Qualtrics
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 272
- 389
Itakuwepo Sana tu....hizi kampeni na mijadala isikutishe hakuna jipya chini ya jua.Hukombeleni hakutatakuwa na ndoa kabisa
Itakuwepo Sana tu....hizi kampeni na mijadala isikutishe hakuna jipya chini ya jua.Hukombeleni hakutatakuwa na ndoa kabisa
Wewe ndio huelewi, kwani unahudumia kitu gani hadi utengeneze kizazi masikini? Labda kama unageneralize ideas za wengine na kunirundikia mimi.Sasa kama unafikiri ndoa ni sehemu ya maonyesho basi atakayekuoa anakazi nzito Sana.
Nilikuwa majibu Kwa ajili ya wasomaji sio kwaajili yako.
Najua wewe upeo wako upo Chini.
Mpaka unawaza valentine's Day inamaanisha hata hujafikia Akili za kuitwa Mwanamke. Bado ni msichana. Na ndoa haipo kwaajili ya wasichana ambao hawajakomaa kimwili, kihisia, kiroho na Kiakili
Na hapo ndipo unathibitisha ndoa ni Utapeli na Unyonyaji.
Ikiwa ninyi ni mwili mmoja hakuna kitu kinachoitwa kuhudumiwa. Sijui wapi huelewi.
Na kitu Hilo kikiwepo Utapeli haueipikiki.
Ndio maana Vijana hawataki hizo ndoa zenu za kitapeli.
Wewe kama unamuona MKE wangu Hana furaha Kwa Mtazamo wako WA kitapeli upo sahihi. Kwa sababu Ipo furaha ya kweli na furaha ya kitapeli.
Kuoa Mwanamke mwenye mtizamo wa Aina yako huwezi Jenga familia, zaidi mtaishia kuwa na kizazi Maskini na watumishi tuu.
Ukishaleta mambo ya kuhudumiwa matokeo yake ndio hayo ya unyanyasaji, Kwa sababu mtizamo wa kuhudumia haujajengwa na Upendo. Sijui kama hata unaelewa.
Upendo hauhesabu mabaya, lakini watoa Huduma lazima wahesabu, na wapewe Huduma lazima wahesabu. Na ndio hapo unaambiwa hakuna Ndoa hapo.
HAPANA HAPANA HAPANAndoa ni bustani inapaswa kupaliliwa na kutunzwa
😂 😂😂 teh teh teh!Shida zimekuandama muda wa kupiga nyeto unatoa wapi ,, una week mbili haisimami Wala hulowi kila siku uko na kazi za watu ndo nyie siku mkipata zali unaaibika
Asante mkuu😂😂😂🤣🤣Itakuwepo Sana tu....hizi kampeni na mijadala isikutishe hakuna jipya chini ya jua.
Wewe ndio huelewi, kwani unahudumia kitu gani hadi utengeneze kizazi masikini? Labda kama unageneralize ideas za wengine na kunirundikia mimi...
Naona unaenjoy Series hii ya Sukuma Ndoa
Watu watapata shida sana kuargue na wewe sababu unapenda kucheza tu na maneno.Uliwahi sikia serikali inajihudumia?
Maana MTU anaweza kuwa amesoma lakini Hana Akili ya kuchambua mambo.
MKE ni sehemu ya Serikali ya familia, ni sehemu ya mpanga Bajeti ya familia, ni sehemu ya utawala anahudumiwaje?
Sasa tatizo Vijana watazidi kuliona.
Ni hatari Kwa kweli.
1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30 and under...
2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially..
3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.
4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,
5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.
Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
upendo hujionyeshi unajionyesha wenyewe?!,....how...namaanisha hakuna kuonekana upendo kama hakuna physically vitu vinavyouonyesha huo upendo,usitudanganye uwe passive tuu halafu mkeo atafsiri kuwa passive kwako ndio kumpenda?!......Upendo hauonyeshwi, upendo unaonekana wenyewe! Hii kichwa yako ngumu mno.
Ndio maana ninyi vichwa panzi ni rahisi kutapeliwa. MTU akionyesha upendo mnadhani anawapenda 😂😂
Upendo hauonyeshwi Ila unajionyesha wenyewe.
Kuhusu wasomaji, Kwa habari ya wasomaji wanaume, wanajua like nazungumzia, Kwani Sisi wanaume tunaelewana na tunaakili za kuelewa.
Na Wanawake wachache mno waliojaliwa.
Ila wengi ambao hawatanielewa Kwa upande wenu watakuwa wale wa Aina yako. Ambao mnauelewa finyu.
Rahisi kutapeliwa na sio ajabu hapo ni single mother Kwa sababu ya ujingaujinga.
Mnataka kuonyeshwa upendo, mwishowe mnatapelika kijingajinga na wahuni.
Mkiambiwa hivi mnasema mnachukiwa.😀😀aisee
Naongea na wenye ndoa hapo, wewe tulia piga zako nyetoHAPANA HAPANA HAPANA
Ndoa Ni Utapeli Unaotakiwa Kukemewa Kwa Nguvu Zote
Nimeanza 2001 rasmi nikiacha labda mazingira hayaruhusu Tena yakibana nitapiga bafuni Hadi Sasa kila siku Nina minimum bao mbili na siumwi acheni kujificha kwenye nyeto nyie mnamatatizo yenuSorry sorry sorry, usinijumuishe kwenye mawazo ya wengine. Punyeto ni afya na inaepusha mengi kama mtu huna mpenzi mwaminifu.... Na mimi nashauri hivyo.
Narudia tena... Mimi ni mtu ninayejali well being ya wengine... na nakwambia 3 times a day sio afya.
Sina nia mbaya.
tena saa tano hiyoo, nala ugali, natia cha nne, naoga nalalaNaongea na wenye ndoa hapo, wewe tulia piga zako nyeto
Inafurahisha sana watu waongo ssana ukikazana kubishana utachokaNaona unaenjoy Series hii ya Sukuma Ndoa
Maziwa unayapata wapi???mimi nakupa mitatu wala sio mia, na niko serious,,,lolMitatu michache sana, labda 100 mbele huko
Kama maziwa napata yanini nifuge ng'ombe ?
Sawa mzee mwezangu! Kwani JF tunajuana basi?Nimeanza 2001 rasmi nikiacha labda mazingira hayaruhusu Tena yakibana nitapiga bafuni Hadi Sasa kila siku Nina minimum bao mbili na siumwi acheni kujificha kwenye nyeto nyie mnamatatizo yenu
Nyeto Ni afya
nyeto haiui
Nyeto Ni utii
Nyeto ni daima
We nawe zile sio picha zao bila shaka alifosiwa tuu au we huoni ?Inafurahisha sana watu waongo ssana ukikazana kubishana utachoka
Sikumoja nilikuta comment kwenye ukurasa wa jf Instagram iyo comment niliona humu jamaa kainote kma ilivo ya kataa ndoa😂😂😂
Kaandika kma huku ni ulimbukeni sijui nn, 😂
Looh nikasema ngoja nimchungulie ni nani jamaa anamke nanwatoto wawil wapo kijijigani sijui mke kavaa gauninlake la kitenge😂😂😂na caption kubwa "taasisi muhimu sio Kwa lilepoz 😂😂 wamechoka😂😂😂
KE ana nini cha ku offer ?Maziwa unayapata wapi???mimi nakupa mitatu wala sio mia, na niko serious,,,lol