BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,343
Usiisahau hii comment yako mkuu.Ahaha yaan jamaa amepewa mzigo wa mambo ambayo lazma atashindwa akipenya hapa yeye mbabe
Usiisahau hii comment yako mkuu.Ahaha yaan jamaa amepewa mzigo wa mambo ambayo lazma atashindwa akipenya hapa yeye mbabe

ICC ni mahakama iliyoundwa kwa ajili ya nchi masikini za kiafrica na huko uswekeni mwingine...Marekani na western wenyenye hawaitambui hiyo mahakama kama Ina jurisdiction oven then..sasa. Vipi iwahusu Urusi..huo ni ulaghai tu kwa ajili ya watu wasiojielewaNlikua naona urusi atashinda ila kwa hii stage aisee marekan n dubwan kubwa kabisa ambalo huwezi kushindana nalo kabisa wao wamemuwekea vikwazo yeye hajaweka kuonesha bado anawahitaji jana ICC wametoa amri akamatwe yaan anaishi kama digidigi biden alienda had uwanja wa vita ila putin hajaenda hii inaonesha jamaa hata watu wake hawamkubal aisee jamaa amegusa pabaya
Tuliwa wambia kuwa usicheze na state ya washngton ni hatari.Urusi inaenda kufilisika mdogo mdogo wenzake ndio wanasonga mbele maana vita sio vyao.Siku ikifilisika ndio kugawanyika kwa urusi
Kwa facts zipi..???mm pro urusi ila sjui naonaje naona tunaenda kushindwa
unajua mpaka sasa Russia ameshapigana vita ngapi? na marekani vita ngapi ndani na nje?Tuliwa wambia kuwa usicheze na state ya washngton ni hatari.Urusi inaenda kufilisika mdogo mdogo wenzake ndio wanasonga mbele maana vita sio vyao.Siku ikifilisika ndio kugawanyika kwa urusi
Eti Bosco ntagandaICC ni kwa ajili ya kina Bosco Ntaganda na vibaka wengine wa aina hiyo wanaovamia vijiji na kuacha wamechoma mashamba na kubaka wanyama sio watu design ya Putin. Hivi nani wa kumkamata ampeleke ICC?

Mzigo na mbinu ni maswala mawili tofauti mno.🤣🤣🤣Sawa ila nipo katikati muda unaongea zaid ila kwa mzgo walomuwekea jamaa lazma atafall down hapo mbeleni