PreGE2025 Project CHAUMA itafeli mapema sana kama ilivyofeli project G55

PreGE2025 Project CHAUMA itafeli mapema sana kama ilivyofeli project G55

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
1760982420864.jpg
 
Anachozungumza kina mantik. Ukimya wa Chaumma ni stategy mbovu Lakini ukimuondoa Yericko, ni kada gani wa Chaumma anae shambulia Chadema? Na nani alimzuia yeye kuikosoa serikali na kuzungumzia yaliyotokea 29 Oktoba? Labda ataeleza yote atakapotangaza kutoka Chaumma na kuomba apokelewe Chadema.

Amandla...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom