sekindunda
JF-Expert Member
- Jul 23, 2017
- 335
- 231
Aliyesaini ndo anawajibika. Akituonesha saini ya Rais kwenye Mkataba tutamwachia, la kama ni longolongo inakula kwa mtia saini!Hizi tume na kamati tunazounda ni upumbavu mtupu. Mkimuita Maswi au Mruma akasema alitumwa na Waziri, Waziri nae akaja akasema alitumwa na Mkapa/Kikwete mtasemaje? Tuanze kwanza kwa kuondoa kinga ya Marais wastaafu kwenye baadhi ya mambo (uhujumu uchumi etc) ili adabu iwepo. Otherwise tutapigwa tu kila iitwapo leo.
Sent using Jamii Forums mobile app