Professor Muhongo aionya serikali

Professor Muhongo aionya serikali

Huyu ndiye alikua waziri wa madini kabisaaa!!! hayo maneno alitakiwa kuyasema chizi,tumia usomi wako kuitetea nchi yako kwa vyovyote vile hata kama inakosea sema isahihishe na sio kuwa mshauri wa vitisho tu,mwanzon nilidhani kaonewa kumbe mkuu alikua sahihi
Wapinzani tunao mjua vema tabia zake tuliposema mlituona tunamuonea wivu sasa wacheni muyale matapishi yenu
 
4b29d3fa97f4df5e6e334d74dfa6a3aa.jpg
You are right lets wait and see
 
Huyu sio Muhongo kuna mtu katengeneza akaunti , Hakuna RFA ya kiswahili tafadhali msichafue watu . Muhongo hajawa hivyo hata siku moja.
Ndg hiyo imetafasliwa kutoka kingereza kwenda kiswahili
 
Kwahiyo akikosea asisemwe!!
Akiwa ccm ni mwanadam kama mimi
akiwa cdm ni malaika kwenu!
Tunajua mlivyo hovyo
mnamtukuza Mbowe kama Mungu asiye kosea.
Huwezi kumlinganisha Mbowe na hao wezi wenu
 
huyo hata wakati ule wa kashfa wa ESCROW aliwatishia nyau wabunge kuwa akizungumza yote anayoyajua nchi itatikisika.
tunashangaa ametikisika yeye.hayo maonyo yake aliyo-tweet ilitakiwa ayafikishe kwa rais yafanyiwe kazi kuliko kujifaragua kwenye mitandao.
come on man,don't be so cheap!
Wacha wanalumumba wachafuane
 
Hao watu tunaodeal nao wamewahi kumuua rais wa marekani. Kisha mwili wake ukiwa chini ya ulinzi mkali wakauiba na kuufanyia operation kuondoa ushahidi halafu wakaurudisha na hakuna aliyekamatwa hata mmoja .
Una hisa nini Acacia maana nakuona tangu jana unaendeleza vitisho.
 
JPM achunguze teuzi zake...
Inakuwaje mawaziri wake (except Mh Kitwanga) wakipigwa chini wanatumia media kubwabwaja...
Something is very wrong somewhere...
Sijawai ona kitu kama hiki regimes zilizopita...

Statement ya Prof Muhongo inaleta maswali mengi ambayo sitaki kuyauliza maana nitakuwa mchochezi...
But hii serikali inafanyaje kazi? Wanajua collective responsibility...au ukitemwa uko free kusema chochote?!
 
Jiandae kuwa kama Zimbabwe chezea mzungu wewe,

Kumbuka ndiye kaifundisha Africa yote kuvaa tulikuwa tunatembea uchi.
sio kweli sema mzungu alikutana na mazuzu tu kama haya yakwetu tu yale ya zamani yalikuwa yanachezea almasi na dhahabu bao haya yaleo yaliuza migodi miaka mia,mchanga yakawa yaugawa tuu uende kienyeji huko nje ndio hivyo dunadekeshwa tu
 
Hakika tutaipata. Mimi nabadili uraia Singasinga tumelipa hela za watu, wenyewe wanatudai. Sasa tena tumeiba makinia ya watu nao tuwalipe! Hiyo kodi si tutavunja migongo? Nahama.
Hama hata leo
 
JPM achunguze teuzi zake...
Inakuwaje mawaziri wake (except Mh Kitwanga) wakipigwa chini wanatumia media kubwabwaja...
Something is very wrong somewhere...
Sijawai ona kitu kama hiki regimes zilizopita...

Statement ya Prof Muhongo inaleta maswali mengi ambayo sitaki kuyauliza maana nitakuwa mchochezi...
But hii serikali inafanyaje kazi? Wanajua collective responsibility...au ukitemwa uko free kusema chochote?!
kazi za kishkaji alafu unawatoa washkaji kwenye michongo huku unawasnitch na wenyewe lazima wajitetee kisnitch tu maana wanakujua
 
Aache kututisha kama matatizo sisi tushayazoea labda kwa wao waliopo huko juu...

Kuna tatizo kama kula mlo mmoja au kulala njaa??

Kuna tatizo kama unaoitwa mshahara kutokidhi mahitaji??

Kuna tatizo kama kuugumwa na kukosa hela ya dawa??

Kuna tatizo kama kukosa maji Safi na salama??

Kuna kukosa elimu iliyo Bora ??


Hakuna tatizo jipya sisi watu wa chini tulisha yazoea...
 
Huyu ndiye alikua waziri wa madini kabisaaa!!! hayo maneno alitakiwa kuyasema chizi,tumia usomi wako kuitetea nchi yako kwa vyovyote vile hata kama inakosea sema isahihishe na sio kuwa mshauri wa vitisho tu,mwanzon nilidhani kaonewa kumbe mkuu alikua sahihi
Ulikuwa unataka muhongo amshauri nani? Magufuli?
 
Back
Top Bottom