Profile la kijana mkataa ndoa

Same to you,,mada yako iko based on personal attack na si kum-convince mkataa ndoa kwa kuorodhesha mazuri yapi yanayopatikana kwenye ndoa anyway seems unaugulia maumivu ya kutokuwa kwenye ndoa.
 
Una neno gani la kusema kwa watu wengi wenye ndoa zao nzuri tu ambao ni wengi...au hao watu watatu ni kati ya wangapi wenye ndoa nzuri?
Watu wanamegewa sana ila inabaki ni siri ya ndani.
Ndoa za sasa hivi hakuna nzuri, zinapumulia mashine.
Watu wapo kwenye ndoa kwasababu wanalea watoto tu ila upendo 0%.
 
Huyo dada Hana anachoongea Ni pumba
 
Same to you,,mada yako iko based on personal attack na si kum-convince mkataa ndoa kwa kuorodhesha mazuri yapi yanayopatikana kwenye ndoa anyway seems unaugulia maumivu ya kutokuwa kwenye ndoa.
Sikutaka kuorodhesha mazuri ya ndoa sababu nilitaka tujadili kitu nilichoweka hapa ambacho wewe unakiona ni personal attacks,,,, hayo mazuri ya ndoa ni topic inayojitegemea
 
Watu wanamegewa sana ila inabaki ni siri ya ndani.
Ndoa za sasa hivi hakuna nzuri, zinapumulia mashine.
Watu wapo kwenye ndoa kwasababu wanalea watoto tu ila upendo 0%.
Nyinyi msio na ndoa ndio mnaongoza kumegana hovyo, haiwezekani ukatae ndoa halafu ujifanye unabariki kutomegana hovyo….
 
Wakuwapelekea fire wapo kibao mkizidiwa na upwiru huwa baadhi yenu mnawapa hadi bodaboda.
tatizo kuu ni kuwa watu wanakwepa kuishi nyumba moja na mamba na ndiyo maana mleta mada anapiga Yowe kubwa hapa.
Sijapiga yowe, sidhani Km umeielewa Hata hii mada,,,,
 
Una neno gani la kusema kwa watu wengi wenye ndoa zao nzuri tu ambao ni wengi.
Huu ni uwongo unaotaka kuutumia kama manifestation kuonyesha uzuri wa ndoa kitu ambacho ni non-sense,,, tukianzia humu humu JF,, wanao-omba ushauri kwa mabaya yanayotokea kwenye ndoa zao ni wengi kuliko unavyozani,,, hakuna hata mmoja ambaye alishaanzisha thread kuelezea mazuri ya ndoa zaidi ya kuwatukana wakataa ndoa.
 
Kwa hio ulitaka wanaoelezea mazuri yawe sawa na wanaoelezea mabaya ya ndoa,nonsense. proportion ya Mada za wanaotoa mabaya ndani ya JF as a whole in relative to mazuri ipoje kwanza? na kwa nini???
 
ROUND HII FEMINIST TUTAWANYOOSHA.

KATAA NDOA
HAKUNA KUOA
HAKUNA KUHONGA.[/COLOR]
TBS--Tomber Bure Sepa.

feminist washaanza kukubali mziki, si mnaona wanavyohaha kuanzisha nyuzi!
 
ROUND HII FEMINIST TUTAWANYOOSHA.

KATAA NDOA
HAKUNA KUOA
HAKUNA KUHONGA.

TBS--Tomber Bure Sepa.

feminist washaanza kukubali mziki, si mnaona wanavyohaha kuanzisha nyuzi!
Utamnyoosha nani kakojoe ukalale huko.
 
Kwani si tulishakubaliana kataa ndoa wote ni mashoga

Mwanaume halisi huwezi ukakaa unapiga kelele "kataa ndoa" tena unamwambia mwanaume mwenzio unamaanisha nini!!!
Ameeeen!
 

Sio ajabu huyu naye anakadegree.
Sasa hizo hoja zangu huelewi kuwa Nakubaliana na mada yako au naikataa😂😂

Ulidhani tupo Debate za shule ya msingi hapa?
 
Sio ajabu huyu naye anakadegree.
Sasa hizo hoja zangu huelewi kuwa Nakubaliana na mada yako au naikataa😂😂

Ulidhani tupo Debate za shule ya msingi hapa?
Chukua time,ningetaka kuongelea kwenye ndoa ningeweza kuchomekea kwenye topic zilizopo,mimi kuwa na degree ama kutokua nayo hayakuhusu,sina mazoea na ma misogynists mimi. Hujaielewa mada yangu period.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…