Reina princess
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 1,322
- 1,503
Ok,ukiwa umezidiwa na shem yuko mbali unafanyaje
Sifanyi kitu
Ok,ukiwa umezidiwa na shem yuko mbali unafanyaje
ni dhambi kwa sababu umechochea zinaaa
Sifanyi kitu
ni kosa kisheria umevunja katiba ya jamhur wa muungano kifungu 268 usiue we umeua
ni dhamb umevunja amri ya mungu usizin na usiue
ni dhambi kama mchangiaji alivyoinukuu biblia. Kimaadili ni vibaya kwa vile utapoteza fursa ya kuwa karibu na kuwapenda dada zetu, hivyo utasababisha baadhi kufikiri hawana bahati ya kupendwa; kumbe ni wewe tu na yeto lako.
Ushauri (si wa kisayansi lakini) nyeto kibinafsi yako si mbaya ila iwe na kiasi....
Ok,bas pole sana
Ni dhambi yesu anasema hivi:
Torati inawaambia kuwa msizini lakini mimi yesu nawambia hivi.:-ukimtazama tu mwanamke na kumtamani umekwisha zini naye moyoni:kwahiyo mpaka upige punyeto tayari umeshavuta hisia ya mwanamke atakaye sisimua hisia ili mjomba aamke then umsugue ndipo alie!!!ni dhambi acha mchezo huo!!!
Pole ya nini?
Punyeto ni dhambi. Soma Mwanzo 38: 8-10 "......... alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao. Neno hili alilifanya likawa baya machoni pa Bwana, basi akamwua yeye naye."
Kwenye swala la kimaadili na imani je ni dhambi wakuu?
Asante nimejifunza kitu hapa
sijawahiWe hujawahi kupiga?
sijawahi
Mkuu mie nafikiri maoni yako ni yakufikirika zaidi ya uhalisia.... mbona sie wengine tulizipiga sana tu shule! Lakini vizibo tushavitungua nyingi tu vilevile!!?? Mita inasoma hata ukipita karibu tu na chombi cha uhakika..then bomba la Dawasco lina presha kali sana tu!
Kuhusu Punyeto waambieni ukweli vijana wa sasa kwamba ni bora aitumie mara 100 kuliko kujiingiza kwenye mapenzi yanayoweza kumuingiza kwenye kupata UKIMWI na mimba zisizotarajiwa hivyo kusababisha watoto wa mitaani, wanafunzi wa kushindwa kuendelea na masomo n.k.......