Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,318
- 8,228
Wakuu huu ukweli uwaweke huru.
"Bongo bila kukata kamba hutoboi"
"Bongo bila kukata kamba hutoboi"
Umejuaje hayo yote?Unataka kuwalazimisha Wanyakyusa wakate govi ili watoboe? Never ever!!
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Kukata kamba ndiyo mchezo gani huo?
😃😃😃😃😃😃😃😃Naye anaweza kujikatia kamba tu. Yawezekana hata wewe umeshaikata tayariNilikuwa sijakuelewa, vip kwa mwananchi wa kawaida ambaye hajafungwa hiyo kamba akate nini?
asante kwa fafanuzi maana nilitoka kapaAnamaanisha Sisi waajiriwa bila kuiba hutoboi!
tupe maana Meneja Wa Makampuni"Bongo bila kukata kamba hutoboi"