PUNYETO: Je ni dhambi, Kosa kisheria?

PUNYETO: Je ni dhambi, Kosa kisheria?

ni kosa kisheria umevunja katiba ya jamhur wa muungano kifungu 268 usiue we umeua

ni dhamb umevunja amri ya mungu usizin na usiue

Kumbuka nani zangu zenyewe haziwezi kutengeneza kiumbe,mpaka ziungane na za mwanamke ndo akitoa mimba ndo kuua,na kuzini ni ile kitendo kukutana kimwili na mwingine,mi nakutana kimwili peke yangu
 
Sijui kama ni dhambi au la ila ni kitu ambacho effect yake inacost kubwa sana.
Masturbation inaendana na kuangalia porn, mara nyingi wanaofanya masturbation hua wanaangalia porn, na inafika muda anaona kuangalia porn huku aki-masturbate inamfurahisha zaidi, hii ni kwa wakaka ila hata wadada pia. Sasa tatizo hasa ni nini?

ukishazoea hiyo hali, kwa mkaka utapata porn induced erectile dysfunction, yaani utashindwa kusimamisha, au ukisimamisha haisimami inavotakiwa, inaweza ikasimama sawa ukaweza kupenetrate mdada ambaye yuko loose, ila ukikuta ambaye hayupo loose inaweza isiwe na nguvu kabisa ya kuingia, mfano virgin hutoweza kumuingia hata ufanyeje. Au unaweza fanya mapenzi usimwage kabsia, au ikalala baada ya dakika chache sana, ukimwaga mara moja sahau moja kwa moja hairudi tena.

kwa wadada, wanazoea sana kustimulate clitoris au kutumia matoy huku wakiangalia porn, wao tatizo lao ni siku wakirudi kufanya mapenzi na mwanaume, hawaridhiki, mdada wa watu ukiona kamaliza dakika kumi hajafika orgasm kuna probability kubwa anafanya hili, wengine hata ufanyeje hawafikii orgasm kabisa, watabaki kumlaumu mkaka kumbe tatizo ni la kwao, wanapenda kwenda kujimaliza wenyewe kwa kustimulate clitoris either alone au wakiwa wanaangalia porn. Haya malalamiko ya wadada kwa wanaume ni common sana siku hizi ila kabla hawajamlaumu naomba wahakikishe kua wao pia hawako at fault.
 
Inategemea upo kwenye dini gani...mfano dini yangu mimi na kingunge sio dhambi...ni starehe na pia ni mazoezi ya mikono
 
Sijui kama ni dhambi au la ila ni kitu ambacho effect yake inacost kubwa sana.
Masturbation inaendana na kuangalia porn, mara nyingi wanaofanya masturbation hua wanaangalia porn, na inafika muda anaona kuangalia porn huku aki-masturbate inamfurahisha zaidi, hii ni kwa wakaka ila hata wadada pia. Sasa tatizo hasa ni nini?

ukishazoea hiyo hali, kwa mkaka utapata porn induced erectile dysfunction, yaani utashindwa kusimamisha, au ukisimamisha haisimami inavotakiwa, inaweza ikasimama sawa ukaweza kupenetrate mdada ambaye yuko loose, ila ukikuta ambaye hayupo loose inaweza isiwe na nguvu kabisa ya kuingia, mfano virgin hutoweza kumuingia hata ufanyeje. Au unaweza fanya mapenzi usimwage kabsia, au ikalala baada ya dakika chache sana, ukimwaga mara moja sahau moja kwa moja hairudi tena.

kwa wadada, wanazoea sana kustimulate clitoris au kutumia matoy huku wakiangalia porn, wao tatizo lao ni siku wakirudi kufanya mapenzi na mwanaume, hawaridhiki, mdada wa watu ukiona kamaliza dakika kumi hajafika orgasm kuna probability kubwa anafanya hili, wengine hata ufanyeje hawafikii orgasm kabisa, watabaki kumlaumu mkaka kumbe tatizo ni la kwao, wanapenda kwenda kujimaliza wenyewe kwa kustimulate clitoris either alone au wakiwa wanaangalia porn. Haya malalamiko ya wadada kwa wanaume ni common sana siku hizi ila kabla hawajamlaumu naomba wahakikishe kua wao pia hawako at fault.

Asante nimejifunza kitu hapa
 
Ni dhambi yesu anasema hivi:
Torati inawaambia kuwa msizini lakini mimi yesu nawambia hivi.:-ukimtazama tu mwanamke na kumtamani umekwisha zini naye moyoni:kwahiyo mpaka upige punyeto tayari umeshavuta hisia ya mwanamke atakaye sisimua hisia ili mjomba aamke then umsugue ndipo alie!!!ni dhambi acha mchezo huo!!!
 
Kumbuka nani zangu zenyewe haziwezi kutengeneza kiumbe,mpaka ziungane na za mwanamke ndo akitoa mimba ndo kuua,na kuzini ni ile kitendo kukutana kimwili na mwingine,mi nakutana kimwili peke yangu

sawa nenda kapige punyeto dawa za nguvuza kiume zipo titakuuzia bei nafuu elfu kumi
 
Upigaji wa punyeto unachochewa na tamaa. Kutamani ni dhambi katika imani ya wanaotumia biblia. Kimaadili haina noma.
 
Sijui kama ni dhambi au la ila ni kitu ambacho effect yake inacost kubwa sana.
Masturbation inaendana na kuangalia porn, mara nyingi wanaofanya masturbation hua wanaangalia porn, na inafika muda anaona kuangalia porn huku aki-masturbate inamfurahisha zaidi, hii ni kwa wakaka ila hata wadada pia. Sasa tatizo hasa ni nini?

ukishazoea hiyo hali, kwa mkaka utapata porn induced erectile dysfunction, yaani utashindwa kusimamisha, au ukisimamisha haisimami inavotakiwa, inaweza ikasimama sawa ukaweza kupenetrate mdada ambaye yuko loose, ila ukikuta ambaye hayupo loose inaweza isiwe na nguvu kabisa ya kuingia, mfano virgin hutoweza kumuingia hata ufanyeje. Au unaweza fanya mapenzi usimwage kabsia, au ikalala baada ya dakika chache sana, ukimwaga mara moja sahau moja kwa moja hairudi tena.

kwa wadada, wanazoea sana kustimulate clitoris au kutumia matoy huku wakiangalia porn, wao tatizo lao ni siku wakirudi kufanya mapenzi na mwanaume, hawaridhiki, mdada wa watu ukiona kamaliza dakika kumi hajafika orgasm kuna probability kubwa anafanya hili, wengine hata ufanyeje hawafikii orgasm kabisa, watabaki kumlaumu mkaka kumbe tatizo ni la kwao, wanapenda kwenda kujimaliza wenyewe kwa kustimulate clitoris either alone au wakiwa wanaangalia porn. Haya malalamiko ya wadada kwa wanaume ni common sana siku hizi ila kabla hawajamlaumu naomba wahakikishe kua wao pia hawako at fault.

umeongea kitaalam,,,naomba na tiba
kwa men maana naona inanilemaza
 
Ni dhambi yesu anasema hivi:
Torati inawaambia kuwa msizini lakini mimi yesu nawambia hivi.:-ukimtazama tu mwanamke na kumtamani umekwisha zini naye moyoni:kwahiyo mpaka upige punyeto tayari umeshavuta hisia ya mwanamke atakaye sisimua hisia ili mjomba aamke then umsugue ndipo alie!!!ni dhambi acha mchezo huo!!!

Je kama unayemvutia hisia alishafariki,mfano aaliah inakuaje hapo
 
ma-selfie hayana dhambi ruksa mkuu Viol endeleza tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom