PUNYETO: Je ni dhambi, Kosa kisheria?

PUNYETO: Je ni dhambi, Kosa kisheria?

Dhambi kitu gani,mi napiga tu,tena kutwa mara tatu kama dozi ya mseto,
 
Chaputa-chama cha punyeto tanzania kwa kimombo masterbration association of tanzania[mat] haa!nakumbuka mbali
 
Wala usiikurubie zinaa ni haramu na inasababisha kuharibu misuli ,nerve na mishipa ya damu kufanya kuwa zaifu
 
Inategemea na dini yako! kama wewe ni Muisilamu kamuulize mkuu wa dini yako. kama wewe ni mkristo kamuulize padre au mchungaji wako. Kama wewe ni Hindu muulize God Ganesh wako. Etc.

Ila ki science hakuna madhara yoyote wala ushahidi wowote uliotangazwa kua Punyeto ina madhara. Mara nyingi wana saikilojia wanausisha Punyeto na upungufu wa nguvu za kiume huku wakiusisha na mawazo , hisia ETC. kitu ambacho hakina evidence. nakama ni vyo wanandoa wengi wasingekua na nguvu za kiume maana kila siku wanakutana.

Kama ni mawazo tendo la ndoa ni mawazo tosha, au ni swala nzima la kisaikolojia. Je Mbona babu zetu kila siku wanafanya tendo la ndoa na hawajawai kupungukiwa na nguvu za kiume? Kama ni mazoezi, basi tungesema kua kupiga punyeto ni kuimarisha uume maana kutokana kanuni unapofanya mazoezi ya mara kwa mara uume lazima uimarike. Mfano unapofanya mazoezi ya mwili, mwili unabaki kua katika hali nzuri.

Kimsingi ni bora mtu apige nyeto kuliko kutembea hovyo, ni moja kati ya njia ya kujikinga na maradhi yanoayo ambukiza kupitia dhinaa. Nakumbuka FEMA kipindi fulani waliamasisha wanafunzi na kuwashauri wasijiusishe na maswala ya ngono zembe badala yake wapige punyeto.

Mwisho kabisa; Dini( wa kristo) wanakataza punyeto kwa sababu tu inachoche hisi. Ila watu wengi wanapiga punyeto iwe kwa wanandoa, iwe kwa mabachela. wengine kabla ya kufanya tendo la ndoa, mke au mume lazima afanye oral sex. Oral sex ni haina ya punyeto na kila mtu ufuraia.
Je mke wako akiwa kwenye siku zake na wewe unajisikia kufanya tendo ua unafanyeje? lazima akushikeshike ili ujisikie vizuri.
Inawezekana hujuwi haina za Punyeto. wala usiwashawishi watu watende dhambi ya dhinaa kwa kutumia miili yao. ni bora mtu ajizuie mwenyewe kwa njia raisi anayo ijua.

So punyeto ipo aina nyingi na watu wanafanya wengine kwa kujua au bila kujua.
 
Inategemea na dini yako! kama wewe ni Muisilamu kamuulize mkuu wa dini yako. kama wewe ni mkristo kamuulize padre au mchungaji wako. Kama wewe ni Hindu muulize God Ganesh wako. Etc.

Ila ki science hakuna madhara yoyote wala ushahidi wowote uliotangazwa kua Punyeto ina madhara. Mara nyingi wana saikilojia wanausisha Punyeto na upungufu wa nguvu za kiume huku wakiusisha na mawazo , hisia ETC. kitu ambacho hakina evidence. nakama ni vyo wanandoa wengi wasingekua na nguvu za kiume maana kila siku wanakutana.

Kama ni mawazo tendo la ndoa ni mawazo tosha, au ni swala nzima la kisaikolojia. Je Mbona babu zetu kila siku wanafanya tendo la ndoa na hawajawai kupungukiwa na nguvu za kiume? Kama ni mazoezi, basi tungesema kua kupiga punyeto ni kuimarisha uume maana kutokana kanuni unapofanya mazoezi ya mara kwa mara uume lazima uimarike. Mfano unapofanya mazoezi ya mwili, mwili unabaki kua katika hali nzuri.

Kimsingi ni bora mtu apige nyeto kuliko kutembea hovyo, ni moja kati ya njia ya kujikinga na maradhi yanoayo ambukiza kupitia dhinaa. Nakumbuka FEMA kipindi fulani waliamasisha wanafunzi na kuwashauri wasijiusishe na maswala ya ngono zembe badala yake wapige punyeto.

Mwisho kabisa; Dini( wa kristo) wanakataza punyeto kwa sababu tu inachoche hisi. Ila watu wengi wanapiga punyeto iwe kwa wanandoa, iwe kwa mabachela. wengine kabla ya kufanya tendo la ndoa, mke au mume lazima afanye oral sex. Oral sex ni haina ya punyeto na kila mtu ufuraia.
Je mke wako akiwa kwenye siku zake na wewe unajisikia kufanya tendo ua unafanyeje? lazima akushikeshike ili ujisikie vizuri.
Inawezekana hujuwi haina za Punyeto. wala usiwashawishi watu watende dhambi ya dhinaa kwa kutumia miili yao. ni bora mtu ajizuie mwenyewe kwa njia raisi anayo ijua.

So punyeto ipo aina nyingi na watu wanafanya wengine kwa kujua au bila kujua.

Umetisha sana! Kumbe nyeto zipo za aina nyingi sana.. asante sikujua b4
 
Chaputa-chama cha punyeto tanzania kwa kimombo masterbration association of tanzania[mat] haa!nakumbuka mbali

Mkuu utakuwa ulisoma boyz ...maana unakumbushia
hizi mambo wakati tuko maskonga ya wagumu watupu
"Boyz " ndo zilikuwa zetu hizo.
 
pinyeto ina madhara kisayansi na hata kiimani.
kisayansi unapopiga pinyeto baadae unakua addicted na unaweza kutowatamani tena wasichana,pia inashusha hali ya kujiamini unapomaliza mara zote huwa unakuwa unajihisi mwenye hatia, na kiimani pia ni dhambi sawa na kuzini mana unapofanya pinyeto lazima utakuwa na hisia na msichana fulani, kwa hiyo hapo unatamani na kutamani ni dhambi kwa kweli mpiga pinyeto hana tofauti na mzinifu wote wanazini ila kwa njia tofauti
 
ni kosa kisheria umevunja katiba ya jamhur wa muungano kifungu 268 usiue we umeua

ni dhamb umevunja amri ya mungu usizin na usiue
Anakuwa ameua nini? Amua sperm? Kwani ukikutana na mke wako unaua wangapi? Au unafikiri kila mbegu unayomwaga hata kama ni kwa mke wako inakuwa kiumbe? Hayo mamilioni ya mbegu sijui mwanamke angewakuza kwenye uterus kubwa kiasi gani...
 
Puchu au Nyeto ni dhambi na Upumbavu.Piga form one acha form two.Unapigaje puchu dar wakati kila kona kuna machangu,,ni aibu na fedheha.Fanya mapenzi acha utoto wa puchu.Mapenzi yanakupa uzoefu na technic,,puchu inakupa nini??
 
punyeto ina wenyewe,,,, kama hujawahi usijaribu...ni tamu mnoo.....duh.....
 
Nyeto inachekesha mno...kuna ka msemo enzi hizo za u boys skulls zile... Utakuta mtu anapiga mara gafla ninamjia picha ya dada yake ana erase, mara ina pop ingine ya mama anadelete basi zikielndelea ku pop hivo, mara za walimu na wafanyakazi wengine basi ilikuwa ni vichekesho mno... Nyeto sio nzuri kwa mtu binafsi labda kama mkeo ndo akufanyie au mumeo...

Nyeto kazi yake kubwa ni kuimarisha ustadi wa kitandani kwa wale ambao hawadumu kwa tendo hilo for long time , so nyeto huwa inatoa la kwanza lile lenye kiherehere then yanayofuata yana kuwa constant na wote mta furahia..

Ila nyeto sio nzuri kiiman na kisaikolojia...
 
Ile tu kujiuliza ni dhambi au sio dhambi tayari unalo jibu najua wapo watu wengi wanatafuta uhalali wa kuendeleza jambo hili ovu mbele za watu na Mungu,shida ni watu hawataki msaada wa Mungu wanafikiri wataweza wenyewe,lengo la watu kupiga punyeto ni kutimiza tamaa za mwili sasa je tangu awali Mungu alikusudia iwe hivyo?jibu ni hapana na ndio ile sababu Mungu anaonya kwenye Warum1:26 ambapo watu walibadili matumizi ya asili kwa zinaa haramu,so jambo hili ni hatia na ni uzinzi wa nafsi
 
Yaani hii kikotite aka selfie ilivyo tamu ukiwacha wewe ukapimwe. Jipendelee tu mkuu. Kwanza unaepukana na mengi. Mimi nashangaa sana watu wanaokataza kila kitu sasa watu waishije? Kuwa na mademu watasema umalaya, nyeto mbaya, sasa niishije nami nina mzuka na wahka mwili unahitaji kitu roho inapenda. Ila nilichogundua ni kwamba usisikilize maneno ya watu ila raha jipe mwenyewe. Mkuu endeleza libeneke bana
 
Mkuu utakuwa ulisoma boyz ...maana unakumbushia
hizi mambo wakati tuko maskonga ya wagumu watupu
"Boyz " ndo zilikuwa zetu hizo.

nilikuwa nazigonga Sana pale Magamba Boys High School Lushoto.. Wakiletwa walimu wapya Wa kike basi tulikuwa tukipishana kuelekea bafuni ukichanganya na Baridi ya kule hakika ilikuwa nouma
 
Kwenye swala la kimaadili na imani je ni dhambi wakuu?

Punyeto ni dhambi kama ilivyo dhambi ya nyingine za kuzini na mwanamke, kusagana, kulawitiana kuzini na wanyama n.k Tofauti hapo ni namna ambavyo unakuwa unatenda tendo hilo la kuzini lakini mwisho wa siku unakuwa umezini tu.
 
Ndiyo nidhambi kwa muujibu wa biblia ktk kitabu cha mwanzo38:1-11,punyeto inaitwa onanism baada ya mtu aliyeitwa Onani alipokataa kuendeleza kizazi cha kakayake alpoambiwa azae na shemejie yeye akamwaga mbegu zake nje na ndipo Mungu akamuua onani,hivyo punyeto (onanism also masterburtion)ILIANZISHWA AU mtu wa kwanza kufanya punyeto alikuwa ONANI KAMA UNAVYOWEZA SOMA KATIKA MAANDIKO HAPO JUU,
 
Back
Top Bottom