Wananchi hasa wale ambao hawana Muda wa kusoma Magazeti wala Kuangalia TV( kutokana na Ugumu wa Maisha) wanalaumu CDM!!Kuwa chama cha MAUAJI na VURUGU!!
Ushauri wangu sasa ili kuwaweka wananchi sawa,
1)Kuna Picha ile ambayo MWANGOSI anaonekana akilipuliwa Laivu,Isambazwe bure mpaka vijijini tena sana...Hii itasaidia kufuta tongotongo na Kuchafua chama.
Nakubaliana nawe kabisa kuwa ni watu wachache saana wanaojua undani wa mauaji haya. Nami nimefanya kazi hii kwa watu wapatao 40 katika taasisi 2 za elimu na kuona tatizo hili. Wakiona picha hata wabishi wanageuka na kulaumu polisi. Lakini kazi hii haiwezi kufanywa na chama bali mtu mmoja mmoja.