baro
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,328
- 4,515
Wewe mkenya ya watanzania waachie watanzania usijifanye una uchungu sanaMafisadi wa hapa ndani kashindwa kuwashughulikia ndio atauweza Mziki wa kutoka nje?amuulize Mugabe.
Wewe mkenya ya watanzania waachie watanzania usijifanye una uchungu sanaMafisadi wa hapa ndani kashindwa kuwashughulikia ndio atauweza Mziki wa kutoka nje?amuulize Mugabe.
HAHAHAHAAAAAAA!!!Hawa ndo wanatakiwa wakabidhiwe kwa makonda awatandike sasa maneno gan ya vitisho kwa mukulu haya we unamtisha mzee mwwny jeshi?
sie tunamkaribisha Muhongo,msomi, katika kuendeleza uchumi wa viwanda.Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.
Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.
" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"
Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
mkuu,nakubaliana na Muhongo kuwa tutapata athari kubwa kutokana na maamuzi mabovu ya serikali. kinachonifanya nimponde ni kwamba alikuwa kwenye system,na kama mkuu wake haambiliki yeye alipaswa kujiuzulu kabla ili tuone huo uadilifu wake anaotaka kutuaminisha sasa.Mkuu;
Chonde chonde, wekaga na kaakiba ka maneno. Si wajua tena?? Haya yanasemwa na aliyekuwa kavivaa viatu. Akikuambia usisimamie mguu wa kushoto saana, anajua hali ya hicho kiatu. Ndg huoni ajabu kuwa huyu ni mtaalam wa pili anatuonya kuhusu yajayo??
Jamani, tusipuuze maneno ya mtu mzima. Lissu kasema hili hili na sasa Muhongo analirudia neno lile lile. Si twajua kuwa mukulu haambiwi kitu na mtu?? Haya, nami naweka akiba ya maneno ila, siku yakitufika, tusiogope kusema, wakina flan walilisema hili.
Le us get prepared for the inevitable's which are coming our way.
Kwani hayo kayaona leo !!
Aache kututisha bwana
mtu Kudai chake iwe tatizo!!
Tunasubiria hiyo Shubiri kwa hamu
mkuu,nakubaliana na Muhongo kuwa tutapata athari kubwa kutokana na maamuzi mabovu ya serikali. kinachonifanya nimponde ni kwamba alikuwa kwenye system,na kama mkuu wake haambiliki yeye alipaswa kujiuzulu kabla ili tuone huo uadilifu wake anaotaka kutuaminisha sasa.
otherwise there's no way anaweza kujitetea kwa sasa.
ati integrity?my foot.
Huyu mzee inabidi akaogee magadi atoe gundu...
Uchawi hauvuki maji, mpaka ujisajili kwa wachawi walioko huko. Jaribu kupeleka uchawi America kupitia Bermuda triangle uone kama utarudi.Aliyekudanganya nani kuwa uchawi hauendi ulaya
Nitakuwa wa mwisho kuamini hii habari.Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.
Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.
" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"
Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
Kwenye mchanga wa dhahabu kulikuwa na fedha zetu zilizokuwazinaibiwa au la? Ajibu hilo kwanza.Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.
Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.
" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"
Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
Mafisadi wa hapa ndani kashindwa kuwashughulikia ndio atauweza Mziki wa kutoka nje?amuulize Mugabe.
Mwambie Dr, Mengi anampa salam zake.Muhongo at it again, he speaks so highly of wawekezaji. Rejea, "watanzania uwezo wao ni wakuwekeza kwenye viwanda vya juisi"
What a waste....!
nani aliyekuwa anakuibia?Kwenye mchanga wa dhahabu kulikuwa na fedha zetu zilizokuwazinaibiwa au la? Ajibu hilo kwanza.
Mwambie Dr, Mengi anampa salam zake.
Muhongo nakupongeza sana kwa ujasiri wako .tatizo nchi hii haikubari watu wakweli km wewe .we we ulitakiwa ubaki hukohuko ulaya hapa tz ni siasa tu.muhongo huna kosa haya umeyakuta tu.umegeuzwa mbuzi was kafara