajibikaji katika utekaji nyara wa watoto nchini Ukraine.

Ukraine inasema tangu kuanza kwa uvamizi huo Februari 2022, zaidi ya Watot 16,000 wa Ukraine walihamishwa kinyume cha sheria kuelekea Urusi.

Urusi imetupilia mbali uamuzi wa Mahakama hiyo na bado mapigano makali yanaendelea huko Donetsk hasa katika mji wa Bakhmut. #MillardAyoUPDATES
 
Jeshi la Urusi limerudi kambini kuwasubiri rasmi NATO

sasa hivi Vitani wapo Wagner wakisaidiwa Silaha na mbinu tu za kupambana

sasa hivi kinachoendelea huko Ukraine ni mapambano ya utangulizi tu

Russia iligundua mbinu kongwe ya Marekani ya kupiganisha vita kwa miaka mingi na wakishachoka adui ndio anaingia mwisho mwisho kuchukua point 3 kama alivyofanya kwny 1 and 2 WW

hii vita huenda ikaisha 2024 baada ya uchaguzi Mkuu wa Marekani
Nimekuelewa teknik hiyo nzur
 
ICC haiwezi kumuhukumu V. Putin kwasababu nchi yake sio mwanachama wa ICC.

Sanasana labda kumzuia kuingia katika nchi wanachama wa ICC na Putin haitaji kwenda huko

Pia CHINA ikijiunga na Urusi katika vita hakika kutakuwa na uwezekano wa kutokea WWWIII
 
Unakosea sana kusema Ukraine atadundwa. Ukraine = NATO. Nakukumbusha tu vita baridi ilichukua zaidi ya miaka 40. China anajua Urusi akishindwa yeye ndo anafuata. This war is far from over
NATO ni US tu mkuu, hao wengine ni members wasio na influence. Na ukiangalia kwa sasa China na Russia ni mataifa yenye capacity kubwa sana kwenye kutengeneza silaha, so sio rahisi Mrusi kupigwa
 
Watanasa wao, kabla ya hilo kukamilika nakuhakikishia Putin atawapa suprise kabambe sana ndio utajua maana ya jasusi mbobezi ni nini. Huko ICC haendi na hao wamarekani litawakuta jambo kiasi kwamba hata huko kumpeleka ICC hawatakuwa na hamu nako tena.
Mkuu lengo siyo kumpeleka kama hujajua, huo ni mtego tu, kama wangekuwa na lengo/uwezo wa kumkamata na kumpeleka huko basi kwenye hii vita wangekuwa washamvizia na kumuua. Hapo kuna kitu wanachochea kama siyo kuwachonganisha Warusi ndani kwa ndani.
 
Putin ana doubles zaidi ya kumi kumjua real Putin itawachukua miaka 50 yaani uyo Mzee ni mafia unaeza muina kwenye mkutano lakini sio yeye the real Putin ka chill home.
20230320_134504.jpg
20230320_134807.jpg
20230320_134714.jpg
 
Sasa ameishiwa silaha 2yrss kumbuka kawekewa vikwazo wenzake bado wanafanya vizur kiuchumi yeye anadidimia hata wananchi wake watamchukia
Wa nani hao wenzake wanaofanya vizuri kiuchumi???? Unaishi wapi??? Kama uko bongo africa basi hujui kitu tulia kama ulivyozaliwa, Nchi zote za ulaya na marekani cha moto inakiona kila kitu bei juu na vingine havipatikani kabisa. chezea Putin wewe, huyo ni mwamba kweli kweli hatishiki hivyo eti na ICC.
 
Ukraine atapigwa tu ndugu yangu, hiyo ICC haiwezi kumfanya chochote Putin.

We unadhani nani anaweza kumkamata Putin? Hizo ni mind games za NATO baada ya kuona kichapo kule Bakhmut.

Next week Xi Jinping atamuona Putin, kumbuka kwamba China ana capacity kubwa sana ya kutengeneza silaha.

Nato na Ulaya wanahofia kwamba China akitia mguu itakuwa ngumu sana kwa Ukraine kushinda. Ila ndo kitu kinaenda kutokea, China lazima ampe silaha mrusi na Ukraine mwisho wa siku atadundwa tu

Unaongea kama msemaji wa Klemlin angalia nawe usiwekwe kwenye blacklist na the Hague
 
Mkuu urusi hajaanza kutumia silaha zake. Alikuwa anatumia silaha za kizamani zilizobakia ww2, hakuna mwanajeshi mzoefu wa urusi aliyeenda front hata mmoja, kyv anahangaika na madogo wa mtaani na wale wa weigner.

Hahaha nyie jamaa bana Shahed za Muirani ni silaha ndogo, iskander ni silaha ndogo, Makombora ya Tu ni silaha ndogo Vifaru ya T90 modern tank ni silaha ndogo. Kwa hiyo Putin yupo tiyar kuona wafungwa, Wagners wakifa kisa jeshi linasubiri kumbuka alifanya mobilization huyu kutafuta wanajeshi wa ziada
 
Back
Top Bottom