msold msward
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 595
- 202
Hakuna kipya hapo usawa huwe kwa wote
Waziri wa Sheria Prof. Plamagamba Kabudi amesema haifai kuwataja marais Mkapa na Kikwete kwa kuwa heshima yao inatunzwa kwa kuwa wamekuwa wakuu wa nchi, wakuu wa serikali na maamiri wajeshi wakuu na heshima hiyo inafaa kutunzwa kikatiba, kisheria, kimaadili, kiutamaduni na kiutu na ndio maana hata ripoti haijawataja sehemu hata moja
Hivyo haifai kuacha kujadili mambo yaliyo mbele yetu na kuwajadili wakuu hawa wastaafu
sio kwa kiwango cha lami tu,bali kwa kiwango cha makanikia.Tena wa kiwango cha lami!
Waziri wa Sheria Prof. Plamagamba Kabudi amesema haifai kuwataja marais Mkapa na Kikwete kwa kuwa heshima yao inatunzwa kwa kuwa wamekuwa wakuu wa nchi, wakuu wa serikali na maamiri wajeshi wakuu na heshima hiyo inafaa kutunzwa kikatiba, kisheria, kimaadili, kiutamaduni na kiutu na ndio maana hata ripoti haijawataja sehemu hata moja
Hivyo haifai kuacha kujadili mambo yaliyo mbele yetu na kuwajadili wakuu hawa wastaafu
Akina kafumu... chenge... Karamagi n.k Sio watu?Hakuna kujadili watu
Hapa tunajadili Kuikomboa nchi tu
Huyu hana vyeti so hakuna cha ajabu hapo.hutakiwi kufikiri sana ukiwa Tanzania........maana kuna nyakati mawazo ya alieishia std VI ni bora kuliko ya profesa
Sababu za prof. Hazina mantiki kabisa. Maraisi wastaafu wanalindwa na katiba hivyo hata ukiwataja bado wanalindwa na hakuna cha kufanya. Hivyo prof. Kusema sijui ni maadili au sijui waachwe wapumzike haina mashiko kabisa. Huhitaji kuwa na phd ya sheria kulijua hili. Kama tukifuata ushauri huu ina maana wazee waliofanya makosa ya jinai tuwaache tu kisa si " maadili" kuwatuhumu wazee!Kabudi amekuwa mjingaeeeh?