MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,009
- 35,009
Chako umeweka rehani kwa njaa na ulevi wako sasa unapodai si mkae mezani myazungumze?
Kwanza unakizuia kukitoa kusha mengine yanafuata
Chako umeweka rehani kwa njaa na ulevi wako sasa unapodai si mkae mezani myazungumze?
Pamoja na hayo, dereva si alituambia anafaa na akasema 'tusiempenda kaja'?Muhongo at it again, he speaks so highly of wawekezaji. Rejea, "watanzania uwezo wao ni wakuwekeza kwenye viwanda vya juisi"
What a waste....!
Umemuandikia hayo maneno?? Madini yetu hata tukisema hayachimbwi hayawezi kuharibika. Wewe pimbi na wazo lako potofu usingeleta huu upuuzi hapaAliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.
Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.
" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"
Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
Atoe ushauri kwa nani?je alitoa ushauri sahihi kwa wakati sahihi??
maana isijekuwa anakaa kimya tu halafu anakuja andika twitter
Sio lazima ifanane na mugabeWewe jamaa ukijitafuta sana inawezekana DNA ilianzia kule kwa washona na Wandebele. Maana hao jamaa walimuaminisha hivyohivyo comrade Robert, ila leo hii imebaki history.
baelezee hao ze-parrots.Ukapimwe wewe unayekesha kuisifia ccm hapo bibititi
Sio milele. Au ukimsifia mtu hawezi kuharibu?Huyu ni Muhongo yule-yule uliyekuwa unatokwa mapovu kumtetea kuwa ndiyo jembe lenu la CCM
Tanzania na Zimbabwe ni tofauti sana...Mugabe aliwafukuza wakulima wakubwa wote na kuwapa unskilled citizens. Je sisi tumemfukuza nani zaidi ya kutaka fair play tu?Mafisadi wa hapa ndani kashindwa kuwashughulikia ndio atauweza Mziki wa kutoka nje?amuulize Mugabe.
Mimi sina hisa huko ila mnavyowashambulia kwa mbinu ya mwano! sijui mtafanikiwa?Una hisa nini Acacia maana nakuona tangu jana unaendeleza vitisho.
Umewekewa source haya njoo tena mpinga chochote.Hizi taarifa zenu za uongo kuna siku zitawatokea puani. Sijui mnafanya kazi hiyo kwa manufaa ya nani.
Unaongea maneno kibao bila hata kuweka hiyo source. Vilevile sijawahi kumuona Muhongo kwenye twitter.
Kinachofuata ni utabiri tu sio givenHamtishi mtu ila ana maanisha kinachofuata sio kizuri kama Mtanzania lazima aseme
Kwa maneno hayo inadhihirika kweli kuwa una kiburi!!! Eti uprofessor wangu!!! Duuuuh
Kwani mzungu kufukuzwa km Zimbabwe?Jiandae kuwa kama Zimbabwe chezea mzungu wewe,
Kumbuka ndiye kaifundisha Africa yote kuvaa tulikuwa tunatembea uchi.
nisaidie kushangaa...Kwanini hakusema kabla?
yeye mpuuzi sana, asimtishe rais kwa maneno ya kijinga, kwa hili tuko pamoja na rais, kama alitumiwa na hao kupe awaambie "ngosha" kabana
Kupe wanaitumia CCM.ataondoka muongo atatumiwa ajaeyeye mpuuzi sana, asimtishe rais kwa maneno ya kijinga, kwa hili tuko pamoja na rais, kama alitumiwa na hao kupe awaambie "ngosha" kabana