Professor Muhongo aionya serikali

Professor Muhongo aionya serikali

Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.

Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.

" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"

Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
sie tunamkaribisha Muhongo,msomi, katika kuendeleza uchumi wa viwanda.

Aanze kwa kutengeneza juisi!
 
nch ina matatzo makubwa sana hii, na weng 2nacoment huku 2kiwa hatujui vitu kwa undan bal mihemko, wengne ushabk na hacra dhid ya unyonyaj unaofanywa na wazungu. kimsing ya2pasa kutulia na kutafta ukwel wa haya mambo kwan ha2jui kwa undan ndo mana mwngne anatukana tu matuc kitu ambacho hakna maana
 
Mkuu;
Chonde chonde, wekaga na kaakiba ka maneno. Si wajua tena?? Haya yanasemwa na aliyekuwa kavivaa viatu. Akikuambia usisimamie mguu wa kushoto saana, anajua hali ya hicho kiatu. Ndg huoni ajabu kuwa huyu ni mtaalam wa pili anatuonya kuhusu yajayo??
Jamani, tusipuuze maneno ya mtu mzima. Lissu kasema hili hili na sasa Muhongo analirudia neno lile lile. Si twajua kuwa mukulu haambiwi kitu na mtu?? Haya, nami naweka akiba ya maneno ila, siku yakitufika, tusiogope kusema, wakina flan walilisema hili.
Le us get prepared for the inevitable's which are coming our way.
mkuu,nakubaliana na Muhongo kuwa tutapata athari kubwa kutokana na maamuzi mabovu ya serikali. kinachonifanya nimponde ni kwamba alikuwa kwenye system,na kama mkuu wake haambiliki yeye alipaswa kujiuzulu kabla ili tuone huo uadilifu wake anaotaka kutuaminisha sasa.
otherwise there's no way anaweza kujitetea kwa sasa.
ati integrity?my foot.
 
Kwani hayo kayaona leo !!
Aache kututisha bwana
mtu Kudai chake iwe tatizo!!
Tunasubiria hiyo Shubiri kwa hamu

Hakutishi dunia inataka wengine wafikiri tofauti na wewe. Wapeni watu nafasi ya kufikiri tofauti na kusema wazi hata kama haupendi ndio maana hakuna dini moja duniani.
 
mkuu,nakubaliana na Muhongo kuwa tutapata athari kubwa kutokana na maamuzi mabovu ya serikali. kinachonifanya nimponde ni kwamba alikuwa kwenye system,na kama mkuu wake haambiliki yeye alipaswa kujiuzulu kabla ili tuone huo uadilifu wake anaotaka kutuaminisha sasa.
otherwise there's no way anaweza kujitetea kwa sasa.
ati integrity?my foot.


Yes! His integrity is unquestionable. Kwa nini usimuamini?? Unajua kiapo chake siku alipo teuliwa??
 
4b29d3fa97f4df5e6e334d74dfa6a3aa.jpg
Huyu mzee inabidi akaogee magadi atoe gundu...
 
Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.

Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.

" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"

Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
Nitakuwa wa mwisho kuamini hii habari.
 
Ku ukweli kwa mimi binafsi pamoja simkubali sn huyu prof lkn...kwa kipindi hiki cha magufuri Muhongo amejitahidi sn sector yake..kama umeme kukatika katika kukatika katika kumekwisha iwe kiangazi ama masika..labda kwa matengenezo..usambazaji wa umeme vijijin ulienda kwa kasi..ubadilishaji wa nguzo mpya za kisasa za greed ya taifa umeenda kwa kasi ya ajabu..upandaji wa bili za umeme ovyo ulipungua
 
Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.

Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.

" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"

Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
Kwenye mchanga wa dhahabu kulikuwa na fedha zetu zilizokuwazinaibiwa au la? Ajibu hilo kwanza.
 
Prof
Unasahau kuwa tume ilikuwa Na maproffesa wa kuheshimika na kuaminika .
Unaweza omba ruhusa uchukue sample zako pale kwenye makontena bandari ni.
Iliuithibitishie Dunia hakuna hivyo viwango vya madini.

Bado kidogo ushuke hadhi km prof wa buguruni
 
Muhongo at it again, he speaks so highly of wawekezaji. Rejea, "watanzania uwezo wao ni wakuwekeza kwenye viwanda vya juisi"
What a waste....!
Mwambie Dr, Mengi anampa salam zake.
 
Muhongo nakupongeza sana kwa ujasiri wako .tatizo nchi hii haikubari watu wakweli km wewe .we we ulitakiwa ubaki hukohuko ulaya hapa tz ni siasa tu.muhongo huna kosa haya umeyakuta tu.umegeuzwa mbuzi was kafara
 
Mimi kilanikisikia haya nafikiria sana kuna nini katika mkataba? hii imebaki kuwa siri yao wakuu.kina pwagu ndo tunabaki kupayuka kwa tuscho kijua
 
Back
Top Bottom