Profesa Muhongo: Uchumi wa sasa duniani ni umeme wa gesi, umeme wa maji umepitwa na wakati

Huyu ni Professor Msomi ana hakika na anachokisema. Enzi hizo hakuweza au aliweza akatupwa kwenye Recycle Bin.
 
Hii ni miradi inaitwa WHITE ELEPHANTS. Unaweza ukaimaliza lakini isikupe Desired Return on Investment.

Kwa mfano SGR hata ikimalizika kwenda huko Rusumo sijui ambako tuna target mzigo wa Rwanda, bado haina faida kwa vile throughout ya Rwanda ni less than 800k metric tons per annum.

Mzigo wa ndani ni very insignificant kwa vile Magufuli hakuwa na vision. Anajenga reli huku anaua sekta binafsi. Amefirisi akina Yusuf Manji, amewatisha kina Mo Dewji kwa kuwateka, amesababisha vifo vya akina Mufuruki na Shamte kwa chuki zake, Je anategemea local traders gani wasafirishe mzigo kwenye SGR?

Hiyo Stiglers Gorge ni upotevu wa Matrilioni ya hela tu kwa kuwa mabadiliko ya tabia nchi ndiyo adui mkubwa wa hydro electricity. Kamwe hawezi kupata hizo megawatt 2100 kama alivyotamba kwenye maradio na matv.

Ameshia kuharibu baioanuai ya selous tu na kuteremsha hadhi ya pori tengefu
 
Huyu mzee naye wakati mwingine sijui anafikiria nini.

Dunia inaelekea kwenye renewables yeye anasema twende kwenye fossil fuel. Sijui ni dunia gani anaiongelea. Umeme wa maji ndio wa bei rahisi zaidi duniani, na wala hatukatazwi kuwa na vyanzo vingine mbadala. By the way, Stiglers ndio ishakuwa mimba, tusubiri kuzaa tu.
 
muda wa kuchukua chako mapema
 
una ujinga mahali fulan, we unazan maisha yote utabak kuwa na maji tiririka?huon mabadiliko ya hewa dunian? acha kufanya mawazo ya kibogoyo bro
 
Ila alichosema ni ukweli..klabdaarne hii kuanza kuangaika na umeme wa maji ni kupoteza muda tu
Naona sasa ni wazi kuwa walioteseka kipindi cha magu wanaanza kufufuka,muulizeni swali katika dunia hii umeme wa bei rais unatokana na nini? na pia muulizeni ni nchi gani duniani inaongoza kwa Kuzalisha umeme wa gas na inazalisha kwa kiwango gani?
 
Hesabu za Pole pole za hizi hazijaiva, hizi zimeiva na unaenda na tatu kichwani sio hesabu za mambo serious kama haya.
 
Huyo magu mwenuewe fisadi kubwa
 


Mkuu nimeishia hapa:

"unit za umeme ni kilowati moja ikitembea kwa saa moja."

Pako fyongo sana hapo. Japo unge Google basi angalau kujua nini maana ya kilowatt.

Ukizidiasha mahaba zaidi ya facts mchuzi unadoda!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…