.Mkuu urusi hajaanza kutumia silaha zake. Alikuwa anatumia silaha za kizamani zilizobakia ww2, hakuna mwanajeshi mzoefu wa urusi aliyeenda front hata mmoja, kyv anahangaika na madogo wa mtaani na wale wa weigner.
.Mkuu urusi hajaanza kutumia silaha zake. Alikuwa anatumia silaha za kizamani zilizobakia ww2, hakuna mwanajeshi mzoefu wa urusi aliyeenda front hata mmoja, kyv anahangaika na madogo wa mtaani na wale wa weigner.
.Kwanza nchi itakayomkamata putin ni nchi gani labda marekani pekee na kamwe hawezi kwenda huko
.Kabla ya Kuandika Chochote Fanya Utafiti , Hivi Ndani Ya Mwezi Huu Bank Ngap Ulaya Na Marekani Zinakaribia Kufilisika ...! Ulaya Uchumi Umeyumbaa
Putini ni chuma taluma la leli kisiki cha mpigo kukin,goa lazima uende nacho,rais wa ukereine yuko sawa na mwanaume mzinifu anae fuga Ndonga kwa kutegemea mke wa jirani yakeNlikua naona urusi atashinda ila kwa hii stage aisee marekan n dubwan kubwa kabisa ambalo huwezi kushindana nalo kabisa wao wamemuwekea vikwazo yeye hajaweka kuonesha bado anawahitaji jana ICC wametoa amri akamatwe yaan anaishi kama digidigi biden alienda had uwanja wa vita ila putin hajaenda hii inaonesha jamaa hata watu wake hawamkubal aisee jamaa amegusa pabaya
Puni sio Saddam Hussein wala gadaff watu sijui awaelewi?Ukraine atapigwa tu ndugu yangu, hiyo ICC haiwezi kumfanya chochote Putin.
We unadhani nani anaweza kumkamata Putin? Hizo ni mind games za NATO baada ya kuona kichapo kule Bakhmut.
Next week Xi Jinping atamuona Putin, kumbuka kwamba China ana capacity kubwa sana ya kutengeneza silaha.
Nato na Ulaya wanahofia kwamba China akitia mguu itakuwa ngumu sana kwa Ukraine kushinda. Ila ndo kitu kinaenda kutokea, China lazima ampe silaha mrusi na Ukraine mwisho wa siku atadundwa tu
.Puni sio Saddam Hussein wala gadaff watu sijui awaelewi?
Kunapahala hupaelewiUkraine atapigwa tu ndugu yangu, hiyo ICC haiwezi kumfanya chochote Putin.
We unadhani nani anaweza kumkamata Putin? Hizo ni mind games za NATO baada ya kuona kichapo kule Bakhmut.
Next week Xi Jinping atamuona Putin, kumbuka kwamba China ana capacity kubwa sana ya kutengeneza silaha.
Nato na Ulaya wanahofia kwamba China akitia mguu itakuwa ngumu sana kwa Ukraine kushinda. Ila ndo kitu kinaenda kutokea, China lazima ampe silaha mrusi na Ukraine mwisho wa siku atadundwa tu
Huo ndio uhalisia kabisa.Ukraine atapigwa tu ndugu yangu, hiyo ICC haiwezi kumfanya chochote Putin.
We unadhani nani anaweza kumkamata Putin? Hizo ni mind games za NATO baada ya kuona kichapo kule Bakhmut.
Next week Xi Jinping atamuona Putin, kumbuka kwamba China ana capacity kubwa sana ya kutengeneza silaha.
Nato na Ulaya wanahofia kwamba China akitia mguu itakuwa ngumu sana kwa Ukraine kushinda. Ila ndo kitu kinaenda kutokea, China lazima ampe silaha mrusi na Ukraine mwisho wa siku atadundwa tu
nchi gani inayofanya vizuri kiuchumi maana marekani hadi mabenk yanafirisikaSasa ameishiwa silaha 2yrss kumbuka kawekewa vikwazo wenzake bado wanafanya vizur kiuchumi yeye anadidimia hata wananchi wake watamchukia
Nasubiri kumwona Putin kizimbani siku moja, najua sio siku za karibuni sana. Unajua Wamarekani na Wazungu kwa ujumla wanafanya mambo kwa process sana. Wakianzisha kitu wanaacha processes and procedures zifanye kazi. Putin atajikuta pabaya taratibu tu kwani watamwondoa systematically. Pia upinzani unazidi kukua ndani ya Urusi na hilo ndio baya zaidi, atajikuta anakataliwa ugenini na nyumbani na mwishowe kukamatwa chini ya makalvati kama Saadamu Hussein na Muamar Gaddafi. Ni yale yale tu.Nlikua naona urusi atashinda ila kwa hii stage aisee marekan n dubwan kubwa kabisa ambalo huwezi kushindana nalo kabisa wao wamemuwekea vikwazo yeye hajaweka kuonesha bado anawahitaji jana ICC wametoa amri akamatwe yaan anaishi kama digidigi biden alienda had uwanja wa vita ila putin hajaenda hii inaonesha jamaa hata watu wake hawamkubal aisee jamaa amegusa pabaya
yaani na akili zako za kunyolea nywele unaamini kabisa porojo za ICC,haya tuambie sasa nani ataenda kumkamata huyo gwiji, kama sio unataka another ww,
wamarekani wa kona ya bwiru kwenye issu serious mmeanza kuleta propaganda zenu
Aise hivi Kuna mtu dunia hii bado anaitilia manani ICC. Teh teh teh, hiyo Mahakama ishajifia kitambo baada ya watu kugundua haina maana.
Ilitolewa hati dhidi ya Bashir mpaka anatoka madarakani hakuna kilichokuwa kimetokea. Hivi Ni Nchi ipi inaweza kumkamata Rais wa Urusi kwa mfano. Mnachekesha kweli. Kwa wenye akili hizo ni dalili za Urusi kuwashika tako, sasa wanakamata Kila kilicho mbele yao
Jeshi la Urusi limerudi kambini kuwasubiri rasmi NATO
sasa hivi Vitani wapo Wagner wakisaidiwa Silaha na mbinu tu za kupambana
sasa hivi kinachoendelea huko Ukraine ni mapambano ya utangulizi tu
Russia iligundua mbinu kongwe ya Marekani ya kupiganisha vita kwa miaka mingi na wakishachoka adui ndio anaingia mwisho mwisho kuchukua point 3 kama alivyofanya kwny 1 and 2 WW
hii vita huenda ikaisha 2024 baada ya uchaguzi Mkuu wa Marekani
Jeshi la Urusi limerudi kambini kuwasubiri rasmi NATO
sasa hivi Vitani wapo Wagner wakisaidiwa Silaha na mbinu tu za kupambana
sasa hivi kinachoendelea huko Ukraine ni mapambano ya utangulizi tu
Russia iligundua mbinu kongwe ya Marekani ya kupiganisha vita kwa miaka mingi na wakishachoka adui ndio anaingia mwisho mwisho kuchukua point 3 kama alivyofanya kwny 1 and 2 WW
hii vita huenda ikaisha 2024 baada ya uchaguzi Mkuu wa Marekani
Jeshi la Urusi limerudi kambini kuwasubiri rasmi NATO
sasa hivi Vitani wapo Wagner wakisaidiwa Silaha na mbinu tu za kupambana
sasa hivi kinachoendelea huko Ukraine ni mapambano ya utangulizi tu
Russia iligundua mbinu kongwe ya Marekani ya kupiganisha vita kwa miaka mingi na wakishachoka adui ndio anaingia mwisho mwisho kuchukua point 3 kama alivyofanya kwny 1 and 2 WW
hii vita huenda ikaisha 2024 baada ya uchaguzi Mkuu wa Marekani