Profesa Assad anunua nyumba za NSSF huko Tanga

Profesa Assad anunua nyumba za NSSF huko Tanga

Mkuu pumba hapo ni ipi, labda utusaidie alikokosea maana ni kosa mtu aliye na conflict of interest ku own asset ktk organization anayosimamia tena akiwa mteule wa serikali ku oversee interest za serikali mahali hapo.
Mbona kuna mwingine alijiuzia Nyumba za serekali kwa kuandika majina ya kimada?
Hamna jipya hapo...Toa boriti jichoni mwako kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siamini kama Prof Assad anaweza kufanya hili. Kama kweli alijinufaisha kwa kujipatia nyumba za NSSF akiwa mjumbe wa Bodi basi hilo analo na ikiwa ni kweli hana budi kuijsafisha. Ukiwa CAG hutakiwi kuwa na waa lolote. Asijikaushe atoke akanushe ama ajitose kulinda heshima yake.
Kwani CAG kateuliwa lini? alikuwa CAG wakati akiwa NSSF,tunaye mjua ni CAG siyo mjumbe wa NSSF hatuna shida na wajumbe wa NSSF hapa mada ni je ripoti ya CAG imefanyiwa kazi au ni udhaifu wa bunge?
 
Kuhusu NSSF na UDINI yaani kuwapa fursa Waislam na kuwabagua Wakristo kwa chuki kabisa kama vile si wanadamu wenzao NI KWELI KABISA walifanya hivyo hata katika ajira wakati wa Ramadhan Dau.

ILA KINACHOSHANGAZA, ni wewe kuleta habari ya kumchafua CAG Assad kipindi hiki akitema points za maana dhidi ya Ndugai.
Profesa Assad akiwa mjumbe wa Bodi ya NSSF miaka michache iliyopita na tena akiwa ni mjumbe kwenye kamati ya Bodi ya uwekezaji ya NSSF(MIC) alijinufaisha katika kununua nyumba za NSSF huko Tanga bila kujali conflict of interest.

Nyumba hizo zilizouzwa pia kuna Mkurugenzi mmoja wa NSSF, Bwana Kidula ambaye nae alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tenda ya Menejiment ya NSSF naye alijitwalia nyumba kadhaa za Tanga na Dodoma.

Katika kipindi cha Dau NSSF, mauzo ya nyumba yalifanyika kwa upendeleo mkubwa ili watu wake wazinunue. Mfano nyumba za Kijichi zilipata wateja wengi ila waliambiwa zimeisha kumbe ni uongo ili ziweze kugawiwa jamaa zake kupitia majina ya wake zao na jamaa zao.

Kwa mfano kuna mtoto wa profesa Mlawa (rafiki wa dau) ambaye yuko NSSF alijipatia hizo nyumba kwa usiri mkubwa. Zoezi la kuwauzia nyumba wafanyakazi wa NSSF lilifanyika kwa ubaguzi maana wale makafiri au wagalatia kama walivyokuwa wanaitwa na wenzao( wakati huo) walifichwa kuhusu uuzaji huo.

Hayo yote aliyajua Prof Assad lakini hakuchukua hatua zozote tena zaidi alikuwa Mwenyekiti wa BOARD YA AUDIT COMMITEE.

Huyo ndo Assad ambaye anataka sasa kufanya kazi zake kwa weledi mkubwa akisahau wakati wa Dau NSSF ilikuwa na madudu ya kufa mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Profesa Assad akiwa mjumbe wa Bodi ya NSSF miaka michache iliyopita na tena akiwa ni mjumbe kwenye kamati ya Bodi ya uwekezaji ya NSSF(MIC) alijinufaisha katika kununua nyumba za NSSF huko Tanga bila kujali conflict of interest.

Nyumba hizo zilizouzwa pia kuna Mkurugenzi mmoja wa NSSF, Bwana Kidula ambaye nae alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tenda ya Menejiment ya NSSF naye alijitwalia nyumba kadhaa za Tanga na Dodoma.

Katika kipindi cha Dau NSSF, mauzo ya nyumba yalifanyika kwa upendeleo mkubwa ili watu wake wazinunue. Mfano nyumba za Kijichi zilipata wateja wengi ila waliambiwa zimeisha kumbe ni uongo ili ziweze kugawiwa jamaa zake kupitia majina ya wake zao na jamaa zao.

Kwa mfano kuna mtoto wa profesa Mlawa (rafiki wa dau) ambaye yuko NSSF alijipatia hizo nyumba kwa usiri mkubwa. Zoezi la kuwauzia nyumba wafanyakazi wa NSSF lilifanyika kwa ubaguzi maana wale makafiri au wagalatia kama walivyokuwa wanaitwa na wenzao( wakati huo) walifichwa kuhusu uuzaji huo.

Hayo yote aliyajua Prof Assad lakini hakuchukua hatua zozote tena zaidi alikuwa Mwenyekiti wa BOARD YA AUDIT COMMITEE.

Huyo ndo Assad ambaye anataka sasa kufanya kazi zake kwa weledi mkubwa akisahau wakati wa Dau NSSF ilikuwa na madudu ya kufa mtu.
Mkuu mbona hujamtaja Jiwe kwenye hii ripoti....? Au jiwe huyo na yule ni tofauti na huyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekusoma, ila neno urasimu nadhani unalitumia pasipo stahili. Any way miradi ya NSSF ilikuwa na ufisadi mwingi mwingi mwingi! Hapo kwenye uzi inaonekana Alhaji Kidula aliyekuwa Mkurugenzi wa Uwekezaji NSSF na Alhaji Pfof Assad ni wanufaika. Hili haliwezi kuwa jambo jema kwa CAG wetu kwani harufu ya ufisadi ndani ya NSSF lazima itamfanya naye anuke. Tunataka CAG ambaye hana mawaa na wala hakuwa mawaa. CAG ni cheo kikubwa sana tena cha Kikatiba. Akistaafu bado walipakodi tutaendelea kumlipa kumbe alishajilipa za mafao yetu.
Mimi naona chuki zaidi,hasa baada ya kulisema bunge kwa mtizamo hasi!Kama noma na iwe noma,Rais aitishe tume ya kijaji imchunguze kama alitenda hayo!Nionavyo mimi,Assadi kama mjumbe wa board,hahusiki na utendaji wa NSSF kwani siyo sehemu ya management!
 
Profesa Assad akiwa mjumbe wa Bodi ya NSSF miaka michache iliyopita na tena akiwa ni mjumbe kwenye kamati ya Bodi ya uwekezaji ya NSSF(MIC) alijinufaisha katika kununua nyumba za NSSF huko Tanga bila kujali conflict of interest.

Nyumba hizo zilizouzwa pia kuna Mkurugenzi mmoja wa NSSF, Bwana Kidula ambaye nae alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tenda ya Menejiment ya NSSF naye alijitwalia nyumba kadhaa za Tanga na Dodoma.

Katika kipindi cha Dau NSSF, mauzo ya nyumba yalifanyika kwa upendeleo mkubwa ili watu wake wazinunue. Mfano nyumba za Kijichi zilipata wateja wengi ila waliambiwa zimeisha kumbe ni uongo ili ziweze kugawiwa jamaa zake kupitia majina ya wake zao na jamaa zao.

Kwa mfano kuna mtoto wa profesa Mlawa (rafiki wa dau) ambaye yuko NSSF alijipatia hizo nyumba kwa usiri mkubwa. Zoezi la kuwauzia nyumba wafanyakazi wa NSSF lilifanyika kwa ubaguzi maana wale makafiri au wagalatia kama walivyokuwa wanaitwa na wenzao( wakati huo) walifichwa kuhusu uuzaji huo.

Hayo yote aliyajua Prof Assad lakini hakuchukua hatua zozote tena zaidi alikuwa Mwenyekiti wa BOARD YA AUDIT COMMITEE.

Huyo ndo Assad ambaye anataka sasa kufanya kazi zake kwa weledi mkubwa akisahau wakati wa Dau NSSF ilikuwa na madudu ya kufa mtu.
Ahaaaaaaaa kwa Roho ya jiwe kweli NSSF ya Mh Dau km ingekuwa na Madudu kweli unafikiria kwa Akili za kawaida tu bado angepewa Ubalozi ina maana umesahau kweli khs zile nyumba zetu za serikali jamani maana bora Prof Asad yy alikuwa mmoja wao kwenye NSSF zile nyumba zetu wamepewa mpk vimada watoto mjini wanasema vicheche ambao sio wafanyakazi wa serikalini...
tapatalk_1542123640746.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nyumba syo za umma bali nssf nasheria hazimruhusu kama board member ajihusishe kwa namna yoyote kununua mali ambazo yeye ni member,pia hiyo haiondoi ukweli wa bunge kuwa dhaifu, ila tu na yeye ni dhaifu alishindwa kumdhibiti dau
Hiyo ilikuwa zamani mkuu na kwa nini hamkuyaibua hayo madhaifu yake kipindi kile mpaka alivyotoa fact zake kuwa bunge ni dhaifu ndio Lumumba na viunga vyake wanaibua hizi tuhuma..

Bunge la awamu hii ni dhaifu haijawahi kutokea tangu tupate Uhuru wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Profesa Assad akiwa mjumbe wa Bodi ya NSSF miaka michache iliyopita na tena akiwa ni mjumbe kwenye kamati ya Bodi ya uwekezaji ya NSSF(MIC) alijinufaisha katika kununua nyumba za NSSF huko Tanga bila kujali conflict of interest.

Nyumba hizo zilizouzwa pia kuna Mkurugenzi mmoja wa NSSF, Bwana Kidula ambaye nae alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tenda ya Menejiment ya NSSF naye alijitwalia nyumba kadhaa za Tanga na Dodoma.

Katika kipindi cha Dau NSSF, mauzo ya nyumba yalifanyika kwa upendeleo mkubwa ili watu wake wazinunue. Mfano nyumba za Kijichi zilipata wateja wengi ila waliambiwa zimeisha kumbe ni uongo ili ziweze kugawiwa jamaa zake kupitia majina ya wake zao na jamaa zao.

Kwa mfano kuna mtoto wa profesa Mlawa (rafiki wa dau) ambaye yuko NSSF alijipatia hizo nyumba kwa usiri mkubwa. Zoezi la kuwauzia nyumba wafanyakazi wa NSSF lilifanyika kwa ubaguzi maana wale makafiri au wagalatia kama walivyokuwa wanaitwa na wenzao( wakati huo) walifichwa kuhusu uuzaji huo.

Hayo yote aliyajua Prof Assad lakini hakuchukua hatua zozote tena zaidi alikuwa Mwenyekiti wa BOARD YA AUDIT COMMITEE.

Huyo ndo Assad ambaye anataka sasa kufanya kazi zake kwa weledi mkubwa akisahau wakati wa Dau NSSF ilikuwa na madudu ya kufa mtu.


Assad is clean
 
Profesa Assad akiwa mjumbe wa Bodi ya NSSF miaka michache iliyopita na tena akiwa ni mjumbe kwenye kamati ya Bodi ya uwekezaji ya NSSF(MIC) alijinufaisha katika kununua nyumba za NSSF huko Tanga bila kujali conflict of interest.

Nyumba hizo zilizouzwa pia kuna Mkurugenzi mmoja wa NSSF, Bwana Kidula ambaye nae alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tenda ya Menejiment ya NSSF naye alijitwalia nyumba kadhaa za Tanga na Dodoma.

Katika kipindi cha Dau NSSF, mauzo ya nyumba yalifanyika kwa upendeleo mkubwa ili watu wake wazinunue. Mfano nyumba za Kijichi zilipata wateja wengi ila waliambiwa zimeisha kumbe ni uongo ili ziweze kugawiwa jamaa zake kupitia majina ya wake zao na jamaa zao.

Kwa mfano kuna mtoto wa profesa Mlawa (rafiki wa dau) ambaye yuko NSSF alijipatia hizo nyumba kwa usiri mkubwa. Zoezi la kuwauzia nyumba wafanyakazi wa NSSF lilifanyika kwa ubaguzi maana wale makafiri au wagalatia kama walivyokuwa wanaitwa na wenzao( wakati huo) walifichwa kuhusu uuzaji huo.

Hayo yote aliyajua Prof Assad lakini hakuchukua hatua zozote tena zaidi alikuwa Mwenyekiti wa BOARD YA AUDIT COMMITEE.

Huyo ndo Assad ambaye anataka sasa kufanya kazi zake kwa weledi mkubwa akisahau wakati wa Dau NSSF ilikuwa na madudu ya kufa mtu.
Mmeanza kumchafua mzee wa watu, jipangeni vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kwa magufuli aliewanunulia nyumba za serikali mpaka vimada wake
Wakati wa uuzaji nyumba za serikali kulikuwa na urasimu? Urasimu upi?
Kama Prof Assad kajimilikisha nyumba za NSSF basi yeye alifanya Governance Enterpreneurship. Tumemtuma kwenda kusimamia uongozi wa NSSF ili kuhakikisha michango yetu haitumiki vibaya, yeye anaenda kujimilikisha nyumba zilizojengwa kwa michango yetu. Bonge la conflict of interest.
 
Kama ni kweli alinunua basi hana moral authority ya kukemea chochote. Atokeze hadharani akanushe ama aseme ni kweli na aombe radhi.
Kununua siyo kosa bweg.e we muhimu taratibu zifuatwe .mbona mpaka sasa viongozi wengi tu wanajiuzia magari ya serikali waliyokuwa wanayatumia maofisini?
 
Mkuu pumba hapo ni ipi, labda utusaidie alikokosea maana ni kosa mtu aliye na conflict of interest ku own asset ktk organization anayosimamia tena akiwa mteule wa serikali ku oversee interest za serikali mahali hapo.
Umeandika upuuzi mtupu. Mara mambo ya dini mara conflict of interest. Backup zako nazo za kijinga tu.

Unasema waliuziwa waislam, halafu unamtaja Prof. Mlawa. Alisilimu lini? Kuwa mjumbe unazyiwa kununua kama kuna taratibu zimewekwa na zikafuatwa?

Mbona huongelei alitegawia nyumba hawala kwa sh 10m nyumba ya upanga? Hivi hata kiwanja cha banda la kuku utapata kwa sh 10m Upanga.

Acheni uhayawani.

Kama alikuwa na makosa yangeletwa kabla, na siyo sasa alipowaonesha udhaifu wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom