Proper Cribs (tusiogope kuitwa mafisadi)

Uzuri wa
bongo hakuna sheria inayokuuliza umepata wapi ya kujenga kwa mfano hekalu la dola milioni moja wakati kipato chako ni Tsh laki sita,na isitoshe hilo hekalu limejengwa kwa cash kutoka mfukoni na si mkopo kutoka benki

Kwelimkuu, lakini wanakufuatafuata balaa! Kama ni mfanyabiashara ndy kabisa TRA hawaishi kupiga hodi malangoni pako!! teh teh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom