kitali
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 6,296
- 9,611
Dada yetu FaizaFoxy huwa anawauliza huko shule mmeenda kusomea ujinga? Ina maana hamjui kuwa mapigano ya Mkwawa na wajerumani yalifanyika katika ngome ya Lugalo na Kalenga? Basi hata Hamjiulizi ile kambi ya Lugalo pale Dar jina lake limetokana na nini? Mimi si mwanahistoria lkn najua kuwa fort Lugalo ni pahali ambapo Mkwawa aliwapiga wajerumani. Khaa
lugalo ni tabora Bana
Last edited by a moderator: