yaani huyo Ilongailunga,pamoja na kutumia "synonyms english words" ili aonekana anajuwa kunyosha kingereza kumshinda prof.hirji,ukisoma unaona pumba nyingi halafu mchele mchache.:smile-big::smile-big:
Mkuu labda unaweza nisaidia, huyu mleta mada amesema Mkwawa alipigana na Mjerumani katika ngome ya Lugaro, unapafahamu? Teh teh teh, mi naijua ngome ya Kalenga... Mistake aliyoifanya Prof Hirji kwenye Mnakasha wa kwanza, kuandika Mau Mau badala ya Maji Maji waliikomalia wakasema hilo tu linaidiscredit critique nzima ya Hirji... Sasa nawaomba waje naona wanaepa.
CC Nguruvi3
Dada yetu FaizaFoxy huwa anawauliza huko shule mmeenda kusomea ujinga? Ina maana hamjui kuwa mapigano ya Mkwawa na wajerumani yalifanyika katika ngome ya Lugalo na Kalenga? Basi hata Hamjiulizi ile kambi ya Lugalo pale Dar jina lake limetokana na nini? Mimi si mwanahistoria lkn najua kuwa fort Lugalo ni pahali ambapo Mkwawa aliwapiga wajerumani. Khaa
Mkuu labda unaweza nisaidia, huyu mleta mada amesema Mkwawa alipigana na Mjerumani katika ngome ya Lugaro, unapafahamu? Teh teh teh, mi naijua ngome ya Kalenga... Mistake aliyoifanya Prof Hirji kwenye Mnakasha wa kwanza, kuandika Mau Mau badala ya Maji Maji waliikomalia wakasema hilo tu linaidiscredit critique nzima ya Hirji... Sasa nawaomba waje naona wanaepa.
CC Nguruvi3
Hii ngome ilikuwa Iringa ambapo katika miaka ya 1891 Mjerumani alipokea kipigo cha mbwa mwizi kutoka kwa Mkwawa. Mmezoea kukariri hamjazoea kushughulisha ubongo wenu ndio maana kila kitu mnaona siyo. Sasa kama hata hili la fort lugalo hujui, ndo utakuja kuijua historia iliyotaftiwa na Al alama Mohamedsaid?
Hii ngome ilikuwa Iringa ambapo katika miaka ya 1891 Mjerumani alipokea kipigo cha mbwa mwizi kutoka kwa Mkwawa. Mmezoea kukariri hamjazoea kushughulisha ubongo wenu ndio maana kila kitu mnaona siyo. Sasa kama hata hili la fort lugalo hujui, ndo utakuja kuijua historia iliyotaftiwa na Al alama @M@MohamedSaid?
Sasa swali lako ni nini? Ngome au Lugalo au Lugaro? Ni ujinga huu inadhihirisha kwani magazeti yanapoandika "Dar in major dispute with the Donors" kwani hapa wanamaanisha nini? Jiji la Dar au TanzaniaUnajua maana ya Ngome? Hata mahali alipopigana Mkwawa unapajua, Kalenga yenyewe unaijua kweli?, Kama hujui vitu ukae kimya Mkuu. Wenye ujuzi na historia watakujuvya
Kuandika kwenyewe shida kunakusumbuwa sembuse ndio ujuwe history?
We pimbi ulikua una haja gani ya ku quote maneno yote wakati umeandika ushuzi tu
Na nyie mna shida, you need to be ignored
Hii ngome ilikuwa Iringa ambapo katika miaka ya 1891 Mjerumani alipokea kipigo cha mbwa mwizi kutoka kwa Mkwawa. Mmezoea kukariri hamjazoea kushughulisha ubongo wenu ndio maana kila kitu mnaona siyo. Sasa kama hata hili la fort lugalo hujui, ndo utakuja kuijua historia iliyotaftiwa na Al alama Mohamedsaid?
Sasa swali lako ni nini? Ngome au Lugalo au Lugaro? Ni ujinga huu inadhihirisha kwani magazeti yanapoandika "Dar in major dispute with the Donors" kwani hapa wanamaanisha nini? Jiji la Dar au Tanzania
Yes He Chief Mkwawa and together with Rumaliza fought the Germans under their leader Emil von Zelewisky at Lugalo on 16 August 1891.
This is the war that gave Mohammed Khalfan the nickname Rumaliza
to continue...