Professor Muhongo aionya serikali

Professor Muhongo aionya serikali

Muhongo at it again, he speaks so highly of wawekezaji. Rejea, "watanzania uwezo wao ni wakuwekeza kwenye viwanda vya juisi"
What a waste....!
Pamoja na hayo, dereva si alituambia anafaa na akasema 'tusiempenda kaja'?
 
Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo ameteta rekodi yake ya utendaji kazi na uwaminifu kwa taifa kuwa uko wazi nawala si wakutilia shaka.

Amesema kuwa pia kujiuzuru kwake si kwa lengo jingine Bali kutoa nafasi ili watu wapate nafasi ya kujua nini kinachoendelea juu yake.

" Watu wanasema Mimi Nina kiburi, lkn kinachofanya hivyo ni elimu yangu ambayo imenipa Tania ya kusema ukweli. Nikisema hiki ni kijiko na wala si koleo huwa namaanisha hivyo"

Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
Umemuandikia hayo maneno?? Madini yetu hata tukisema hayachimbwi hayawezi kuharibika. Wewe pimbi na wazo lako potofu usingeleta huu upuuzi hapa
 
Wakishatumbuliwa wanakosa hata aibu kabisa, nilimwona Nape sasa namwona na huyu. Wanatakiwa kukubali tu, their take is gone
 
Mafisadi wa hapa ndani kashindwa kuwashughulikia ndio atauweza Mziki wa kutoka nje?amuulize Mugabe.
Tanzania na Zimbabwe ni tofauti sana...Mugabe aliwafukuza wakulima wakubwa wote na kuwapa unskilled citizens. Je sisi tumemfukuza nani zaidi ya kutaka fair play tu?
 
Hizi taarifa zenu za uongo kuna siku zitawatokea puani. Sijui mnafanya kazi hiyo kwa manufaa ya nani.
Unaongea maneno kibao bila hata kuweka hiyo source. Vilevile sijawahi kumuona Muhongo kwenye twitter.
Umewekewa source haya njoo tena mpinga chochote.
 
4b29d3fa97f4df5e6e334d74dfa6a3aa.jpg
Kwa maneno hayo inadhihirika kweli kuwa una kiburi!!! Eti uprofessor wangu!!! Duuuuh
 
Back
Top Bottom