PUNYETO: Je ni dhambi, Kosa kisheria?

PUNYETO: Je ni dhambi, Kosa kisheria?

Hiyo ni starehe ya mtu binafsi bhana,iwe ni dhambi isiwe dhambi vyote poa tu mana hata kufanya tendo la ndoa pasipo ndoa ni dhambi pia
So punyeto nikama ujasiliamali tu,one man army unamaliza mambo yako unakuwa mwepesiiiiiiiiiiii
 
Punyeto ni kitendo cha mtu mume au mke kujichezea via vyake vya uzazi hadi kufikia mshindo au kilele cha raha.Punyeto ina mazuri yake na mabaya yake mengi, lakini leo nina swali la tofauti kidogo. Wajuzi wa mambo,naomba mnijulishe kama punyeto ni dhambi au ni kosa kisheria za duniani.Kama ni dhambi, je ni kitabu gani cha dini kinakataza. Na kama ni kosa kisheria je ni kifungu gani kinamaelezo ya kuanisha kosa hilo na adhabu zake?

mkuu unaweza kupata jibu kidogo toka kwenye link hii
‘Masturbation Is Not A Sin, Pastor Chris Oyakhilome Is 100% Right'-|-ZimEye
 
Mtu wache na punyeto yetu tupumue....hata ikiwa dhambi poa tutaikung'uta mpaka dushelele ibakie kijiti..hatuachi ng'o....I love you CHAPUTA...i will never leave you.....Mwaaaaaaah..
 
Waache na punyeto zao, mwisho wa siku ukienda kwenye game unamwaga baada ya dakika tatu afu ukitoka hapo inakaa dakika 20 nzima unasubiri mchakato usimame upya, hata binti anayekuvumilia chizi.. Unajua tatizo la wafanya punyeto wanaangalia sana porn, ile kitu inarelease ma hormone kwenye ubongo zile level zinakua zina accelerate tu, kuna sehemu ya ubongo inaharibika sasa ukienda kwenye game lenyewe kwa kua ubongo ushajitwin kivingine mchongo unakua unasimama dakika chache afu unamwaga fasta, usifatilie article zinazodanganya ati hiyo mishe haina hasara, ina hasara nyingi tu...
Fatilia hii video ya TED talks ina title Become a Man Stop Masturbation and Porn, youtube ipo
 
Sema gitaa la solo lina raha yake ujue, haina cost na ni convenient kwa muda wowote unaohitaji!
 
aliyekwambia si dhambi ni nani?
na kwanini unafanya hivyo kwani maandiko yanaruhusu kufanya hivyo?
kwani Mungu aliposema nendeni mkazae muongeze nchi alikuwa hana maana?
sasa hiyo kitu yako imetoka kwa nani na kama si ibilisi mtenda dhambi?
kwanini utumie vifaa wakati yuko aliyeumbwa kwa ajili yako mmalizane?
chunga sana na angailia usijetumbukia katika shimo la dhambi ilihali ukijifariji kuona pepo

Punyeto ni kitendo cha mtu mume au mke kujichezea via vyake vya uzazi hadi kufikia mshindo au kilele cha raha.Punyeto ina mazuri yake na mabaya yake mengi, lakini leo nina swali la tofauti kidogo. Wajuzi wa mambo,naomba mnijulishe kama punyeto ni dhambi au ni kosa kisheria za duniani.Kama ni dhambi, je ni kitabu gani cha dini kinakataza. Na kama ni kosa kisheria je ni kifungu gani kinamaelezo ya kuanisha kosa hilo na adhabu zake?
 
Don't take personal, ndio maaana nikauliza kwa watu wa dini zote na watu wa ufahamu wote
aliyekwambia si dhambi ni nani?
na kwanini unafanya hivyo kwani maandiko yanaruhusu kufanya hivyo?
kwani Mungu aliposema nendeni mkazae muongeze nchi alikuwa hana maana?
sasa hiyo kitu yako imetoka kwa nani na kama si ibilisi mtenda dhambi?
kwanini utumie vifaa wakati yuko aliyeumbwa kwa ajili yako mmalizane?
chunga sana na angailia usijetumbukia katika shimo la dhambi ilihali ukijifariji kuona pepo
 
post.jpg
Punyeto ni kitendo cha mtu mume au mke kujichezea via vyake vya uzazi hadi kufikia mshindo au kilele cha raha.Punyeto ina mazuri yake na mabaya yake mengi, lakini leo nina swali la tofauti kidogo. Wajuzi wa mambo,naomba mnijulishe kama punyeto ni dhambi au ni kosa kisheria za duniani.Kama ni dhambi, je ni kitabu gani cha dini kinakataza. Na kama ni kosa kisheria je ni kifungu gani kinamaelezo ya kuanisha kosa hilo na adhabu zake?
 
.... (Waefeso 5:3 BHN).. hua napenda ya kingereza em ona hii Eph 5:3 (NIV) But among you there must not be even a hint of sexual immorality, or of any kind of impurity, or of greed, because these are improper for God's holy people... Masturbation ni sexual immorality, na ukisema ujitetee ati u dnt think of a woman or any sexual activity huku masturbation yenyewe ni sexual activity basi unadanganya na kama ni hivo basi unachofanya ni impure....

Unaweza ku-expound zaidi kwenye hilo andiko na argument yako kuwa punyeto ni sexual immorality?
 
Unaweza ku-expound zaidi kwenye hilo andiko na argument yako kuwa punyeto ni sexual immorality?
Sexual immorality unajua neno immorality lina synonyms nyingi evil, vileness, iniquity hata dishonesty... Ila look at it in this sense, nambie mtu yeyote ambaye anafanya punyeto ambaye hayuko associated with stuffs like porn au kumvutia hisia mwanamke! u cant tell me yupo ambaye anajichua without any sexual imaginations, hiyo hata sayansi inakataa unless kwa baadhi wenye matatizo flani kiafya mfano wapo wanawake baadhi wanaoweza kupata orgasm hata mara 100 kwa siku.. ila tofauti na hapo nani atapata climax kwa masturbation bila any sexual imaginations? Au unataka fungu jingine linalotoa maelezo ?
 
Punyeto ni kitendo cha mtu mume au mke kujichezea via vyake vya uzazi hadi kufikia mshindo au kilele cha raha.Punyeto ina mazuri yake na mabaya yake mengi, lakini leo nina swali la tofauti kidogo. Wajuzi wa mambo,naomba mnijulishe kama punyeto ni dhambi au ni kosa kisheria za duniani.Kama ni dhambi, je ni kitabu gani cha dini kinakataza. Na kama ni kosa kisheria je ni kifungu gani kinamaelezo ya kuanisha kosa hilo na adhabu zake?
Ni dhambi kubwa sana! Kibiblia inajulikana kama ONANISM. Soma kitabu cha MWANZO : 38: 3-10. Mungu alimuua ONAN kwa sababu alifanya punyeto.
 
Ni dhambi kubwa sana! Kibiblia inajulikana kama ONANISM. Soma kitabu cha MWANZO : 38: 3-10. Mungu alimuua ONAN kwa sababu alifanya punyeto.
9 Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao. - 10 Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa Bwana, basi akamwua yeye naye.
Punyeto tunayoiongelea ni ya mtu mume/ mke kujichezea na kujiridhisha, mind you sio kila mtu kilele chacke kinafikika kwa kumwaga
 
Back
Top Bottom