Profile la kijana mkataa ndoa

Profile la kijana mkataa ndoa

ukiwa ndoani takatifu hupati magonjwa na wala hupotezi pesa kwani hununui...
hahahahahahaha

huyo kiumbe yupo hapo kutafuna pesa zangu, PHUCK NO

pesa ya Mahari nanunua 20mx20m plot Dondwe, natafuta kibanda cha pili
 
Sawa mzee mwezangu! Kwani JF tunajuana basi?

Niliangalia muvi moja inaitwa Tedy K i guess, yule mzee alikua anaishi mwenyewe huko porini, hadi uzeeni anapiga punyeto hivyo naamini inawezekana kabisa.

Ila kidogo alikua mentally disturbed, hakuwa sawa. Sijasema wewe hauko sawa lakini 😂
Napiga zangu najikausha Kama sio Mimi natoka nje wanawake wote naona Ni Kama wanaume tu , Mara moja moja napiga show ya kufanya mtu Tena mashine inakaa wima lisaa kesho yake najichua
 
mara ya mwisho ilikua Dec 2020

sikuona umuhimu zaidi ya kupoteza pesa, na kuji risk kwenye magonjwa uchwara

ME wakigundua maajabu yaliyo kwenye BabyCare nakuapia, soko lenu linayeyuka
yaani wanaume hawajawahi kupiga punyeto hata mara moja ndio unamaanisha?

Nina uhakika hujawahi kufanya bwana.....yaani sex nzuri uone kupoteza pesa na kujirisk? si uoe kama unaona huko nje ni kupoteza pesa na kuji risk magonjwa uchwara?
 
1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30 and under...

2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially..

3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.

4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,

5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.


Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
Wengi wanaokataa ndoa ni mashoga sasa unategemea shoga akubali ndoa kweli
 
yaani wanaume hawajawahi kupiga punyeto hata mara moja ndio unamaanisha????

Nina uhakika hujawahi kufanya bwana.....yaani sex nzuri uone kupoteza pesa na kujirisk??si uoe kama unaona huko nje ni kupoteza pesa na kuji risk magonjwa uchwara?
Nioe nipoteze pesa zaidi ?

Nakazia Tena, pesa ya Mahari natafuta 20mx20m plot Dondwe naongeza kibanda cha pili
 
We nawe zile sio picha zao bila shaka alifosiwa tuu au we huoni ?
Bhna nyingi kampost mkew kama nne ni huzuni picha hazina quality blue sio blue njano sio njano na mwenyew na pensi lake taasisi kubwa😂😂😂
Yote kheri sio Kwa maguni ya vitenge Yale ameshona solo 😂😂😂kama anaenda kwenye kipaimara
 
Bhna nyingi kampost mkew kama nne ni huzuni picha hazina quality blue sio blue njano sio njano na mwenyew na pensi lake taasisi kubwa😂😂😂
Yote kheri sio Kwa maguni ya vitenge Yale ameshona solo 😂😂😂kama anaenda kwenye kipaimara
Umeanza lini kuwa Afisa mpelelezi ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom