comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,207
- 5,933
Thubo wewe unaamini Muhongo kasema hayo kwa kiingereza kibovu hichoHuyu ndiye alikua waziri wa madini kabisaaa!!! hayo maneno alitakiwa kuyasema chizi,tumia usomi wako kuitetea nchi yako kwa vyovyote vile hata kama inakosea sema isahihishe na sio kuwa mshauri wa vitisho tu,mwanzon nilidhani kaonewa kumbe mkuu alikua sahihi