Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 11,244
- 15,063
Sawa na wapiga nyeto kumbuka hawaishii kupiga nyeto mara moja, sasa sijui hapo unadhani wapiga nyeto wanapiga mara moja tu au mimba inakuja siku moja tu, kama mimba inakuja kwa sikumoja tu hata ukipiga nyeto siku moja itakuwa pia inawezekana kuwa vile.Hata ukiwa na mke si mbegu zote zinatunga mimba. Zingine zinaharibika, na moja pekee ndo inatunga mimba. Pia kumbuka mtoto hawi kiumbe hai mpaka mbegu za kiume zikutane na yai la mwanamke.
Upande wa pili, Punyeto ni dhambi katika mantiki ya kwamba"HUWEZI kupiga punyeto BILA YA KUWAZA UKO NA BINTI (GRACE, AMINA) kitandani. Ni kwa msingi huo Biblia inasema katika Mathayo 5: 27 "Na Kila amtazamaye mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni mwake"