Professor Muhongo aionya serikali

Huyu si ndie alimtonya yule mkuu wa kitengo cha mizani kule bandarini kuwa wakubwa wanakuja kwa hiyo arekebishe mambo,haiwezekani kila mara awe yeye tu.Muhongo ni muongo kweli ,alipoteuliwa kwa mara ya pili kwenda wizara ileile wengi walipinga ,na sasa matokeo yake sote tumeyaona,kumbadili tabia mtu mzima ni sawa na kumtaka kumkunja kambale mkavu


Hakika ni uyo huyo Muhongo ndiye alitoa siri ya pale TPA kuhusu ziara ya rais ya ghafula usiku uo huo watu wakafunga machine.

Maana siku ile. ndiyo angetumbuliwa, wale jamaa tulipata mtonyo kuwa walifunga zile mashine usiku kucha.

Rais, alisema, "hizi mashine mbona zimefungwa usiku wa kuamkia leo, akasema aaah, walitoa siri kuwa nakuja leo hapa TPA, sawa "

Basi, ukweli ni kwamba watu tuliowaamini na kudhania kuwa watakuwa makini ndiyo ao hao wanatuuza kwa wazungu koko kisha, na wao kujigeuza kuwa kama wazungu pori wakati ni waafrika nywele ngumu.

Kuna ombwe kubwa sana la uongozi na uzalendo miaka hii hapo Tanzania.

Magufuli, anapitia wakati mgumu sana kwa kuwa mzalendo huku timu yake karibia robo tatu (3/4) ni vibaka, manyangau, walafi na wauaji.

Jambo la muhimu kwa sasa, ni sisi wananchi wote tumuunge mkono rais wetu tutashinda.

Maana kila siku hawa wasaidizi wa rais wa hizi wizara zote taasisi takribani zote tunaona walivyo wazandiki, wanafiki, wapiga deal n.k .
Yaani, "Ukiwa nao Wanacheka' ila Ukigeuza Mgongo ni Wauaji"
 
Alianza nape mkaongea kaja professor mmeongea bado waja wengine Its Tanzania's Industrialization.
 
Kwani kang'ang'ania hayo madaraka?? We are talking about integrity man.
the issue here is kwa nini muda wote huo alikubali kusimamia wizara yenye madudu ya mikataba mibovu? au unataka kusema hakujua kuwa tumeingizwa chaka? si alijificha kwenye kichaka cha "ili mradi haikuwa mimi"?
hypocrisy is not part of integrity.
 
Inasikitisha sana kuona watu wanaojiita wasomi wanaishauri Tanzania vibaya. Hakuna mkataba unaoweza kusimama kwenye mahakama kama kuna wizi ndani yake. Tanzania inahitaji tu kuhakikisha kwamba wizi ulifanyika, hakuna mkataba wo wote utasisimama kwa sababu ya kwamba upande mmoja haukuingia kwenye mkataba kwa nia njema.
Pili, ikitokea kuwa makampuni yalikuwa na ujuzi ambao Watanzania waliingia kwenye mkataba bila kujua wanaingia kwenye mkataba unaomaanisha nini huo mkataba unaweza kuwa batili kwa kutumia sababu kuwa mkataba huo ni "uncoscionable" kama vile ukiingia mkataba na mtoto ambaye hajui maana yake.
Anachosema Tundu Lissu kuhusu MIGA, ICSID ni kweli tu kwamba huwa inatumika vibaya kukandamiza nchi maskini na haina faida kwa nchi kama zetu lakini hakuna njia ya kutetea makampuni ya nje kama wataalam wetu wanaweza kutoa ushahidi usiopingika kuwa tumekuwa tukiibiwa!!
Mwisho, Tanzania ndiyo yenye mali. Prof. Mhongo anawezaje kututishia na watafutaji wa nje wa miradi inayolipa? Huu ndiyo upande Professor hana habari nao: The project idea and how money is made: the technical feasibility is one aspect, there are many more other aspects!
 
Back
Top Bottom