Putin kakanyaga pabaya

Putin kakanyaga pabaya

Next time kabla hujaandika fanya homework kwanza

A recent poll reveals 70% of Russians support the ‘special military operation’

Kuhusu ICC Urusi sio signatory wa hiyo kitu na hakuna wa kumkamata zaidi ya Nchi signatory wa ICC… kiuhalisia nambie nchi gani inaweza jaribu hilo

NB: Marekani sio signatory wa ICC either!

Yaani mleta mada ni jitu zima ovyooooo hajui hii vita hata kitone
 
Kuna ile picha kakas kwenye kiti kavua shati unayo
.
images.jpg
 
Nlikua naona urusi atashinda ila kwa hii stage aisee marekan n dubwan kubwa kabisa ambalo huwezi kushindana nalo kabisa wao wamemuwekea vikwazo yeye hajaweka kuonesha bado anawahitaji jana ICC wametoa amri akamatwe yaan anaishi kama digidigi biden alienda had uwanja wa vita ila putin hajaenda hii inaonesha jamaa hata watu wake hawamkubal aisee jamaa amegusa pabaya
Urusi siyi Libya boss 😀😀😀
 
Kama Omar Al Bashir tu hakukamatwa licha ya kuwepo hiyo warrant toka 2009 itakuwa Putin?
 
Mi nikajuwa una taarifa yeyote rasmi kumbe stori zaki sawa nimekusikia.
 
Next time kabla hujaandika fanya homework kwanza

A recent poll reveals 70% of Russians support the ‘special military operation’

Kuhusu ICC Urusi sio signatory wa hiyo kitu na hakuna wa kumkamata zaidi ya Nchi signatory wa ICC… kiuhalisia nambie nchi gani inaweza jaribu hilo

NB: Marekani sio signatory wa ICC either!
Hiyo poll matokeo ni hayo yanayotangazwa toka Kremlin,,fuatilia kuhusu warusi wanaokimbia nchi
 
Sawa lakin sasa Putin anaishi kwa wasiwasi haamin kiumbe chochote ulinzi umeongezeka yaan hata nchini kwake pia hapapo salama kwake just imagine yaan wamempa mzgo wa matatizo ili mwisho aanguke
Km Omar Al Bashir ilishindikana nadhani kwa PUT IN ni mapema na asubuhi tayari wanae.
 
Yaani mleta mada ni jitu zima ovyooooo hajui hii vita hata kitone

Kumbuka wao wapo zaidi ya 50 yeye yupo peke ake hata awe na nguvu kiasi gan mpango ulisukwa muda tu west wanataka vita ikae muds mrefu imuumize jamaa
 
Broo!!!wewe endelea kubwia K vant haya mambo ni makubwa si kawaida kuliko uwezo wako wa fikra unazojitahidi kuwasilisha hapa!!!Kwani ukikaa kimya utapungukiwa nini,,,kuliko kuja kijidhalilisha humu jukwaani kwa stori ulizookota kwa vijana wenzako mnao shinda nao saluni kunyoana viduku,,kuweka blichi na kujivunza kudansi mkiwa na mademu wenu wa visendo manyoya na waimba,,,"""Kwikwiii Kwikwii,,,,Jifunze kujifunza zaidi na kuelewa zaidi kabla ya kukurupuka na kujidhalilisha humu,,,Ujue Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan anakatizaga humu,,,jitahidi usionekane wa hovyo!!

Sawa. N suala la muda tu mm nilikua upande wa urusi sana tu ila kuna stage inabd ukae katikati tu
 
Nlikua naona urusi atashinda ila kwa hii stage aisee marekan n dubwan kubwa kabisa ambalo huwezi kushindana nalo kabisa wao wamemuwekea vikwazo yeye hajaweka kuonesha bado anawahitaji jana ICC wametoa amri akamatwe yaan anaishi kama digidigi biden alienda had uwanja wa vita ila putin hajaenda hii inaonesha jamaa hata watu wake hawamkubal aisee jamaa amegusa pabaya
Umeongea hisia zako tu mkuu.
 
Nlikua naona urusi atashinda ila kwa hii stage aisee marekan n dubwan kubwa kabisa ambalo huwezi kushindana nalo kabisa wao wamemuwekea vikwazo yeye hajaweka kuonesha bado anawahitaji jana ICC wametoa amri akamatwe yaan anaishi kama digidigi biden alienda had uwanja wa vita ila putin hajaenda hii inaonesha jamaa hata watu wake hawamkubal aisee jamaa amegusa pabaya
We jipange na mashosti wenzio wa NATO mkae mkao mkisubiri PUTIN akamatwe ili mipango yenu ya kishoga iendelee. Nakuhakikishia hio siku hamtakaa muione 😀😀😀
 
Tuliwa wambia kuwa usicheze na state ya washngton ni hatari.Urusi inaenda kufilisika mdogo mdogo wenzake ndio wanasonga mbele maana vita sio vyao.Siku ikifilisika ndio kugawanyika kwa urusi
 
Tuliwa wambia kuwa usicheze na state ya washngton ni hatari.Urusi inaenda kufilisika mdogo mdogo wenzake ndio wanasonga mbele maana vita sio vyao.Siku ikifilisika ndio kugawanyika kwa urusi
Urusi sio Zimbabwe wewe 🤣 siku ya Urusi kufilisika ni baada ya USA kuwa Nuked up. Atafilisika kwa kukosa mabomu ya maangamizi baada ya kuyatumia.
 
Nlikua naona urusi atashinda ila kwa hii stage aisee marekan n dubwan kubwa kabisa ambalo huwezi kushindana nalo kabisa wao wamemuwekea vikwazo yeye hajaweka kuonesha bado anawahitaji jana ICC wametoa amri akamatwe yaan anaishi kama digidigi biden alienda had uwanja wa vita ila putin hajaenda hii inaonesha jamaa hata watu wake hawamkubal aisee jamaa amegusa pabaya
Ukitaja kujua akili zako umeandika thread nzima bila kuweka nukta, yani thread nzima ina sentensi moja.
 
Na huo ndiyo mtego ulipo, wanataka anguko la Putin litoke ndani ya nchi yake.
Watanasa wao, kabla ya hilo kukamilika nakuhakikishia Putin atawapa suprise kabambe sana ndio utajua maana ya jasusi mbobezi ni nini. Huko ICC haendi na hao wamarekani litawakuta jambo kiasi kwamba hata huko kumpeleka ICC hawatakuwa na hamu nako tena.
 
Back
Top Bottom