Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,409
- 2,254
- Thread starter
- #481
ni kuwa in denial kupinga huo ukweli.Sasa nimejua ni kwanini unakuwa katika makasiliko unaposikia kampeni ya KATAA NDOA 😁
ni kuwa in denial kupinga huo ukweli.Sasa nimejua ni kwanini unakuwa katika makasiliko unaposikia kampeni ya KATAA NDOA 😁
If and only of wishes were horses even baggers would ride!Maisha hayana formula Kama wewe ili upate pesa Ni lazima utoke au uamke asubuh na mapema Kuna wengine Rika lako anafanyiwa au ana shughuli zake eg Mimi sijatoka siku mbili hata kwenda dukani Nina kila kitu ndani home alone lkn nimepata muda wa jf shughuli zangu kwenye pc nimemaliza
Wanawake wawili niliozaa nao Jana KILA mtu kapata gawio nyeto Ni 4times a day kifupi bao nne acha ku crame maisha
Na huo muda wa Kazi Ni upi unaosemea😂 nyie masikini mnachekeshaga Sana kwa hio wewe muda wa kwenda ulipoajiriwa unahisi na wengine Ni hivo?
Mfano Mimi watu wanasema j3 Ni siku ya kazi ila j3 huwa sitoki kwenda popote Ni week hii tu nimebadili ratiba nikatulia Jana na leo KILA my ana kazi yake
Wako watu Tena Ni kazi iliohitaji elimu kazi Ni masaa mawili per day mshahara laki tatu plus Bado tips kula kulala bure acha umbamba
Ni Ajira Kwao, Sehemu Ya kupunguzia Ukali wa Maisha kwa kumyonya mwanaume kwa mbadilishano wa papuchiSasa nimejua ni kwanini unakuwa katika makasiliko unaposikia kampeni ya KATAA NDOA 😁
call it whatever,ukikua kidogo utataka uoe,nakupa miaka mingine mitatu hivi...Ni Ajira Kwao, Sehemu Ya kupunguzia Ukali wa Maisha kwa kumyonya mwanaume kwa mbadilishano wa papuchi




Kwani si tulishakubaliana kataa ndoa wote ni mashoga
Mwanaume halisi huwezi ukakaa unapiga kelele "kataa ndoa" tena unamwambia mwanaume mwenzio unamaanisha nini!!!
Miaka Mitatu ili niwe Mjinga Nioe ?call it whatever,ukikua kidogo utataka uoe,nakupa miaka mingine mitatu hivi...
Mind set yako baada ya miaka mitatu itakua imebadilika, tubeti kama hutaoa?lolMiaka Mitatu ili niwe Mjinga Nioe ?
Mtawapiga na kuwatapeli Mabwege wa Ngobedi , siyo mimi
Sorry sorry sorry, usinijumuishe kwenye mawazo ya wengine. Punyeto ni afya na inaepusha mengi kama mtu huna mpenzi mwaminifu.... Na mimi nashauri hivyo.si mnasema wanaopiga nyeto wabinafsi siyo nyie ?
kwamba kuna dada flani huko limekosa chapaa yangu ya kuhudumia
ndiyo maana mnatutukana sie mahanithi, sisi ni upinde
ni afya kwangu maana na-save pesa, na kutopata magonjwana nakwambia 3 times a day sio afya.
Mitatu michache sana, labda 100 mbele hukoMind set yako baada ya miaka mitatu itakua imebadilika, tubeti kama hutaoa?lol
Aiseeee! Japo mimi ni open minded ila hii yako ina bounce! Kuhudumiwa ni kuhudumiwa hakuna definition nyingine acha kukaza kichwa.
😂
True, na kwasababu hii mtu ukianza kuchambua mambo ya mahusiano hutakiwi kuwa biased. Sababu kama ni mke utapata watoto wa kiume one day, au labda una kaka zao au wadogo zako.Men we are going through a lot
Si kweli maisha ni kuchangua MasterKwani si tulishakubaliana kataa ndoa wote ni mashoga
Mwanaume halisi huwezi ukakaa unapiga kelele "kataa ndoa" tena unamwambia mwanaume mwenzio unamaanisha nini!!!
Muonyeshe mkeo upendo,eti ndoa sio sehemu ya maonyesho ya upendo, wewe umebugi halafu unajifanya kukaza shingo! .....eti ulikua unajibu kwa ajili ya wasomaji, unajihangaisha bureee wasomaji wanajua fika umeandika utumbo, ndoa ni bustani inapaswa kupaliliwa na kutunzwa, wewe kaza shingo hapo ila wasomaji unaowa address wanajua umebugi,,,,,Sasa kama unafikiri ndoa ni sehemu ya maonyesho basi atakayekuoa anakazi nzito Sana.
Nilikuwa majibu Kwa ajili ya wasomaji sio kwaajili yako.
Najua wewe upeo wako upo Chini.
Mpaka unawaza valentine's Day inamaanisha hata hujafikia Akili za kuitwa Mwanamke. Bado ni msichana. Na ndoa haipo kwaajili ya wasichana ambao hawajakomaa kimwili, kihisia, kiroho na Kiakili
Na hapo ndipo unathibitisha ndoa ni Utapeli na Unyonyaji.
Ikiwa ninyi ni mwili mmoja hakuna kitu kinachoitwa kuhudumiwa. Sijui wapi huelewi.
Na kitu Hilo kikiwepo Utapeli haueipikiki.
Ndio maana Vijana hawataki hizo ndoa zenu za kitapeli.
Wewe kama unamuona MKE wangu Hana furaha Kwa Mtazamo wako WA kitapeli upo sahihi. Kwa sababu Ipo furaha ya kweli na furaha ya kitapeli.
Kuoa Mwanamke mwenye mtizamo wa Aina yako huwezi Jenga familia, zaidi mtaishia kuwa na kizazi Maskini na watumishi tuu.
Ukishaleta mambo ya kuhudumiwa matokeo yake ndio hayo ya unyanyasaji, Kwa sababu mtizamo wa kuhudumia haujajengwa na Upendo. Sijui kama hata unaelewa.
Upendo hauhesabu mabaya, lakini watoa Huduma lazima wahesabu, na wapewe Huduma lazima wahesabu. Na ndio hapo unaambiwa hakuna Ndoa hapo.
sitoi chochote, tapika basi?
😂😂Eeeh Ushapanga tukio
Shida zimekuandama muda wa kupiga nyeto unatoa wapi ,, una week mbili haisimami Wala hulowi kila siku uko na kazi za watu ndo nyie siku mkipata zali unaaibikaIf and only of wishes were horses even baggers would ride!
Mkuu una maisha! ujue sisi masikini tuna shida sana, tunawaza kazi tu, kumbe matajiri mnawaza kupiga nyeto 4 times a day! 🤣🤣🤣🤣
Muonyeshe mkeo upendo,eti ndoa sio sehemu ya maonyesho ya upendo, wewe umebugi halafu unajifanya kukaza shingo! .....eti ulikua unajibu kwa ajili ya wasomaji, unajihangaisha bureee wasomaji wanajua fika umeandika utumbo, ndoa ni bustani inapaswa kupaliliwa na kutunzwa, wewe kaza shingo hapo ila wasomaji unaowa address wanajua umebugi,,,,,