PUNYETO: Je ni dhambi, Kosa kisheria?

PUNYETO: Je ni dhambi, Kosa kisheria?

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,155
Reaction score
166,095
Punyeto ni kitendo cha mtu mume au mke kujichezea via vyake vya uzazi hadi kufikia mshindo au kilele cha raha.

Punyeto ina mazuri yake na mabaya yake mengi, lakini leo nina swali la tofauti kidogo:
Wajuzi wa mambo, naomba mnijulishe kama punyeto ni dhambi au ni kosa kisheria za duniani. Kama ni dhambi, je ni kitabu gani cha dini kinakataza. Na kama ni kosa kisheria je ni kifungu gani kina maelezo ya kuanisha kosa hilo na adhabu zake?
 
Ni dhambi kutokana na Uislam, inasemekana unanyoga kimya kimya viumbe.

Quran; And those who do not find the means to marry should remain chaste until Allah gives them resources by His Grace." (Surah Al Mu'minoon : Verse 32)
 
Mwaga reference kidogo mzee
Mzee nimeisha kuwekea quote kutoka kwenye Quran na nakuwekea hadith ya mtume Muhammad; The Prophet Muhammad(PBUH) is reported to have said, " The one who marries their hand is accursed ." That person who masturbates them self has been cursed by Allah and His Messenger (PBUH) and on the Day of Judgment their hand will be pregnant.
 
Wajua liko kipekee mno...is 1 person only,,, halina ushahidi moja kwa moja,,, ila kiimani ni dhambi...how come utengeneze mikono yako kuwa K.....au u..me?...ni dhambi direct.......ila tamu kama hujaonja usithubutu......
 
Wajua liko kipekee mno...is 1 person only,,, halina ushahidi moja kwa moja,,, ila kiimani ni dhambi...how come utengeneze mikono yako kuwa K.....au u..me?...ni dhambi direct.......ila tamu kama hujaonja usithubutu......

Weka maandiko yathibitishayo kuwa ni dhambi
 
Mzee nimeisha kuwekea quote kutoka kwenye Quran na nakuwekea hadith ya mtume Muhammad; The Prophet Muhammad(PBUH) is reported to have said, " The one who marries their hand is accursed ." That person who masturbates them self has been cursed by Allah and His Messenger (PBUH) and on the Day of Judgment their hand will be pregnant .
Haya bwana ngoja tuone maoni ya dini nyingine na wapagani pia
 
Ndiyo, unajua ukifanya punyeto obviously huwezi kufanya without thinking of adultery ambacho hicho chenyewe directly kimeongelewa kua ni dhambi... Wasfeso 5:3 Kwa vile nyinyi ni watu wa Mungu, basi uasherati, uchafu wowote ule au choyo visitajwe kamwe miongoni mwenu. (Waefeso 5:3 BHN).. hua napenda ya kingereza em ona hii Eph 5:3 (NIV) But among you there must not be even a hint of sexual immorality, or of any kind of impurity, or of greed, because these are improper for God's holy people... Masturbation ni sexual immorality, na ukisema ujitetee ati u dnt think of a woman or any sexual activity huku masturbation yenyewe ni sexual activity basi unadanganya na kama ni hivo basi unachofanya ni impure....
 
Mzee nimeisha kuwekea quote kutoka kwenye Quran na nakuwekea hadith ya mtume Muhammad; The Prophet Muhammad(PBUH) is reported to have said, " The one who marries their hand is accursed ." That person who masturbates them self has been cursed by Allah and His Messenger (PBUH) and on the Day of Judgment their hand will be pregnant.

S.A.W peace upon him
 
S.A.W peace upon him
Ameen.

[FONT=times new roman, times, serif]Prophet Muhammad (Peace be Upon him)[/FONT]
[FONT=times new roman, times, serif]"We have not sent you (O Muhammad) but as a universal (Messenger) to men giving them glad tidings and warning them (against sin) but most men understand not." (Quran: 34/28)[/FONT]
 
Wajua liko kipekee mno...is 1 person only,,, halina ushahidi moja kwa moja,,, ila kiimani ni dhambi...how come utengeneze mikono yako kuwa K.....au u..me?...ni dhambi direct.......ila tamu kama hujaonja usithubutu......

Hahaha,uyu jamaa,dizain ndo zake..kajuaje kuwa ni tamu?!
 
Ni dhambi hata bible imezungumzia hili sana

acha kabisa kama unafanya
 
Ndiyo, unajua ukifanya punyeto obviously huwezi kufanya without thinking of adultery ambacho hicho chenyewe directly kimeongelewa kua ni dhambi... Wasfeso 5:3 Kwa vile nyinyi ni watu wa Mungu, basi uasherati, uchafu wowote ule au choyo visitajwe kamwe miongoni mwenu. (Waefeso 5:3 BHN).. hua napenda ya kingereza em ona hii Eph 5:3 (NIV) But among you there must not be even a hint of sexual immorality, or of any kind of impurity, or of greed, because these are improper for God's holy people... Masturbation ni sexual immorality, na ukisema ujitetee ati u dnt think of a woman or any sexual activity huku masturbation yenyewe ni sexual activity basi unadanganya na kama ni hivo basi unachofanya ni impure....

zaidi ya hii unataka ipi tena? jihahalishi tuu mkuu...
 
PUNYETO ni UBINAFSI na pia ni dhambi coz kuna madem na mamen wapo na ukame wewe unaWASTE hizo RESOURSES, badala ya kuwapa japo kiduchu....mtahukumiwa kwa kutotumia RASILIMALI kwa manufaa ya wengine...
 
Back
Top Bottom