Professor Muhongo aionya serikali

Professor Muhongo aionya serikali

Hivi watu wengine mkoje lakini? Hiyo vita itapiganwa kwa jeshi? Subirini tu,, time will tell!!
Acha kututisha.kwanza hao wameshakula sana hii nchi.tangu waanze kuchimba madini hela zao zimesharudi na faida juu.
Ni wakati wa kupambana na nchi inufaike.
Angalia saudia mafuta yanawatoa.wawekezaji wapo.lakini mikataba ina faida kote kote.
 
Acha kututisha.kwanza hao wameshakula sana hii nchi.tangu waanze kuchimba madini hela zao zimesharudi na faida juu.
Ni wakati wa kupambana na nchi inufaike.
Angalia saudia mafuta yanawatoa.wawekezaji wapo.lakini mikataba ina faida kote kote.
Jililieni ninyi na mibunge yenu mitaahira ya CCM,, ndo ilipitisha haya makitu kwa sauti kubwa za ndiyooooooooooooo wakidhani kwamba wanawakomoa upinzani,, sasa inakula kwetu ngoja tutulize vyetu!!
 
Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.

Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.

" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"

Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.

ungesoma asingekuwa mwizi, wewe ulikaa darasani ukafanya mitiani ukapewa makaratasi (mivyeti)..lakini ujaelewa ulichosoma, kwanza muhongo kama jina lako, pili mwizi, waliosoma wakaelewa hawako kama wewe. HARAFU USITUTISHE NA SHUBIRI ZA WAWEKEZAJI HAPA KWETU WAMETOKA MBILI KUJA KUTUIBIA, KWA KUJUA WATU WEUSI WAJINGA.. SISI SIO WAJINGA KAMA WEWE...NA USIRUDIE KUTUTISHA TENA "WAENDE KWAO WANAKOOANA WANAUME KWA WANAUME" WATUACHE..UKITAKA NENDA NAO
 
Hawa ndo wanatakiwa wakabidhiwe kwa makonda awatandike sasa maneno gan ya vitisho kwa mukulu haya we unamtisha mzee mwwny jeshi?
Kanajifanya kamungu au kasomi kweli kweli kuliko yoyote yule TZ! Zuzu kabisa, kwanza ndio wale wenye vyeti vyenye mashaka mashaka...
 
Asishinde kulalama..huyu ni mhuni..Mramba alikuwa.ana kosa gani hadi akamfukuza haraka hraka akaacha maofisa wa wizara na ewura wanatafuna bata?
 
Hizi taarifa zenu za uongo kuna siku zitawatokea puani. Sijui mnafanya kazi hiyo kwa manufaa ya nani.
Unaongea maneno kibao bila hata kuweka hiyo source. Vilevile sijawahi kumuona Muhongo kwenye twitter.
Umeona hapo chini sio kulialia kama kuku mjane.
 
Jililieni ninyi na mibunge yenu mitaahira ya CCM,, ndo ilipitisha haya makitu kwa sauti kubwa za ndiyooooooooooooo wakidhani kwamba wanawakomoa upinzani,, sasa inakula kwetu ngoja tutulize vyetu!!
Huu si wakati wa kulaumiana.
unafikiri wao wana hasara gani?
Tunajua waliyoyafanya lakini ndo tuendelee kukaa kumya.kwa faida ya nani?
 
Kwani hayo kayaona leo !!
Aache kututisha bwana
mtu Kudai chake iwe tatizo!!
Tunasubiria hiyo Shubiri kwa hamu
Tena anatakiwa afukuzwe Hata uanachama wa ccm ili apoteze ubunge kwenye ESCROW alikuwepo sijui alirudishwaje kwenye cabinet
 
Asante Prof kwa utumishi wako... Enenda zako kwa amani ya Bwana. Bwana atatuinulia Haron wa kuchukua kijiti cha Musa na kuindeleza safari... Sasa kapumzike ule mafao yako kwa utulivu...
Anywe na juice tuliowekeza kwenye viwanda vyetu maana Ndio uwezo wetu
 
Ndugu hawa jamaa hawamwamini mwafrica kumbuka walichofanyiwa babuu zao kuondolewa kwa Mkoloni na nguo walizovaa hapa watakuamini vipi. Kwa hiyo mikataba ya sio ya kubahatisha kwa kuwa wanatujua sisi ni watu wa kubadilika
 
huyo hata wakati ule wa kashfa wa ESCROW aliwatishia nyau wabunge kuwa akizungumza yote anayoyajua nchi itatikisika.
tunashangaa ametikisika yeye.hayo maonyo yake aliyo-tweet ilitakiwa ayafikishe kwa rais yafanyiwe kazi kuliko kujifaragua kwenye mitandao.
come on man,don't be so cheap!

Mkuu;
Chonde chonde, wekaga na kaakiba ka maneno. Si wajua tena?? Haya yanasemwa na aliyekuwa kavivaa viatu. Akikuambia usisimamie mguu wa kushoto saana, anajua hali ya hicho kiatu. Ndg huoni ajabu kuwa huyu ni mtaalam wa pili anatuonya kuhusu yajayo??
Jamani, tusipuuze maneno ya mtu mzima. Lissu kasema hili hili na sasa Muhongo analirudia neno lile lile. Si twajua kuwa mukulu haambiwi kitu na mtu?? Haya, nami naweka akiba ya maneno ila, siku yakitufika, tusiogope kusema, wakina flan walilisema hili.
Le us get prepared for the inevitable's which are coming our way.
 
Ulikuwa unataka muhongo amshauri nani? Magufuli?
KIKWETE...nimejibu tu ili kuonesha majibu ni mengi,ila sikua namaanisha uelewe baadhi ya vipande tu,angestukia hii issue ya makontena tu,hata kama yangekua tupu angekua ameonesha uthubutu wa kulinda mali za nchi,tofauti na hapo,elewa tena vipande afu uje
 
Kwahiyo akikosea asisemwe!!
Akiwa ccm ni mwanadam kama mimi
akiwa cdm ni malaika kwenu!
Tunajua mlivyo hovyo
mnamtukuza Mbowe kama Mungu asiye kosea.
Alikosea since day one mkamtetea hadi mkalia hapa machozi ya damu.

Huna credibility ya kumnyooshea kidole.
 
4b29d3fa97f4df5e6e334d74dfa6a3aa.jpg
Angemuomba Lissu amuandikie.
 
Haya Lumumba walio msifia Muhongo waseme sasa wako kwa jamaa au kwa Presidaa
 
Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.

Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.

" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"

Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
Source of your information please. Usije ukawa umetunga tu, kayasemea wapi?
 
huyo hata wakati ule wa kashfa wa ESCROW aliwatishia nyau wabunge kuwa akizungumza yote anayoyajua nchi itatikisika.
tunashangaa ametikisika yeye.hayo maonyo yake aliyo-tweet ilitakiwa ayafikishe kwa rais yafanyiwe kazi kuliko kujifaragua kwenye mitandao.
come on man,don't be so cheap!
hv unajua maamuz ya ESCROW mpaka leo tunalipa mabilioni? think
 
Miongoni mwa mambo yanayonifanya nishindwe kumwelewa kabisa Prof. Muhongo ni tabia yake ya kutumia kiwango chake cha elimu na CV yake kama utetezi badala ya kujadili hoja inayokuwa mezani. Mara nyingi badala ya kujadili jambo husika, hukimbilia kueleza CV yake na sehemu alizofanya kazi na ni jinsi gani anaheshimika duniani. Hata walipomwambia alishiriki kuwezesha pesa zilizokuwa kwenye account ya escrow kuibiwa kwa kufanya udalali, aliishia kusoma CV yake badala ya kujadili tuhuma. Kwenye mkutano mmoja wa wadau wa mafuta uliofanyika Mlimani City ambapo alifanya presentation, aliishia kutumia fursa hiyo kuonesha ni jinsi gani anaijua miamba kwa kuorodhesha makorokoro ambayo kimsingi hayakuhitajika mahali pale. Nafikiri alijiaminisha kwamba akitishia watu na usomi, watamwogopa. Hataulizwa maswali mengi. Nimefikia hitimisho lifuatalo: Prof. Muhongo hana uhakika na usomi wake. He feels insecure. Hivyo, he constantly see the need to remind people how educated he is for fear that people have forgotten. Hiyo si sifa ya msomi (as in intellectual). Wahenga walisema, "A tiger does not shout its tigritude, it acts". Huoneshi usomi wako kwa kusoma CV yako hadharani kila unapopata fursa/kupiga kelele kuwakumbusha watu kuhusu CV yako. Ukifanya matendo ya kisomi watu watahitimisha kuwa wewe ni msomi (kama ndio kitu unajali maishani, kuonekana msomi).
Mkuu CV itaonyesha mara mbili alifukuzwa na maraisi wawili muda tofauti kwa kazi ya uwaziri wa wizara hiyo hiyo,kwa lugha nyepesi tulisikia Magu akimwambia pammoja na kuwa rafiki yake lakini is poor manager bila kumungunya maneno.
 
Hakuna zuri ambalo limefanywa na bwana yule mpaka Sasa yote ni bongomovie tu. [HASHTAG]#Mtazamo[/HASHTAG] tu.
 
Back
Top Bottom