PS wangu ananitega

PS wangu ananitega

Mkuu kwani wewe samaki hadi utegwe? Michepuko ndio dili njia Kuu foleni
 
Dawa ake muombe 0653..naamin atakimbia na ataandika barua ya kuomba likizo
hiyo siyo dawa, wengi wanatumia hiyo kitu. Usikute nae(ps) ni muumini wa hiyo kitu halafu jamaa akapata mtihani zaid
 
Hivi kumbe bado kuna maboss wenye ma secretary? wanafanya kazi gani huko maofisini?
 
wewe mwenyewe mlaini mkuu maana kama angekuwa anafahamu msimamo wa boss wake asingefanya hivyo. au pengine wewe ni mtu wa matani mengi ambayo yamempa nafasi naye afanye vituko hivyo! nakuona kama umeshanasa vile na hata avatar yako umeanza nawe kurembua!
 
hehehe, utajijuaaaa maneno hayo hata kwenye shuka za muhimbili yapoo.
mimba tena? hapa nilipo nna mitoto mizuriii kama baba yao, 5 kids the african way, unipe mimba ingine nipeleke wapi?

tena paw nikimuona anakula ugali wa mhogo nampokonya manake hapa tu namshindwa. kwenda kujipooza kwa small house mara moja moja nimemruhusu manake najua ananizidi pumzi.

upo eeh? hehehe, nshakuambia utasubiri mnoooo!:croc:

Wewe lazima :busu, najua huna ujanja kwani paw mwenyewe siku hizi nasikia kakushiti amehamia nyumba ndogo! Utajipa matumaini kwamba atarudi lkn hatarudi hizo mali kakuachia lkn dushe ndiyo hutapata! Njoo kwangu upate ulichokimisi uone nilivyo kidume kwani haitachukua muda mrefu :mimba:kitu ambacho paw alikuwa ameshindwa!
 
Hahahahahaaaaaa, hiyo bado sana wala haijafikia african way! Na ninavyomjua paw atakutotolesha hadi basi!
Paw mwenyewe ndiyo huyu?! Pole zako, we endelea tu siku utakayonigeukia mimi utakuta nafasi ishazibwa wala tusije laumiana!
hehehe, utajijuaaaa maneno hayo hata kwenye shuka za muhimbili yapoo.
mimba tena? hapa nilipo nna mitoto mizuriii kama baba yao, 5 kids the african way, unipe mimba ingine nipeleke wapi?

tena paw nikimuona anakula ugali wa mhogo nampokonya manake hapa tu namshindwa. kwenda kujipooza kwa small house mara moja moja nimemruhusu manake najua ananizidi pumzi.

upo eeh? hehehe, nshakuambia utasubiri mnoooo!:croc:
 
Uzuri kaonyesha Josiah mapema na hakuna aachotaka zaidi ya mapenzi....sasa kuwa muazi kabla tatizo halijakomaa..mwambie Aachen hyo tabia
 
Wewe ndio unamtega. Weka sura ya kazi uone kama ataendelea kujishaua. Unawekewa manyonyo hapo una 'jikausha'? Ngoja atakulowesha afu ujikaushe upya!

Hilo nalo neno wanamume cc vjana wabiiich vbosile tuache kuendekeza usenge ktk kaz za taifa ili tusongeshe tyre. Hapo Ushaur Wa nn???? Utaharbu kaz bure kwa tamaa ya cku m1 kama vp bora upge nyeto kwa hasia ya mwli wake kuliko kendekeza Hali hii. Wazee wetu wamelifksha taifa hili hapa tulipoo ( wkt Wa laumulaum) kwakuendekeza chumbageni. Na cc tunakmbilia kufa kwa kujipalia makaa haya... MAjanga be a man
 
Hapo unagonga halafu unakuwa na job security. Atakuwa mwaminifu kwako kwa kiwango cha juu sana. Siku hizi watu wanakula na kazi inafanyika
 
Wewe ndio unamtega. Weka sura ya kazi uone kama ataendelea kujishaua. Unawekewa manyonyo hapo una 'jikausha'? Ngoja atakulowesha afu ujikaushe upya!


Kweli kabisa, jamaa ndiye hayuko makini na kazi. Kama ningekuwa boss wao wote wawili, basi huyo secretary ningempatia promotion.

Msaidizi wa kazi anawezaje kukupigia simu isiyo ya kazi katika muda wako wa mapumziko halafu ukamchekea??

Nahisi mdau naye anatafuta upenyo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom