Muccigang
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 1,314
- 1,940
- Thread starter
- #61
Jeshi la Urusi limerudi kambini kuwasubiri rasmi NATO
sasa hivi Vitani wapo Wagner wakisaidiwa Silaha na mbinu tu za kupambana
sasa hivi kinachoendelea huko Ukraine ni mapambano ya utangulizi tu
Russia iligundua mbinu kongwe ya Marekani ya kupiganisha vita kwa miaka mingi na wakishachoka adui ndio anaingia mwisho mwisho kuchukua point 3 kama alivyofanya kwny 1 and 2 WW
hii vita huenda ikaisha 2024 baada ya uchaguzi Mkuu wa Marekani
Sema umewaza kitu kwann wagner waende hata marekani asaiv anaokoteza tu ili baadae aie amle vizur urusi ila jamaa nae kashtuka