Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Wapinzani tunao mjua vema tabia zake tuliposema mlituona tunamuonea wivu sasa wacheni muyale matapishi yenuHuyu ndiye alikua waziri wa madini kabisaaa!!! hayo maneno alitakiwa kuyasema chizi,tumia usomi wako kuitetea nchi yako kwa vyovyote vile hata kama inakosea sema isahihishe na sio kuwa mshauri wa vitisho tu,mwanzon nilidhani kaonewa kumbe mkuu alikua sahihi