Punjab Singh
JF-Expert Member
- Jan 14, 2014
- 955
- 651
Wanapenda fujo hii dini balaa Islamic state wamechinja wakristu 20 yaani dini ya Shari na mauaji
Intellectual debate in Tanzania is nonexistent today, at least in my view... I wish we had more of the PLO Lumumbas in this country than these st.p.d rel.g.s zealots. Tanzania has become something like a "banana republic."
FF,
Yaani wewe hata kama shule imepanda vipi naona kama haikusaidii ikiwa hautaacha hiyo disposition ya udini. Ningekushauri ufuatilie maigizo ya Mzee Majuto wakati ndo anaanza kushamiri kwenye soko (DTv), alitumia lugha hiyo lakini hakuwa na maana unayomaanisha wewe.Nafikiri kosa langu kubwa hapo nilisahau kufanya citation ya King Majuto.
Wow...siamini kama umeenda mbali kiasi hicho. Sorry kama umekuwa offended but I could use jina lolote as sikuwa nafikiria the way ulivyo-distinguish.
Hii makala imetafsiriwa toka Kiswahili kwenda Kiingereza kutumia Google Translate or some such similar online translation service. Sasa kama Mwandishi ni kaka, dada, au Professor Griffiths wa Jamaat Al Maimuuna utajaza! Lakini angalau amejaribu ingawa upeo kiduchu hawezi na hakufanikiwa kabisa kukusoa makala ya Prof Hirji.
"English please" - Matola
English ipi unayotaka wewe au ni hii English ya makafiri?, Uarabuni kuna English, bora ungesema tujadili kwa lugha ya Kiarabu hapo ningekuelewa. Nyie watu UNAFIKI unawamaliza na hamuwezi lazimisha vitu visivyokuwepo vyenye mrengo wa kuwagawa wananchi.
Nimeeleza hapo juu hao mnaowaita wazee wenu walipigania Uhuru kwa manufaa ya nani? au ilikuwa kwa manufaa ya kidini? Kama wapo hai mpaka sasa nadhani wanashangaa jinsi mnavyopindisha mambo kwa manufaa ya kidini, mbaya zaidi mnaenda mbali na kuanza kulialia kinafiki.
Chapa kazi hizo dini tumeletewa tuu ili zituchanganye, haiwezekani waliotuletea wao wametulia sie huku tunatoana macho mpaka kufikia hatua ya kudistort history kwa manufaa ya dini fulani.
WORK UP GUYS!!!!!!!! fuatilia hii HOW ROME CREATED ISLAM, halafu uje unambie kwa nini tuchukiane mimi na wewe kisa dini zetu ni tofauti na tufikia hatua ya kupindisha historia ya nchi kwa mrengo wa kidini..
English ipi unayotaka wewe au ni hii English ya makafiri?, Uarabuni kuna English, bora ungesema tujadili kwa lugha ya Kiarabu hapo ningekuelewa. Nyie watu UNAFIKI unawamaliza na hamuwezi lazimisha vitu visivyokuwepo vyenye mrengo wa kuwagawa wananchi.
Nimeeleza hapo juu hao mnaowaita wazee wenu walipigania Uhuru kwa manufaa ya nani? au ilikuwa kwa manufaa ya kidini? Kama wapo hai mpaka sasa nadhani wanashangaa jinsi mnavyopindisha mambo kwa manufaa ya kidini, mbaya zaidi mnaenda mbali na kuanza kulialia kinafiki.
Chapa kazi hizo dini tumeletewa tuu ili zituchanganye, haiwezekani waliotuletea wao wametulia sie huku tunatoana macho mpaka kufikia hatua ya kudistort history kwa manufaa ya dini fulani.
WORK UP GUYS!!!!!!!! fuatilia hii HOW ROME CREATED ISLAM, halafu uje unambie kwa nini tuchukiane mimi na wewe kisa dini zetu ni tofauti na tufikia hatua ya kupindisha historia ya nchi kwa mrengo wa kidini..
Wewe mtoto acha kuropoka.
Nani aliyekwambia Kuna lugha yenye dini?
Kwa Upeo wako ulio mdogo unadhani ktk waarabu Hakuna Makafiri sio?
Ugalatia ni giza baya mno.
Halafu usijilazimishe kutumia Lugha za Kigeni Tu kwa sababu Akili yako inakwambia Lugha hio inakwendana na Imani yako!
Sasa hapo Unapotuandikia 'WORK UP YOU GUYS' sijui ulikuwa na nia ya Kuandika Wakeup you Guys? Au Kitu kingine?! Hio utajua Mwenyewe.
Mnafiki Ni Babu yako Mchonga meno na yeye ndie aliye wagawa Watu kwa minaajili ya Kidini.
Leo mnapanga mipango ya kuipa maiti yake UTAKATIFU.
Wanafiki wakubwa Nyie.
Historia ya kweli ikisomeshwa pia Roho zinawauma. Hivi nyie wagalatia nani kawaroga?
Mnfnsssssssss!
Laatullah.
Chalii najua unapotaka kuelekea, sasa hiyo ni sawa na kuukimbiza upepo. Lugha za matusi hazisaidii katika mijadala. Haya kwa leo umeshinda . UNTIL NEXT TIME!!!!!!!!!
Wewe mtoto acha kuropoka.
Nani aliyekwambia Kuna lugha yenye dini?
Kwa Upeo wako ulio mdogo unadhani ktk waarabu Hakuna Makafiri sio?
Ugalatia ni giza baya mno.
Halafu usijilazimishe kutumia Lugha za Kigeni Tu kwa sababu Akili yako inakwambia Lugha hio inakwendana na Imani yako!
Sasa hapo Unapotuandikia 'WORK UP YOU GUYS' sijui ulikuwa na nia ya Kuandika Wakeup you Guys? Au Kitu kingine?! Hio utajua Mwenyewe.
Mnafiki Ni Babu yako Mchonga meno na yeye ndie aliye wagawa Watu kwa minaajili ya Kidini.
Leo mnapanga mipango ya kuipa maiti yake UTAKATIFU.
Wanafiki wakubwa Nyie.
Historia ya kweli ikisomeshwa pia Roho zinawauma. Hivi nyie wagalatia nani kawaroga?
Mnfnsssssssss!
Laatullah.
Zaidi ya matusi hakuna kingine unacho kijua.
Punjab Singh,
Chief Abdullah Mkwawa alikuwa na nduguye ambae alikuwa mmoja wa majemadari wake jina lake lilikuwa Yusuf.
Sasa wewe hii lugha uliotumia hapa unataka ujibiwe kwa kubembelezewa kama unayaweza vumilia.English ipi unayotaka wewe au ni hii English ya makafiri?, Uarabuni kuna English, bora ungesema tujadili kwa lugha ya Kiarabu hapo ningekuelewa. Nyie watu UNAFIKI unawamaliza na hamuwezi lazimisha vitu visivyokuwepo vyenye mrengo wa kuwagawa wananchi.
Nimeeleza hapo juu hao mnaowaita wazee wenu walipigania Uhuru kwa manufaa ya nani? au ilikuwa kwa manufaa ya kidini? Kama wapo hai mpaka sasa nadhani wanashangaa jinsi mnavyopindisha mambo kwa manufaa ya kidini, mbaya zaidi mnaenda mbali na kuanza kulialia kinafiki.
Chapa kazi hizo dini tumeletewa tuu ili zituchanganye, haiwezekani waliotuletea wao wametulia sie huku tunatoana macho mpaka kufikia hatua ya kudistort history kwa manufaa ya dini fulani.
WAKE UP GUYS!!!!!!!! fuatilia hii HOW ROME CREATED ISLAM, halafu uje unambie kwa nini tuchukiane mimi na wewe kisa dini zetu ni tofauti na tufikia hatua ya kupindisha historia ya nchi kwa mrengo wa kidini..
Huyu jamaa kaja na lugha za kejeli majibu aliyopewa anaanza kulia lia.Hakuna anaeshindana hapa.
We si umeanza Kashfa hapo juu.
Ulitegemea uimbiwe kwaya sio?
nataka kujua Lugaro fort ipo maeneo gani nchi hii, aliyeandika hivi ni mwanazuoni, mtaalam wa Historia Ilongailunga. wala si maneno yangu, ukishindwa kaa pembeni.
teh teh teh, unavyomtetea mleta mada, gwiji la Historia anayeshindwa hata kujua ngome ya Mkwawa ilikuwa wapi na Wajerumani walikuwa wapi, huyo anakosa sifa automatically za ku-make a critique, hebu jisomee hapo chini alichoandika
"It was not Mkwawa with the support of
Abushiri who stormed German fort in Lugaro?
Was not Bwana Heri who organize his people
to fight aginst German? "
Hii ameipata wapi? Huu ni upuuzi.
It is a shame calling yourself a historian, yet you don't even know relationship of Lugalo and the Mkwawa's victory of 1891
To help your rotten mind...Lugalo was an area where Von Zelewsky was attacked with his African Muslim askaris from the coast. located about 20 kilometres east of Iringa town...
Mkwawa's fort was in Kalenga about 30 kilometres west of Iringa meaning Kalenga and Lugalo are about 50 kilometers apart and this fort in Kalenga was called LIPULI...surrounded by a 13 km in diameter wall made by stonnes, tree logs and with askaris's towers...The surrounding of LIPULI fort with those materials was called LIRINGA hence the name Iringa which you know today.
It is a shame whenever you want to associate Mkwawa life with Islam..he wasn't a Muslim but his sons converted ro Islam later on. ...To help you..did you ever hear or read slave trade conducted in Iringa?
Associating Mkwawa with Abushiri or Bwana Heri is nothing short of sheer madness...please do us a favour by providing any credible reference to support your case
By Ilonga Kaitan Ilunga
(ilongailunga)
It was not Mkwawa with the support of Abushiri who stormed German fort in Lugaro?
Hivi hapa tatizo ni kushindwa kuelewa Lugha au mna tatizo gani nyie wandugu? Wapi mtoa mada alikopotosha, Je Wajerumani hawakuweka Base yao katika eneo la Lugalo walipotaka kumshambulia Mkwawa katika hiyo miaka ya 1891 na Wajerumani kupata kipigo kikali? Ni wapi mtoa mada alikosema kitu tofauti?
Hebu someni tena alichoandika Mtoa mada, na kisha angalieni "references" zilizowekwa humu na Punjab Singh, Ritz, na FaizaFoxy ili mjue kuwa ima ni weupe wa historia au mna uwezo mdogo wa kuelewa na kutafsir kilichoandikwa. Na huenda ndio ikawa sababu, pamoja na kujinasibu kwenu kuwa mmesoma, lakini mmekuwa vinara wa kuiingiza nchi katika "mikataba ya Giza"; kumbe mna upeo mdogo kutafsiri maandishi.