Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

na huo ndio ukweli ambao cdm mmekua mkiupotosha umma kwa kutumia media, kukashifu kila chombo cha habari chenye mtizamo tofauti nanyi, watanzania ukiacha washabiki wa cdm, ni waelewa and soon mtalitambua hilo.

magamba mnapenda kujifariji, this wind of change is definite! watu hawadanganyiki tena, maana uonevu wa police uko hadi vijijini! Watu wanatishwa wanabambikiziwa kesi hadi vijijini, usifikiri experience ya uonevu wa jeshi la police uko kwa chadema mjini pekee, tena Mwangosi aliuwawa kijijini kabisa! hii topic ya police brutality si ya mjini tu! Watu wanafutatilia mijadala radioni kwenye tv, na magazetini! Vijijini kila familia ina radio, wanasikiliza magezeti kila siku asubuhi! This is ana information age msijidanganye kuwa propaganda zina nafasi tena kwa kizazi hiki!
 
Huyo mwananchi ambaye hajasikia kilichotokea may be atakuwa Mhadzabe ambaye yupo porini ambapo habari ni taabu kuwafikia
 
Hao ni hao uliowasikia wewe redioni, umeshafika vijijini na kusikia watu wanasemaje kuhusu vyama vingi, achilia mbali vifo vya juzi?

Shigela naye ni mwananchi. Kuna watu nyuma yake na wengine wanamsikiliza na kumwamini zaidi ya magazeti na redio kwani wanaamini kwa wadhifa wake anafahamu zaidi. Wassira naye ni mwananchi na ana wafuasi nyuma yake. Nape naye ni mwananchi na ana wafuasi.

Usiseme wananchi wanaelewa as if uliongea nao wote. Kama unakaa Sinza unaweza kudhania hivyo lkn ukienda Buguruni ukamsikia mama lishe anachoongea utasikia kichefu chefu. 'Ah hawa CDM wanataka tu kutuletea fujo wengine sisi tutakimbilia wapi. Miaka yote tumejiuzia maandazi yetu hapa bila shida wao kwa uroho wao wa uongozi kazi kufanya fujo tu. Polisi wameshaambia msifanye kikao leo wanabisha, sasa wao na polisi mwenye nguvu nani, aah'

Mtu mwenye maneno ya hivi unaweza ukamuhesabu katika upande wa harakati?
Kichefuchefu
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom