Hata mimi naunga mkono hoja. Tusiwajadili Marais wetu wastaafu na hata aliyeko madarakani. Urais ni taasisi sio kitu cha kuchezea. Full stop.
Lakini, tunaweza kuwajadili makamu, PM, Spika, Naibu spika, na mawaziri wooote pamoja na wabunge woote. Mkitaka kumjadili Dr Kikwete, mjadilini alioyafanya akiwa waziri kuleeeee. Mkitaka kumjadili Dr Mkapa, mjadilini aliyoyafanya kuleee kabla ya uraisi.
Mkitaka kumjadili Dr John, mjadilini kuleeee sio leo. Leo tunampongeza kwa kuwa mzalendo wa kuthubutu kutufungua macho tukaona tunavyo ibiwa.
Ushauri, Ili tusijewaingiza kwenye msaragambo huu, tuachane na kutafutana, iundwe tume, iwachunguze kwa siri, iwakamatie kile cha juu walichotuibia, wakirejeshe hazina kuu, na wasiruhusiwe kulalamika. Jiulize, ni nini maana ya tume ya utumishi na maadili ya viongozi?? Watu huenda kuapa nini? Watu huenda ku declare nini pale? Ati naingia uwaziri na shs 100 na nyumba nusu sijamalizia kupaua. Ukitoka na nyumba 100 baada tu ya uwaziri wa miaka 5 si lazima uulizwe??
Najiuliza, nyiye mliotuaminisha kuwa mtawachunguza hawa viongozi, mlikuwa wapi?? Nyiye nanyi ni majipu. Mwafaa mtumbuliwe. Nisiseme mengi, yale ya bwana yulee DAB na magari ya kifahari na viwanja 120 miji mbali mbali aliyovitaja Mh Musukuma yameishia wapi?? Hicho kitengo ni jipu lililoiva mno.
Lakini, tunaweza kuwajadili makamu, PM, Spika, Naibu spika, na mawaziri wooote pamoja na wabunge woote. Mkitaka kumjadili Dr Kikwete, mjadilini alioyafanya akiwa waziri kuleeeee. Mkitaka kumjadili Dr Mkapa, mjadilini aliyoyafanya kuleee kabla ya uraisi.
Mkitaka kumjadili Dr John, mjadilini kuleeee sio leo. Leo tunampongeza kwa kuwa mzalendo wa kuthubutu kutufungua macho tukaona tunavyo ibiwa.
Ushauri, Ili tusijewaingiza kwenye msaragambo huu, tuachane na kutafutana, iundwe tume, iwachunguze kwa siri, iwakamatie kile cha juu walichotuibia, wakirejeshe hazina kuu, na wasiruhusiwe kulalamika. Jiulize, ni nini maana ya tume ya utumishi na maadili ya viongozi?? Watu huenda kuapa nini? Watu huenda ku declare nini pale? Ati naingia uwaziri na shs 100 na nyumba nusu sijamalizia kupaua. Ukitoka na nyumba 100 baada tu ya uwaziri wa miaka 5 si lazima uulizwe??
Najiuliza, nyiye mliotuaminisha kuwa mtawachunguza hawa viongozi, mlikuwa wapi?? Nyiye nanyi ni majipu. Mwafaa mtumbuliwe. Nisiseme mengi, yale ya bwana yulee DAB na magari ya kifahari na viwanja 120 miji mbali mbali aliyovitaja Mh Musukuma yameishia wapi?? Hicho kitengo ni jipu lililoiva mno.