Putin alimheshimu sana Trump, kwa sasa Biden ni kama Mdoli kama alivyokuwa Obama. Baada ya Urusi tutegemee naye China kutesti mitambo

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,034
805.jpg


Ni wazi kabisa kipindi cha Trump, raisi wa Urusi alikuwa akimheshimu sana kiasi kwamba hakuweza kuthubutu kufanya haya anayoyafanya kwa sasa kwa sababu aliogopa response ambayo Trump angeichukua.

Kwa sasa Marekani inaongozwa na raisi mithiri ya mdori ambae media inatumia nguvu kubwa sana kuficha udhaifu wake madarakani ila mdori ni mdori tu mbele ya wababe kama kina Putin.

Putin baada ya kuivamia Ukraine kipindi cha Obama 2014, alitulia tuli kama maji mtungini alipoona Trump kashika madaraka, ila kwa sasa kaona raisi mdori kashika madaraka kaamua kuchukua majimbo mawili kabisa afidie na jimbo ambalo uwepo wa Trump ulimzuia kulichukua.

Ni dhahiri kwa sasa hata China huenda ni suala la muda tu kuamsha dude huko Hong Kong ama Taiwan.

Kwa sasa Biden ni kituko tu hasa kwenye ile aibu ya karne Afghanistan, yeye kama amiri jeshi mkuu alifanya uamuzi wa jeshi kuondoka Afghanistan kabla ya raia, matokeo yake raia wa Marekani wakabaki wamenasa bila mtetezi, Pia jeshi liliondoka likiwa limeacha silaha zenye thamani zaidi ya triloni 180 kwenye makambi, Tukio hili lilionesha wazi kabisa Biden kama amiri jeshi mkuu hakuwa na akili hata ya kawaida ya kuamuru kuwatoa raia wa nchi yake na kusafirisha silaha ama kuziharibu kisha hatua ya mwisho iwe kuliondoa jeshi, hali hii ilisababisha wanajeshi 13 kuuliwa, Media ilifanya juhudi kubwa kufanya hii ishu isiongelewe.
3990 (1).jpg



Xi Jin Ping anasubiri kupokezwa kijiti na Putin nae afanye yake, kama ni vikwazo washavizoea.

NYONGEZA:

Ikumbukwe ya kwamba Trump hakupatikana na hatia yoyote katika kashfa iliyoanzishwa kwamba alisaidiwa na urusi uchaguzi wa 2016,,, Ripoti ya Mueller ilitoka ikimsafisha dhidi ya kashfa hizo..

190523-trump-placar-mc-1012.jpeg


Baada ya Ripoti ya Mueller, uchunguzi wa chanzo cha kilichoanzisha hio kashfa ulianza, Hadi sasa uchunguzi unaendelea na kwa sasa kilichoonekana ni kwamba mama Clinton aliwalipa pesa ndefu majasusi waingilie mifumo ya Mawasiliano kwenye ikulu white house kubambikiza data zilizokuwa zikionyesha kuna mawasiliano kati ya white house na Marekani.
 
Ukiona hivyo ujue Putin kazeeka anataka kuiacha Russia ikiwa dhohofu kiuchumi, Mabeberu wa Western wao wanalong term plan hata miaka 10 ijayo, kama Soviety ilisambaratika hata Russia itakuja isambaratike ibaki majimbo ni suala la muda tu
 
Ukiona hivyo ujue Putin kazeeka anataka kuiacha Russia ikiwa dhohofu kiuchumi, Mabeberu wa Western wao wanalong term plan hata miaka 10 ijayo, kama Soviety ilisambaratika hata Russia itakuja isambaratike ibaki majimbo ni suala la muda tu
Mabeberu ya western saizi kipaumbele chao ni kujaza maharamia kujaa nchi zao, kuhamasisha zaidi ushoga, kuwaweka wanaume chini ya wanawake, n.k. zama zimebadilika mno mkuu, mabeberu ya enzi hizo ya western yalikuwa imara sana, sio kama hii midori ya sasa.
 
Mabeberu ya western saizi kipaumbele chao ni kuhamasisha maharamia kujaa nchi zao, kuhamasisha zaidi ushoga, kuwaweka wanaume chini ya wanawake, n.k. zama zimebadilika mno mkuu
Hahaaaa! Hao Jamaa wanajua wanachokifanya hata Russia mashoga wapo, Russia hataki Ukraine ajiunge NATO anaogopa kukaa na adui karibu atashindwa kuflex muscles zake
 
Hahaaaa! Hao Jamaa wanajua wanachokifanya hata Russia mashoga wapo, Russia hataki Ukraine ajiunge NATO anaogopa kukaa na adui karibu atashindwa kuflex muscles zake
Hata Tanzania mashoga wapo, Russia nako wapo ila sheria na jamii hazipo upande wao, Huko kwa mabeberu mashoga ni kama wananchi wa daraja la kwanza, wanalindwa sana.
 
Rais wa Marekani ni taasisi na sio maamuzi ya mtu mmoja.

Tukianza na Trump hakupenda vita ndio maana alijishusha kwa Kiduku.

Kuhusu Biden maamuzi ya kuingia vitani au kutoingia sio maamuzi yake.

Marekani wanajitambua sana ikiwa utagusa maslahi yao hutabaki salama.

Na kama Ukraine ina maslahi mapana kwa USA tegemea vita...vinginevyo wataishia kuweka vikwazo tu.
 
Hata Tanzania mashoga wapo, Russia nako wapo ila sheria na jamii hazipo upande wao, Huko kwa mabeberu mashoga wanalindwa na sheria na jamii.

Vyovyote vile lakini kwa sasa Putin ndio anaamua show, haya mabeberu ya sasa uhuru uliopitiliza utayachakaza sana, kipaumbele chao kwa sasa zaidi ni mambo ya ushoga, watoto wa miaka mitano wanafundishwa kupiga p**yeto na wanaambiwa na wanakuwa adopted na kulelewa na mashoga waliooana kama baba na mama 😂😂. kwa sasa wanaume wengi wa sweeden wana import wanawake kutoka Thailand na Phillipines maana wanawake wao serikali imewafanya wawe kama Miungu... Beberu kwa ulaya ni Putin, haya mengine matetea
We jamaa unaongea kimhemko
 
Umenikumbusha ya Georgia miaka ya nyuma, western world ilijaribu kuingilia lakini end of the day Russia prevailed.
 
Rais wa Marekani ni taasisi na sio maamuzi ya mtu mmoja.
Tukianza na Trump hakupenda vita ndio maana alijishusha kwa Kiduku.
Kuhusu Biden maamuzi ya kuingia vitani au kutoingia sio maamuzi yake.
Marekani wanajitambua sana ikiwa utagusa maslahi yao hutabaki salama.
Na kama Ukraine ina maslahi mapana kwa USA tegemea vita...vinginevyo wataishia kuweka vikwazo tu.
Biden ni mdori tu, kipindi cha Trump maharamia waliokuwa wakivuka mpaka bila vibali walipungua sana, na hata wakijaribu kuingia walikuwa wanarudishwa Mexico, alijenga mpaka ukuta.

Kwa sasa kuna maharamia takribani milioni 10 wameingia marekani na makubaliano ya sasa ni kwamba haramia akikamatwa anabaki marekani, uajenzi wa ukuta umepigwa stop.

Hizo ni sera za Biden ambae ni amiri jeshi mkuu, kama mipaka yake tu anashindwa kulinda kwanini asiitwe mdori, hapo hatujazungumzia kituko chake cha karne alipoamua kuliamuri jeshi liondoke Afghanistan huku akuwaacha raia wa Marekani nchini humo na silaha zenye thamani ya trilioni 200,
 
Rais wa Marekani ni taasisi na sio maamuzi ya mtu mmoja.
Tukianza na Trump hakupenda vita ndio maana alijishusha kwa Kiduku.
Kuhusu Biden maamuzi ya kuingia vitani au kutoingia sio maamuzi yake.
Marekani wanajitambua sana ikiwa utagusa maslahi yao hutabaki salama.
Na kama Ukraine ina maslahi mapana kwa USA tegemea vita...vinginevyo wataishia kuweka vikwazo tu.
Ukraine Haina maslahi mapana Kwa USA na nchi za western sema ni gateway ya kumcheki Russia endapo ikijiunga na NATO na kumbuka kuwa RUSSIA kapoteza grip Kwa Ukraine kwasababu za kiuchumi kwani Raia wengi wa Ukraine wanapata ajira nchi za Ulaya kuliko RUSSIA hapo lazima wapate influence ya Western
 
Ukraine Haina maslahi mapana Kwa USA na nchi za western sema ni gateway ya kumcheki Russia endapo ikijiunga na NATO na kumbuka kuwa RUSSIA kapoteza grip Kwa Ukraine kwasababu za kiuchumi kwani Raia wengi wa Ukraine wanapata ajira nchi za Ulaya kuliko RUSSIA hapo lazima wapate influence ya Western
Kama US hana maslahi kuna uwezekano asiingie vitani direct zaidi ya kupeleka misaada ya kijeshi na vikwazo
 
Clinton!??
Idara za marekani walisema russia ameingilia uchaguzi ili Trump awe rais,
sasa Rusia walikuwa wanataka kumuweka mtu watakaye muogopa?
wewe ndio unajua zaidi kuliko idara?
Ndio nikakuuliza hayo maswali.

Ni dhahiri hujui chochote kinachoendelea, umepitwa na mambo mengi sana.

Mbaya zaidi ni dhahiri unaangalia cnn
 
Kama Trump alishindwa kujibu mashambulizi ya Iran kwenye kambi za wanajeshi wa Marekani ndio angeweza mziki wa Putin baba wa dunia kijeshi?
 
Ngoja tuone mwisho wa movie ndio utao amua yupi mkali yupi mnyonge
 
Ndio nikakuuliza hayo maswali.

Ni dhahiri hujui chochote kinachoendelea, umepitwa na mambo mengi sana.

Mbaya zaidi ni dhahiri unaangalia cnn
Yani kusema sijui chochote hiyo ni hitimisho la ubongo wako haifanyi ni sijue chochote..
Huwa siangalii channel za wazayuni(zion) mpendwa!!!
Propagand ni somo pendwa kwangu.
Ipitie vizuri Russia uipe heshima yake...
 
Ni wazi kabisa kipindi cha Trump, raisi wa Urusi alikuwa akimheshimu sana kiasi kwamba hakuweza kuthubutu kufanya haya anayoyafanya kwa sasa kwa sababu aliogopa response ambayo Trump angeichukua.

Hakuogopa response ya Trump kabisa.
 
Kama Trump alishindwa kujibu mashambulizi ya Iran kwenye kambi za wanajeshi wa Marekani ndio angeweza mziki wa Putin baba wa dunia kijeshi?


Ngebe zote za huyu Jenerali wa Iran Qasem Soleimani aliekuwa anajitapa sana zilimalizika alipotunguliwa na vijana wa Trump, Huyu jenerali alikuwa ni mtu wa pili mwenye ushawishi na nguvu Iran ila kilichomkuta ni history.

5e0fd810fb23d049c75a49a9.jpeg
 
Back
Top Bottom